TUJITEGEMEE watanzania kwa kila jambo linalotuhusu kulifanyia kazi. Utegemezi haulipi!CCM upooooooooooo!
Mkicheza na uchaguzi huu mtaishia the Hague
Huyu mwenzetuataka kumuweka madarakani Lissu kwa msaada wa vitisho vya wabaya wetu.Je. Hao wabaya wetu mtawalipa nini!?
Msikate tamaa,2025 sio mbali sana.Tuombe uzima tu.Huyu mwenzetu
-anatuuwa ndugu zake.
-anatuteka
-anatufilisi
-anatutengenezea kesi za uwongo
-anatutisha
Hakika tumemchoka sana