Najua CCM imejiandaa kushinda kwa mbinu yeyote ile, Jecha style, NEC style, wizi n.k. ila wajue Wapinzani wao nao wamejiandaa kutoshindwa kirahisi kwa mbinu zozote zile, iwe hacking, kuingia barabarani, kuwatumia mabeberu n.k.
Kitu cha msingi CCM wajue kuwa wapiga kura ni binadamu siyo...