Amepata kusikika kila mara kila wakati akisema kuwa maendeleo hayana chama, umekuwa wimbo wake na korasi yake lakini ghafla bin vuu amebadilika juu kwa juu na kusema kama katika tochi ya betrii 3 katikati au pembeni mkiweka gunzi la muhindi imekula kwenu, tochi haita waka na yeye awashi alimaliza.
Akiwa kanda ya ziwa waliwatolea mfano kata kadhaa ambazo hazikuchagua CCM na kuwambia barabara za rami watazisikiaga, umeme wasi waze, maji ndiyo watajiju.
Huvyo kwa sasa maendeleo yana chama na ni CCM kwa mnaoamua kuchagua upinzani ni kuingia mkataba wa kukosa huduma za kijamii kwa mika mitano tu.
Mi sijui ila kauli kama hizi tete na ngumu aliwai pia kuitoa aliyekuwa mtoto wa Mariamu yule Myahudi anayejulikana kama Yesu, yeye alisema kuwa hawezi kuwapa chakula cha watoto wake mbwa. Huyu ni Yesu Masiha na mwokozi wa ulimwengu.
Akiwa kanda ya ziwa waliwatolea mfano kata kadhaa ambazo hazikuchagua CCM na kuwambia barabara za rami watazisikiaga, umeme wasi waze, maji ndiyo watajiju.
Huvyo kwa sasa maendeleo yana chama na ni CCM kwa mnaoamua kuchagua upinzani ni kuingia mkataba wa kukosa huduma za kijamii kwa mika mitano tu.
Mi sijui ila kauli kama hizi tete na ngumu aliwai pia kuitoa aliyekuwa mtoto wa Mariamu yule Myahudi anayejulikana kama Yesu, yeye alisema kuwa hawezi kuwapa chakula cha watoto wake mbwa. Huyu ni Yesu Masiha na mwokozi wa ulimwengu.