Jina lake sijalipata vizuri. Lkn bunge lililopita alikuwa mbunge viti maalumu mkoa wa Lindi kupitia Chadema. Mwezi June akafika bei na kuamua kuunga juhudi.
Hivi sasa anaomba tena nafasi ya ubunge viti maalumu kupitia CCM.
Akiwa anaomba kura mbele ya Kassim Majaliwa ameona watu wako kiduchu na hawaelewi somo, ikabidi apige magoti kama anavyoonekana hapo pichani.
Hivi sasa anaomba tena nafasi ya ubunge viti maalumu kupitia CCM.
Akiwa anaomba kura mbele ya Kassim Majaliwa ameona watu wako kiduchu na hawaelewi somo, ikabidi apige magoti kama anavyoonekana hapo pichani.