ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. R

    JamiiForums Tanzania Ndani ya CCM hakuna aliye salama, mnajidanganya na kujikomba/ uchawa. Kuna siku utafikiwa

    As long as CCM mmekataa neno HAKI to be in your vocabulary, kila mmoja atafikiwa. It is a matter of time. Unadhani Nchimbi alifikiri kuna siku atakuwa " mfungwa" wa CCM? Kila mmojja atafikiwa, hata chawa mkubwa Katambi atafikiwa
  2. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania Bashungwa, tulimfukuza Nchimbi kulinda maslahi ya CCM.

    Maslahi ya CCM kwetu ni muhimu sana kuliko maslahi ya wananchi, kwa kauli hii ni wazi CCM haiko tayari kuona Tanzania tunakuwa na katiba mpya ya wananchi, hii ndiyo CCM ya matajiri wafanyabiashara dhidi ya wananchi.
  3. Kinoamiguu

    JamiiForums Tanzania Dkt. Nchimbi hachunguziki CCM

    Ipyana malelela yupo wapi Leo. Huyu ipyana aligombea iliwahi gombea na nchimbi UVCCM na Nchimbi yupo wapi Leo Kihongosi na happy kuweni Makini Jamaa ni mtu hatari sana huyu
  4. F

    JamiiForums Tanzania Kwa wajuao uchoyo,ulafi, na uovyo wa CCM, kuna haya ya kumlilia au kumuonea huruma Nchimbi?

    Vita ya kunguru ni neema ya panzi. Ukiona adui yako anakosea msifie na si kumkosoa. Huu ndiyo uoni wangu juu ya ufukuzwa na kupotezwa kwa Emmanuel Nchimbi toka umakamu wa rais. Kwangu ni furaha na raha kuona maadui wa taifa wakitafunana. Ningependa watafunane hata kuuana. Ukiondoa wapinzani...
  5. Dr Adam Francis

    JamiiForums Tanzania Kuhusu katiba mpya; msimamo wa CCM ni upi?

    Katika siasa kuna kitu kinaitwa strategic ambiguity; mfano wake mkubwa ukiwa ni sera ya Marekani kuhusu Taiwan. Kwenye maandishi rasmi USA wanatambua One China policy, ila kila siku wanaendelea kuiuzia Taiwan silaha na kufadhili harakati zote za Taiwan kujitenga na China. Hapa kwetu ni kama...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Lissu kiboko ya majinga majinga ya ccm hasa yanayoenda usiku gerezani.

    Unaambiwa lile genge la watekaji,wafiraji,mafisadi na marcatel ya mafuta yamekuwa yakituma makuwadi yao huko gerezani kwa lengo la kuomba msamaha kwa lissu ili atakapotoka asiwe na msimamo mkali badala yake awe kama kina mbowe na kwamba wamemuahidi mabillion ya pesa. Lakini cha kushangaza lissu...
  7. Yoda

    JamiiForums Tanzania Wana CCM kama sio waoga wamuachie Balozi Nchimbi azungumze badala ya kumshambulia akiwa amefichwa

    Wana CCM kuibuka kumshambulia Nchimbi huku yeye mwenyewe akiwa hawezi kujitetea ni ishara ya uovu, uoga na ujinga mkubwa sana. Kubwatuka, kutokwa povu na kujitamba dhidi ya mtu ambaye amefungwa kusema na kujitetea mwenyewe ni uoga wa kiwango cha juu sana, ni kutojiamini. Nchimbi aachiwe afanye...
  8. K

    JamiiForums Tanzania 2030 Itafika, hakuna katiba mpya, hakuna tume huru ya uchaguzi na uchaguzi utafanyika na CCM itaendelea kuongoza na maisha yataendelea

    Huu ni ukweli mchungu, kwa mazingira tulio nayo na siasa za chadema kwa sasa Itafika 2030 tupo hivi hivi,.. Ukawa walifanya kosa kubwa sana mwaka 2012/13 kususia bunge la katiba kwa kigezo kikuu Cha serikali tatu, huu ni uroho wa madaraka unawagharimu Leo Kama ukawa wangekubali kipindi kile...
  9. ubongokid

    JamiiForums Tanzania Tafakari Jadidifu-Je CCM Ndio Tatizo au Wana CCM Ndio Tatizo?

    Nimeweka Kakura Kadogo Hapo Kaende Pamoja na Swali Letu Je kwa Upande wa Nchi yetu na Changamoto zetu,Je CCM Ndio Tatizo au Wana CCM Ndio Tatizo? Kama CCM Ndio tatizo Kikibadilishwa Jana Utakuwa sawa tuendelee kutawaliwa kama tulivyo? Kama Wana CCM Ndio tatizo Je Tukiwaondo wote na kisha...
  10. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Orodha ya watu waliofanya unyama na uovu na kisha wakapandishwa vyeo na serikali ya CCM

    Jina Ramadhan Igwondu (au wakati mwingine likiandikwa kama Ramadhan Ighondo) linajulikana nchini Tanzania likihusishwa zaidi na matukio mawili makuu: Kashfa ya Kutekwa kwa Dr. Steven Ulimboka (2012): Jina hili liligonga vichwa vya habari na kujadiliwa sana kwenye majukwaa ya kijamii kama...
  11. Mtemi mpambalioto

    JamiiForums Tanzania Tukiachana na CCM huyu WAZIRI WA MAJI JUMA AWESO anachapa Kazi Kwa moyo na hasubirii kusukumwa Wala kuimbiwa na MACHAWA

    Mie si mpenzi wa Vyama ni mpenzi wa wachapa Kazi Kwa ajili ya wananchi AWESO nakupa Big up sana unapiga Kasi nzuri sana Mungu akubariki wanaokuangusha ni wajinga wajinga wa mamlaka za maji DAWASA Hawa pumbafu hawa wanapoteza maji mengi sana Dar Kwa kuwa na connection ambazo zinavuja Kila...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Ubaguzi Wa CCM

  13. kavulata

    JamiiForums Tanzania Uimara wa CCM Afrika unatokana na mchanganyiko wake.

    CCM ni kati ya vyama vikongwe na imara sana Afrika chenye uwezo wa kuongoza miaka 50 mingine bila kutetereka. Kinaweza kuhimili changamoto ndogo na kubwa za ndani na nje ya chama bila kupiga chafya nyingi. Uimara wa CCM unatokana na usawa katika mchanganyiko wake wa wanachama na viongozi ambao...
  14. THE FIRST BORN

    JamiiForums Tanzania Je Serikali ya Ccm na Samia ilikua imejiandaa kweli juu ya hili swala la shule za Amali?

    Habar, Kwa Mwaka huu kumeshuhudiwa ufunguzi wa shule nyingi katika sehemu mbalimbali ya Tanzani, Shule ambazo zinamuundo tofauti na shule hizi zingine za sekondari, shule hizi mtaala wake unasema Mwanafunzi atafundishwa elimu ya vitendo zaid kumpa ujuzi wa shughuli mbalimbali ambazo baada ya...
  15. figganigga

    JamiiForums Tanzania Sasa ni zamu ya influencer, Kila mtu atafikiwa na Utawala Batili wa CCM

    Ni swala la muda.. Kila mtu atatoa mlio.. Walijua Machawa wapo sallama. Muuaji hana rafiki. Tuliwaasa, achaneni na CCM kwani washapoteza uelekeo. Akili za wanaccm sasa hivi ni kuua, kuteka, kubambikiza kesi, Vitisho, unyanyasaji na ufisadi. Watu walijua hii kitu inawahusu CHADEMA, sasa kila...
  16. K

    JamiiForums Tanzania CCM ya sasa adui yake ni Tanganyika!

    Kwasasa kusema Tanganyika ni kama haramu
  17. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Kama ishu ni vurungu za Oktoba 29, tume ya Jaji Chande ilisha msafisha Lissu. Wahusika wakuu ni CCM waliokatwa na waliopinga Samia kugombea.

    Kwamba kauli ya no reform no election ndio ilisababisha vurugu sio kweli. Au kauli ya Lissu kuwa tutakinukisha? Wananchi waliingia barabarani wakipinga ufisadi, utekaji na kukataa uovu waa CCM mtandao. Hakuna mahala walitamka kuwa Lissu ndio amaewachochea kwa kauli zake.
  18. Keynez

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu akiwa "Kingmaker" atakuwa hatari zaidi kwa CCM

    Kama nia ya CCM, serikali zake na dola ni kumwekea doa Tundu Lissu kwa kumhukumu katika kesi ya Uhaini ili akose sifa za kuwania au kuwa Rais wa JMT, wanaweza kuwa wanafanya kosa kubwa kwao la kisiasa. Lissu akiwa "Kingmaker", atakuwa na nguvu na ushawishi mkubwa zaidi na labda anaweza kufanya...
  19. H

    JamiiForums Tanzania Wana CCM mwaminini nchimbi; Samia na Familia yake ni kama wapo kizuizini. NI KWELI MOYONI KABISA SAMIA ANAITAKA SANA KATIBA MPYA.

    Kwanza tukubaliane Nchimbi sio chawa. Alichokisema alimaanisha. Msikilize vizuri Nchimbi. "ningekuwa na uwezo wa kuwaambia bila watu kusikia basi ningesema Pambaneni mpate katiba Mpya". akasisitiza. Tena kwa kumaanisha "RAISI ANATAKA SANA KATIBA MPYA". Kwanini Raisi haipambanii...? Kuna...
  20. Kichuguu

    JamiiForums Tanzania CCM Inafikirisha sana wakati huu

    Kama CCM inaweza kuhusika kwa kupotea (ama kuuwawa) kwa aliyekuwa Katibu Mwenezi wake, na sasa kupotea (ama kuuwawa) kwa aliyekuwa Katibu Mkuu wake ambao wote walikuwa wajumbe wa Kamati Kuu na Halmashuri Kuu ya taifa. Inafikirisha sana kuhusu usalama wa wana CCM ambao hawafikii hata ngazi ya...
Back
Top Bottom