Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
Huu ndio ukweli nyakati zimeipita ccm ! Kwasasa haipendwi na haitakiwi na rais wasasa ndio kabisaaaa hasomi mchezo kwamba nayeye ni sehemu ya tatizo. Kuiponya Tanzania ni kuiondoa ccm basi.
Katika mijadala ya kisiasa hapa kwetu, mara nyingi lawama zote hupelekwa moja kwa moja kwa chama tawala, CCM. Wengi husema chama hiki ndicho chanzo cha matatizo ya kiuchumi, kisiasa na kijamii. Lakini kabla ya kufikia hitimisho hilo, ni muhimu kujiuliza: kwa nini tumefika hapa tulipo?
Je...
Sijawahi kusikia CCM kazungumzia neno haki.Wao ni Amani tu.
Hii Amani imekuwa kichaka cha CCM kuaminisha watu huku wakijua haki hakuna na wafanyao sio haki.
Neno haki limekuwa likikwepeshwa sana sababu wakilisema litawavua nguo kwa matendo yao yanayo minya haki.
Haki imekuwa mwiba kwao.
Hizi ndo akili za CCM. Yaanni wenzao wanafanya mikutano, CCM wanamalizia hasira za kukataliwa kwenye vizimba.
CCM wana roho ya Uharibifu. CCM imeshashindwa siasa, imebaki kuwa kikundi cha Maovu
Akiwa kama kiongozi wa Tanu aliasisi na kuanzisha kikundi cha ulinzi kilichokiwa kinaitwa Bantu group.
Bantu group walikuwa wanatembea na silaha jadi na walikuwa na kazi maalumu ya kudhibiti wapinzani wa Nyerere kwa vurugu .
Hawa ndio chimbuko la Greenguard ya CCM.
Ndio maana hadi leo hii...
Ukiwa CCM ujue kuwa wewe ni Kama chembe ya aladani (kapunje kadogo sana) huna madhara yyte kwa chama hata ukiamua kuhama Leo hii. Ukiwa CCM upo kwenye chama ambacho falsafa zake zipo na zinajiongoza hata bila uwepo wako wewe.
Ujue Kuwa walikuwepo wanachama wa CCM maarufu walihama na CCM...
Chadema ilishauri mapema kuwe na Maridhiano kabla ya uchaguzi CCM ikakataa, leo CCM wanataka kuridhiana nini na nani.
Viongozi wao wanazunguka mitaani wakiomba waridhiane wanaokota vijihabari na media uchwara kujaribu kulazimisha maridhiano.
Chadema wanasema, maridhiano ya kweli ni lazima...
Kwa sasa ukiwa mpinzani unaweza shangaa umefunguliwa kesi kuwa wewe ni bra bra bra.
Sasa aliyefungua kesi hiyo ni nani?.
Ina maana sasa chama cha CCM kimejivisha kazi yenu kiujumla.
Mabeberu hawataki kabisa kuskia au kuona taifa letu linajitegemee au kufadhili mambo yake ya ndani kama vile uchaguzi kwa 100%
Hii inawakera sana, sio tu vibaraka pekeyao, bali pia hata mabwenyenye ya magharibi yenyewe yanayowafadhili vibaraka hao humu nchini.
Nawasihi sana viongozi wangu na...
Muharibufu wa nchi duniani wa kwanza ni serikali kisha wengine tunafata.
Kwa mwendelezo huu ambao unaendelea kwa matendo na vyombo vya ulinzi vikakanusha.
Hivi mnajua matokeo yake au mnataka kuonesha kipi.
Utekaji na watu kupotezwa asilimia kubwa ni vyombo vya ulinzi na asilimia ndogo ni kama...
Nimetafakari sana matukio yanayoendelea Tanzania hivi karibuni. Kuna jambo moja la kutisha sana nimegundua.
Ni kwamba haya mambo yanayoendela Tanzania, hususa kinachoonekana kama ni mgogoro wa CCM dhidi ya Chadema na suala la Katiba, ni mambo yalipangwa na yanaratibiwa ili kuwagawa Watanzania...
==================
Kadiri miaka inavyokwenda, nimejifunza jambo moja muhimu sana:
Maisha ya bandia ni maisha ya gharama kubwa sana. Gharama yake si fedha tu, bali pia ni gharama ya kiroho, kihisia, kisiasa na hata kimahusiano.
Ukweli ni rahisi kuishi nao. Uongo, kwa upande mwingine, unahitaji...
CCM imepoteza mvuto kabisa na sasa kimekuwa sio tena chama cha siasa. Ni kikundi cha watu wahuni. Ndio maana unaona wanavamia na kuiba mali za CHADEMA. Wanateka, wanaua na hata sasa eti wanajaribu kuwaonga mabeberu!! Hayo mambo sio siasa kabisa. HAYO MAMBO NI UHUNI
Na hata watu ambao bado...
Mchezo uliopo sasa kila CCM na UVCCM wanahisi wanacho tumwa kuwa kinafanywa na upinzani.
ila watambue CCM imefikia sasa mtashangaa pesa zimepotelea wapi na zimeama nchi gani.
Singapore,dubai na russia ndio watu wazuri wa miamala ya cryptocurrency.
Na ili litawasaidia CCM kupeleka pesa zao ili...
CCM kukubali katiba mpya ambayo italeta tume huru ya uchaguzi ni kujisogeza kaburini hii ni kutokana na hali halisi ilivyo na mwamko wa wananchi hasa vijana
Katiba mpya itaifanya CCM isikae madarakani zaidi ya miaka kumi na tano toka mwaka itakapoanza kutumika.
CCM ikipoteza hatamu hapo kila...
Kuna majaribio ambayo naona wengi watakufa na kweli mtakufa .Hii serikali inawezekana kuna pesa zina kwenda META.
Leo data analysis inaonyesha META kabla ya kufanya kuijadili CCM inapita CCM ku verify na kama ukiripoti fanyeni majaribio mnapata kizingiti cha CCM ni kama CCM ni mamraka ya TCRA...
Sitaki kuingia kwenye dini sio sehemu yangu.
Hapa na zungumzia wale wakina Nuhu wakutaka kuwajengea safina.
Wanaopigania nchi na vizazi vyenu kwa mislahi yenu mnawaona sio wazarendo,vibaraka,waihini na wengine kupotezwa kabisa.
Kwa nyie CCM na chawa siku galika likifika mtawakumbuka wakina...
Hakuna wanachokihofia wala hawajali tena wanafanya nini kibaya Kwa watanzania.
Leo hii wanajiuliza ni jambo gani baya hawajawahi kufanya. Kama kila aina ya uovu wamefanya na Bado watanzania wapo kimya, wahofie nini tena?
Hakuna ufisadi ambao CCM hawajafanya, lakini wanaona watanzania wamejawa...
Hamjambo!
Moja ya athari za kupotea kwa Humphrey Polepole ni kuwadogodesha hata wale waliowahi kufikiri ni wakubwa ndani ya CCM iwe kwa nafasi walizowahi kuzishika au wanazozishika hivi sasa.
Ni wanaccm wachache sana waliowahi na watakaowahi kufika level ya kisiasa aliyofika Humphrey Polepole...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.