ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. Yoda

    JamiiForums Tanzania Serikali ya CCM ilikuwa na mpango wowote wa kujenga refinery ya mafuta?

    Kabla ya Dangote kusema anataka kujenga refinery Africa Mashariki serikali ya CCM katika kile ambacho huita ilani ilikuwa ina mpango wowote wa kujenga refinery au Dangote ndio aliwaamsha wakaona uhitaji wa refinery? Au pia ni kwa sababu jirani ana mpango wa refinery na sisi lazima tujenge...
  2. Ex Spy

    JamiiForums Tanzania Kada wa CCM, Bakari Kazungu, ambaye amekuwa akikemea uchawa, atekwa na kufanyiwa vitendo vya kikatili

    Bakari Kazungu anadaiwa kutekwa na ‘watu wasiojulikana’ na kufanyiwa vitendo viovu. NOTE: Video imeondolewa ili kuondoa sehemu sensitive na kulinda utu wake Soma machache aliyowahi sema: 1) CDE Bakari Kazungu: CCM ukisema ukweli unaonekana wa ajabu 2) Bakari Kazungu: Acheni kuwasingizia Heche...
  3. Idugunde

    JamiiForums Tanzania CCM mtandao wakiona hivi wanapata hofu. Soon watasimamisha mikutano ya Chadema

    Mafisadi wa CCM wanaogopa👇
  4. mngony

    JamiiForums Tanzania Katibu mpya wa Fedha wa CCM ni Mtanzania halisi? Mbona anaonekana kuzungumza kiswahili kwa tabu

    Nimemsikiliza akiwa katika mkutano wa hadhara wakipokelewa viongozi hao wapya na wanachama wao jijini Dodoma, baada ya kuteuliwa hivi karibuni. Katika mkutano huo alipata nafasi ya kuongea na kuwashambuli viongozi wa vyama vya Upinzani. Hapo ndipo nilipogundua anazungumza kiswahili kama vile...
  5. R

    JamiiForums Tanzania Evolution of CCM

    Maendeleo ya ukuaji wa CCM yamepitia njia hii kama ilvyooneshwa kwenye picha hapa
  6. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Mene, Mene, Tekeli na Peresi": Maandishi Ukutani Kuhusu Nyufa na Ugomvi wa Ndani ya CCM

    Mpasuko was chinichini na wa ndani kwa ndani huko CCM kwa sasa unaashiria mwanzo wa dhoruba kubwa ya kisiasa. Kutumia mfano wa kibiblia wa "Mene, Mene, Tekeli na Peresi," ni wazi kuwa "maandishi yapo ukutani" yakionya chama hicho tawala dhidi ya athari za migogoro ya ndani, makundi ya urithi wa...
  7. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Katibu wa Idara ya Fedha na Uchumi CCM amtaka CAG kufanya ukaguzi wa fedha za Tone tone za Chadema

    Katibu wa Idara ya Fedha na Uchumi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jamal K. Ali, amemwomba Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kufanya ukaguzi wa masuala ya fedha ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwa mujibu wa mamlaka yake kisheria. Akizungumza wakati wa...
  8. Dr Adam Francis

    JamiiForums Tanzania Nini haswa maana ya kuwa kada wa CCM katika zama za siasa za ushindani wa vyama vingi?

    Leo sitaandika makala ndefu kama ilivyo kawaida yangu. Natamani kupata maoni ya wadau kuhusu mtazamo wao wa ni nini haswa maana ya kuwa kada wa CCM katika siasa za vyama vingi. Nashawishika kuanzisha makala hii kutokana na wito wa baba wa Taifa kuwa kazi ya kutetea maslahi ya Wanyonge wa nchi...
  9. Msanii

    JamiiForums Tanzania Watanzania tumuombee Nchimbi: sasa naelewa mtifuano ndani ya CCM ni ukombozi kwa Taifa

    Nchimbi amekuwa akitoa kauli zinazojitenga na mambo ya aibu na ukatili yanayotendwa na Samia pamoja genge lake Kikao cha Kamati Kuu CCM kilichofanyika Unguja kimevuja kuwa Nchimbi atapelekwa Kamati ya Maadili ya CCM Kumekuwepo na tetesi za kumshinikiza ajiuzulu ili kumpa amani ya moyo nduli...
  10. Fbn

    JamiiForums Tanzania Yogosilavia na baadae itakavoelekea Tanzania kama CCM wakizidi kutaka kuwa wa milele

    Sio muelezaji mzuri ila ukifatilia jinsi mpaka nchi iliyokuwa na umoja na kuharibika vibaya sababu ya dini, ukabira, rasilimali uwezi kukosa Yugoslavia. Leo nasikia sijui kanali fulani anasema ukiona wanajeshi basi umepata amani ila kasahau October 29 walikuwa kama mgambo na polisi walikuwa...
  11. T

    JamiiForums Tanzania CCM Sio tena chama cha siasa, tusijidangaye kuwa itatoka madarakani kwa amani

    CCM kama chama cha siasa kilishakufa siku nyingi sana. Sasa hivi ni genge wa wahuni wamejivika mamvuli wa chama cha siasa. Lakini ni typical group la wahuni na wezi. Sijawahi kuona mwizi ana ambiwa tu acha kuiba na akaacha. CCM ni wezi hawako tayari kuacha wizi kwa mazungumzo. Hiyo tusahau...
  12. C

    JamiiForums Tanzania Tunahitaji mbinu mpya kutoka hapa tulipo, CCM siyo watu

    Nilitegemea kwa hali ya sasa watawala wangelionesha signs za remorse kwa yliyotokea 29/10. Na kutaka kuliondoa taifa kwenye giza hili. Hilo halipo... Kwa sasa unaona kabisa kuwa wanatamani Gen Z woooooooooooooooote /watanganyika woooooooooooooooooote wauawe wabaki na wazanzibar may be na...
  13. K

    JamiiForums Tanzania CCM hawezi kufanya reforms ni kama ajuza let it die, iache ife yenyewe. by Kharifa Saidi, je ni kweli?

    Nimemsikiliza huyu mwandishi WA habari kwenye moja ya mahojiano yake anasema kwa hali iliyofikia CCM kwa sasa haiwezi kufanya mageuzi kwa sababu sio tena chama cha kisiasa Imejiambatanisha na tasisi za kidora kama vile mahakama polisi usalama WA Taifa Jeshi la wananchi nk kwahiyo ni ngumu...
  14. Q

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ukiwauliza CHAUMMA na ACT - Wazalendo wanataka kuridhiana nini na CCM hawawezi kukwambia

    Hivi vyama 18 vinataka kuridhiana nini na CCM wakati vilisema uchaguzi ulikuwa huru na wa haki, na siku ya kuapishwa vilialikwa na vyote vikampongeza Samia kwa ushindi. Ulishiriki uchaguzi ukasema ulikuwa huru na wa haki, na upo bungeni wengine wamo serikalini huko Zanzibar, sasa watuambie...
  15. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Hii picha inadhihirisha Watanganyika wanataka mabadiliko. Kesi za kumbambikia watu na kutegemea vyombo vya dola havitaisaidia CCM

    Watanganyika wameikataa CCM. Hawatishiki kwa kesi na matumizi ya vyombo vya dola.👇
  16. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Ni member gani mwana CCM angalau anakubalika kwa michango yake hapa JF bila kuegemea Upande?

    Hapa kuna wana ccm huwa naangalia michango yao naona kabisa hawa pamoja kua wana CCM but ni wanabaki kusimama kwenye ukweli mimi naanza na Nyani Ngabu @Mwanakijji tuwape heshima yao
  17. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Unafikiri kwa nini CCM haina ushawishi kwa members wengi humu JF?

    Hamjambo! Kwa mtu mgeni akiingia humu JF anaweza kufikiri Mtandao au forums hii niya wapinzani. Itisha polls zozote zile. Polls itakayohusisha CCM humu JF lazima ishindwe kwenye kura kwa kiwango cha kutosha. Juzi niliitisha Polls fulani hivi ya kishikaji. Kuona watu wanamaoni gani kuhusu...
  18. Kamanda Asiyechoka

    JamiiForums Tanzania Kama taifa letu linahitaji maridhiano. CCM wameidhulumu nini CHADEMA? Maridhiano sio ngonjera

    CCM mnahubiri juu ya reconcilliation. Kwa kizungu ni maridhiano. Maridhiano hufanyika baadsa ya pande mmoja kudhulumu pande nyingine. Hass kwa kufanya mauaji na utekaji kama kule Afrika ya kusini. Kwa hapa Tanzania CCM wanataka maridhiano kwa sababu zipi?
  19. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Mwandishi Khalifa ana uwezo mkubwa wa kupambanua mambo kuliko hata wakongwe kama Pascal. CCM ni ajuza ambae hawezi kujilemba tena

    Nimeshangaa sana kijana kama huyu na umri mdogo anawashinda waandishi wakongwe kama Pascal Mayala kwenye kudadavua mambo. CCM sasa imefikia ukomo. Ni kama ajuza ambae hata apake makeup za mabilion ya dola hawezi kuwa mrembo. Mfano mzurj ni uchaguzi wa Oktoba 29. Walinunua mabasi, pikipiki...
  20. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Enyi CHADEMA, Mauaji ya Okt 29 ya CCM, ni sawa na Mauaji ya Kenya 2007 yaliyozaa Katiba Mpya. Komaeni, Pambaneni, Samia na CCM watabana ila Wataachia

    Hatuhitaji Tena Mauaji mengine kuleta KATIBA na Mabadiliko katika NCHI hii, hata hivo ikilazimu Maandamano, tútaandamana kwa kua ni HAKI. Hamna mahali popote pale DUNIANI, Kiongozi akaua watu wake siku za Uchaguzi kwa Maelefu vile, alafu akabaki salama na akatawala na Dunia ikamchekea, Hamnaaaa...
Back
Top Bottom