johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,975
CCM ni chama cha wakulima na wafanyakazi.
Mwenyekiti wa CCM Dkt. Magufuli amesema palikuwepo mamilioni ya Wanaccm ambao wangeweza kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Chama lakini aliona lazima chama kiongozwe na muuza ndizi Dkt. Bashiru.
Wakulima Oyeeeee!
Maendeleo hayana vyama.
Mwenyekiti wa CCM Dkt. Magufuli amesema palikuwepo mamilioni ya Wanaccm ambao wangeweza kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Chama lakini aliona lazima chama kiongozwe na muuza ndizi Dkt. Bashiru.
Wakulima Oyeeeee!
Maendeleo hayana vyama.