ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. R

    JamiiForums Tanzania Wasira: Hakuna aliyesema kwa niaba ya wananchi akaondolewa, CCM si Malaika

    Akizungumza leo Septemba 8, 2026, kwenye Mkutano wa Kitaifa wa Kutafakari hali ya Kisiasa nchini, uliondaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), STephen Wasira, amesema "Sasa, nimjibu bwana wa UDASA. Maana bwana wa UDASA ametuonea kidogo...
  2. Bila bila

    JamiiForums Tanzania Polisi mnashinikizwa na CCM kubambikia watu kesi: Ushahidi huu hapa

    Jana aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Tabora Paul Chacha alikabidhi ofisi kwa Mkuu mpya wa mkoa huo Juma Homela. Moja Kati ya mambo muhimu aliyomtahadharisha ni tukio lililowahi kumtokea yeye la kutongozwa kwa njia ya simu na binti aliyemtaja Kwa jina moja la Sophia. Akifafanua Jinsi alivyolimaliza...
  3. kavulata

    JamiiForums Tanzania CCM mnamtafuta Gorbachev wenu?

    Tangu tupate uhuru tumesema sisi tunajenga nchi ya ujamaa na kujitegemea, na hatukuwahi kusema kuwa sasa tumeachana na ujamaa na kujitegemea tunageukia ubepari. Tunataka kila Rais wetu ajue hivyo. Ujamaa una misingi yake na ubepari una sura na misingi yake. Mfano, kuchukua ardhi iliyoko kwenye...
  4. The Khoisan

    JamiiForums Tanzania OMO anaposema kuwa Unguja hawakupewa Jimbo hata moja anamaanisha nini? Anabariki jinsi CCM wanavyogawa Majimbo kwenye uchaguzi ....!!?

    Nimemsikia OMO anaongea leo kwenye mkutano. Amedai kuwa Pemba walipewa majimbo Manne na Unguja hawakupewa hata jimbo moja. Je, anataka kukubaliana kuwa haya majimbo sasa yanatolewa kwa hisani ya CCM ama? Kwa jinsi alivyoongea ni kama vile anaomba hisani kwa CCM badala ya kudai haki yao.
  5. Nehemia Kilave

    JamiiForums Tanzania Total Political Dominance: Je, ni rahisi kushindana na CCM?

    Habari JF , Kwa kuangalia muundo wa Katiba ya sasa na mapungufu yake , Rais akiwa pia Mwenyekiti wa CCM ambayo ni chama tawala , akiwa na mamlaka mbalimbali ya kikatiba na kiutendaji, hoja inajitokeza: je, mfumo huu hauleti hali ya “Total Political Dominance”? Unapounganisha mamlaka ya Rais...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kwa mzaha mzaha heunda Mzee Warioba akapigwa kipapayi. CCM mtandao ni watu wabaya sana

    Wakishindwa kukuteka kinachofuata ni kukupiga klpapayi Hawa jamaaa wana mbinu nyingi sana za kuwamaliza watu wanaopinga ufisadi wao. Option ya kwanza huwa sumu, ya pili huwa kuteka na mwisho kabisa ni kupiga kipapayu.
  7. Parabolic

    JamiiForums Tanzania Kwa majibu haya Kihongosi, CCM ina wakati mgumu mbele ya Watanzania

    Nimemsikiliza Katibu wa Itikadi, uenezi na Mafunzo wa CCM, Kenan Kihongosi akihojiwa na mtangazaji Edwin Odemba Septemba 5, 2026 na kubaini kuwa, CCM ina wakati mgumu kujibu maswali magumu ya Watanzania kutokana na hali ya siasa inavyoendelea nchini. Maswali ya Odemba yalijikita katika uchaguzi...
  8. secretarybird

    JamiiForums Tanzania Kila nikifikiria vile viongozi wa CCM watakavyokuwa wanaburuzwa na kupewa kesi tofautitofauti kuanzia 2035, huwa nachoka.

    Kila nikijaribu kwenda mbele ya muda na kuangalia yatakayokuwa yanaendelea huwa nachoka! Naona, viongozi wa sisiemu wakiburuzwa sana, kupewa kesi za uhaini kwa sana n.k. Ama kwa hakika kutesana ni kwa zamu!
  9. R

    JamiiForums Tanzania Prof. Tibaijuka: Wazee wastaafu tuna haki kutoa mawazo tuwe ndani au nje ya CCM. Hamuwezi kutunyamazisha tunapotetea haki

    Kupitia ukurasa wake wa Mtandao wa X, Professa Anna Tibaijuka ameandika: "Wazee wastaafu tuna haki kutoa mawazo yetu tuwe ndani au nje ya CCM. Umri tumepewa na Mungu asiyetenda kosa. Ni mamlaka kutafakari ushauri wetu na kuupokea au kuupuza au kuuboresha KIDEMOKRASIA. Badala ya kujibu hoja...
  10. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Uimara na umadhubuti wa CCM unatokana na umoja na mshikamano uliopo miongoni mwa wanachama wake na waTanzania wote kwa ujumla.

    Na hiyo ndio siri ya kustawi na kuimarika kwa nguvu ya CCM kila uchwao, tofauti na upinzani wa Tanzania ambao udhaifu wao kiujumla, unatokana na chuki binafsi baina yao, uhasama baina yao, migawanyiko baina yao, tamaa, ufisadi na uchu wa vyeo na madaraka miongoni mwao, kitu kinachowafanya...
  11. ngara23

    JamiiForums Tanzania Katibu mwenezi CCM: Kihongosi out, Manara inn

    Kihongosi kaponzwa na interview yake na Odemba hasa kuhusishwa mauaji ya oktoba 29 na police na kuongelea kuchukizwa na utekaji na kupoteza Kwa Polepole. Manara karibu kwenye game
  12. Expensive life

    JamiiForums Tanzania Suala la Nchimbi kufukuzwa CCM: Vijana msijimalize, kuna kesho!

    Vijana wenzangu, Nchimbi siyo mwanasiasa mdogo, msijimalize kwa kuwa mnasaka ugali kwa sasa. Mnataka kuwafurahisha walio juu sasa hivi, kesho hawatokuwepo. Kumbukeni nyinyi bado ni machalii wadogo, kuna kesho wakuu. Zibeni ndimi zenu, usiku mwema.
  13. V

    JamiiForums Tanzania Nchimbi yuko wapi? Serikali na CCM tunataka majibu

    Wiki chache zilizopita tulitangaziwa kuwa aliyekuwa makamu wa Rais, Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi amejiuzulu nafasi hiyo. Siku chache baadaye CCM wakatutangazia kuwa wamemfukuza Nchimbi uanachama wa chama chao! Ajabu ni kuwa CCM katika taarifa yao kwa wanahabari hawakutoa fursa ya maswali...
  14. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania Mimi nashauri CCM wenye madaraka watupe katiba alafu kuwe na kifungu cha kuwalinda..

    Mimi nashauri CCM wenye madaraka watupe katiba alafu kuwe na kifungu cha kuwalinda waliokuwa wameuwa raia, walio tufisadi yani tuanze upya tujdai kama hakukuwa na kitu yan tuanze upya kama taifa jipya yan tunaashumu tulikuwa utumwani sasa tuko huru kama vile ambavo tulipewa uhuru na wakoloni ...
  15. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Tupazeni Sauti kwa Ajili ya NCHIMBI, Kwa CCM, adui wa Ndani ni Hatari kwao, alichokifanya NCHIMBI ni Sadaka, ni zaidi ya Upinzan na Wanaharakat Wengi!

    Mnakumbuka MH Polepole ?. Kile alichokifanya kwanza , kujiuzulu nafasi zake zote, kisha akaanza kukosoa UOVU wa CCM , kilikua na Thaman sana, na Watanganyika Wakamuamini 100% na Ule Ukweli alikua anauzungumza MH Polepole, ndio Ukweli ulowafanya Watanganyika Wadai NCHI yao Oktoba 29 2025...
  16. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Kihongos: CCM Tunatamani Lissu awe nje tuendeleze kujenga nchi na kufanya siasa. Nchi yetu ni ya Kidemokrasia

    Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi, amesema CCM inatamani kuona Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, akiwa nje ili aendelee kushiriki katika ujenzi wa taifa na kufanya siasa, akisisitiza kuwa Tanzania ni nchi ya kidemokrasia. Soma Pia: Kihongosi...
  17. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Kihongosi: Heche Anajua Muenezi wa CCM Sio Size Yake, hasa Katika Mdahalo. Aje na Lema, Boniyai na Sugu

    Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi, akizungumza katika kipindi cha Medani Kuu cha Star TV, amesema Heche Anajua Muenezi wa CCM Sio Size Yake, hasa Katika Mjadala na wakiwa hata 5 mimi nitafanya nao mjadala nijibu hoja kwa hoja Soma pia...
  18. M

    JamiiForums Tanzania Kihongosi: Haki na Amani vinakwenda sambamba, CCM tunasema haki pia ila unaweza kuwa na haki na usiwe na amani

    Odemba: Kuna wimbo ambao Chama Cha Mapinduzi imekuwa ikiimba kwa muda mrefu sana yapata miongo sita sasa. Na wimbo huu ni wimbo wa amani. Kwa nini Chama Cha Mapinduzi kinahimba wimbo wa amani kuliko wimbo wa haki, Kihongosi?" Kihongosi: Ndugu Odemba, huwezi kutenganisha haki na amani. Hivi vitu...
  19. kavulata

    JamiiForums Tanzania Uchafu mijini ni sera ya CCM isiyoandikwa popote.

    Wakuu wa mikoa tutawalaumu bure. Asilimia 80% ya uchafu mitaani unatokana na uholela kwenye kujenga na kufanya biashara. Kuna mitaa ambayo gari la taka haliwezi kuingia na kuzoa taka. Nyumba zinajengwe kwenye njia za maji. Biashara holela mitaani, masokoni na kando ya barabara mijini ndizo...
  20. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Taamuli Huru ya Gazeti la Mwananchi: Kilichofanyika Mkutano Mkuu wa CCM, ni Ubatili!.

    Wanabodi Hii ni Safu yangu mpya ya Taamuli Huru ya Gazeti la Mwananchi, kulaletea wana JF, makala zangu kwenye gazeti la Mwananchi, ili kikitokea kile nilichokishauri, niwe nakumbushia tuu, niliwahi kuandika nini. Hii ni makala yayangu ya siku nyingi nyuma, TAAMULI HURU: Kilichofanyika mkutano...
Back
Top Bottom