Tume waacheni CCM waangalie hali yao na sio mnawabeba,mnajua wananchi kwa kigezo cha uchaguzi walimchagua Magufuli fundi wa barabara mjenzi mahiri miaka mitano ya Uraisi kuwaongoza wa Tanzania inamalizika mwezi ujao,kwa kweli hakuna maendeleo na hela mfukoni imekimbia au imezidi kukimbia.
Kama ni majaribio kuijaribu CCM, tumefeli na tumeangukia pua,WaTanzania bado tunatumia kura zetu kutafuta chema kizuri kitakachofuta mabaya na makovu yote ya CCM ,mwaka huu dalili zote zinaonyesha waTanzania wataichagua CHADEMA na Lissu kuwaongoza waTanzania, miaka mitano sio mingi.
Ipo siku majaribio yetu yatatufikisha tunapotarajia kwa yale tunayojengewa matumaini,ambayo CCM imeshindwa kuyatekeleza zaidi ya kushuhudia mambo yasipata kutokea katika nchi yetu.
Tume kwa weledi wenu msiivuruge nchi kwani viashiria vyenu ni vya hatari sana,mnakandamiza wapinzani tu.
Kama ni majaribio kuijaribu CCM, tumefeli na tumeangukia pua,WaTanzania bado tunatumia kura zetu kutafuta chema kizuri kitakachofuta mabaya na makovu yote ya CCM ,mwaka huu dalili zote zinaonyesha waTanzania wataichagua CHADEMA na Lissu kuwaongoza waTanzania, miaka mitano sio mingi.
Ipo siku majaribio yetu yatatufikisha tunapotarajia kwa yale tunayojengewa matumaini,ambayo CCM imeshindwa kuyatekeleza zaidi ya kushuhudia mambo yasipata kutokea katika nchi yetu.
Tume kwa weledi wenu msiivuruge nchi kwani viashiria vyenu ni vya hatari sana,mnakandamiza wapinzani tu.