CCM hali mbaya huko Kusini. Mgombea ubunge apiga magoti huko LIWALE akiomba kura

Sexless

JF-Expert Member
Mar 11, 2017
21,564
50,403
Jina lake sijalipata vizuri. Lkn bunge lililopita alikuwa mbunge viti maalumu mkoa wa Lindi kupitia Chadema. Mwezi June akafika bei na kuamua kuunga juhudi.

Hivi sasa anaomba tena nafasi ya ubunge viti maalumu kupitia CCM.
Akiwa anaomba kura mbele ya Kassim Majaliwa ameona watu wako kiduchu na hawaelewi somo, ikabidi apige magoti kama anavyoonekana hapo pichani.


IMG_20201025_120019_718.jpg
 
Jina lake sijalipata vizuri. Lkn bunge lililopita alikuwa mbunge viti maalumu mkoa wa Lindi kupitia Chadema. Mwezi June akafika bei na kuamua kuunga juhudi.

Hivi sasa anaomba tena nafasi ya ubunge viti maalumu kupitia CCM.
Akiwa anaomba kura mbele ya Kassim Majaliwa ameona watu wako kiduchu na hawaelewi somo, ikabidi apige magoti kama anavyoonekana hapo pichani.

View attachment 1611381
Kama mgombea wao wa urais slipigishwa magoti Njombe itakuwa huyu wa kupiga makofi bungeni??
 
Jina lake sijalipata vizuri. Lkn bunge lililopita alikuwa mbunge viti maalumu mkoa wa Lindi kupitia Chadema. Mwezi June akafika bei na kuamua kuunga juhudi.

Hivi sasa anaomba tena nafasi ya ubunge viti maalumu kupitia CCM.
Akiwa anaomba kura mbele ya Kassim Majaliwa ameona watu wako kiduchu na hawaelewi somo, ikabidi apige magoti kama anavyoonekana hapo pichani.

View attachment 1611381

Huyu alikuwa CUF anaitwa Kuchauka!
Kura za maoni alishindwa na Fadhili Mtambo lkn CCM ikamteua yy!
Kuchauka HAWEZI kushinda Liwale labda aibe kura
 
Back
Top Bottom