ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. T

    JamiiForums Tanzania Kama CCM imeweka kwenye ilani yake kipengele cha mabadiliko ya katiba ni cha nini kama kutwa kucha makada wao wako bize kuipigia debe katiba iliyopo!?

    Nchi Ina vichekesho vingi sana hivi inawezekanaje chama kimeweka ajenda ya mabadiliko ya katiba kwenye ilani yake ya uchaguzi alafu wakati huohuo makada wake wako bize kuipigia debe katiba iliyopo!? Kwa nini wasifute tu kwenye ilani ili lijulikane Moja? Ni nani aliwalazimisha kuweka hicho...
  2. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Inaelekea Hapendi Kukosolewa na Wakristo wa CCM

    1. Job Ndugai 2. Humphrey Polepole 3. Emmanuel Nchimbi 4. Tulia Atson 5. Philip Mpango 6. Josephat Gwajima 7. Joseph Sinde Warioba 8. Anna Tibaijuka 9. George Simbachawene
  3. Son of Israel from Africa

    JamiiForums Tanzania CCM wote walioko TUNOJUA NI WATANGANYIKA tujitenge tuhamie CDM wotee .

    Wala sina mdaaa Ushauri nii huuu WATANGANYIKA WALIOKO CCM TUHAME TUHAMIE CDM TUKAIPIGANIE TANGANYIKA NAWAHAKIKISHIA ASUBUHI TUU TUNAPATA TANGANYIKA HURUU KABISA. Sitaki ushaurii nimeamua kusema Maana asilimia kubwa ya wanotekwa ni WATANGANYIKA TUU! Ila angalizo akina Lucas Mwashambwa...
  4. funaku

    JamiiForums Tanzania Machawa wa CCM VS Machawa wa CDM ..Kwa nini hatuna wasomi wa siasa wenye kuja na ukweli kipindi hiki?

    Nchi yetu ipo katika eneo la kimkakati na hivyo inaingizwa kwenye vita ya kiuchumi na kiutawala kutokana na Jografia yake. Jambo linaloshangaza ni kuona hakuna wasomi wabobevu mithili ya Kabudi wanaojitokeza kutoa lecture muhimu kwa kizazi cha GEN Z badala yake wanaibuka malecturer machawa na...
  5. K

    JamiiForums Tanzania Wabara waliobaki CCM ni wale soft (Marojo tu)

    Kama kweli wewe ni Mzalendo utabaki vipi kwenye chama kama wewe ni Mbara kwa mazingira haya. Sasa ni CCM gani wa sasa kafanya zaidi ya Dr Nchimbi leo kafukuzwa kwa kukataa kuwa rojorojo.
  6. figganigga

    JamiiForums Tanzania Waliochangia Mabilioni Kampeni za CCM ndo wenye ICD katikati ya Mji Dar

    Chalamila hawezi kuwagusa. Anapiga tu kelele Malori yamejaa Mjini, lakini Malori yanakuja Mjini kushusha na kupakia mizigo kwenye ICD. Na Wamiliki wa wa ICD nnddo hao wanachangia Kampeni za CCM. Hakuna wa kuwagusa, Chalamila atabaki kupambana na Madereva tu. ‘Bandari kavu zina mizizi kwa...
  7. polokwane

    JamiiForums Tanzania Sera ya CCM kuwa wafia chama badala ya nchi ndizo zinazo liua Taifa, wakibadili tu huo mtazamo wa tutapata viongozi bora kabisa maana wapo

    Na hata hivyo huko kwenye chama wanaburutwa tu kama tela la punda, Mambo ya zidumu fikra za mwenyekiti tangu zama za nyerere ndio zinazo liua sana taifa hakafu kuna anasema nyerere mtakatifu, anautakatifu gani wakati alijiandalia katiba inayo mlinda yeye
  8. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Maneno haya yanamhusu Mbowe na genge lake. Hawatafanikiwa kuibomoa Chadema kwa fedha za CCM

    Mbowe anapoteza muda👇
  9. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Kwa kusogeza Mbele Mkutano wa Baraza Kuu kama nilivyoshauri, CHADEMA imepiga msumali wa Kichwa kwa CCM, Samia ,na Msajili wa Vyama!!

    Lissu ndio Mwenyekiti !!. Na Heche ndio Makamo Mwenyekiti !! Kama nilivyoshauri HAPA Ngoja tusubiri tuone CCM na Genge lao la Dola, watakuja na GIA gani !! Ila kwakua ni Wajinga, Watakuja na Mpango wa kipuuzi kuliko wa awali !! Sisi tuko tayari kwenda nao kiulaloulalo !!.
  10. Tindo

    JamiiForums Tanzania Wakati Chadema wamefukuza Covid 19 kwa kugoma wito wa chama chao, CCM waliwatetea hadi wakamaliza muda wao bungeni, leo wanasema Nchimbi

    Wakati wa sakata la Chadema kuwafukuza Covid 19 baada ya kugoma kufika kwenye kamati yao maadili, ccm na spika waliwalinda hadi wakamaliza muda wao wa ubunge. Ccm wote wakawa wanawachafua cdm kuwa hakuna demokrasia. Usiku wa deni haikuwahii kukucha, ccm wote sasa wanaonyesha kuwa wamemfukuza...
  11. Mudawote

    JamiiForums Tanzania Ikitokea Kamati Kuu ya CCM ikamfuta Dr Samia Uanachama atapoteza Urais

    GTs, Nimekuwa kimya sana kwa sababu nililamba uteuzi, na mimi sasa nafaidi keki ya taifa, tusisumbuane. Kwa kilichotokea kwa ndugu yetu Ndejembi, ina maana kamati kuu ya CCM inaweza kukutana na kama koramu ikikamilika basi wanaweza kumfuta Dkt Samia uanachama wa CCM na hatimaye kupoteza urais...
  12. L

    JamiiForums Tanzania Napenda Kumjibu Mzee Warioba Ya Kuwa CCM Itaongoza Taifa hili Hadi Mwisho wa Dunia Na Ataicha ikiwa Madarakani. Aache Chuki Binafsi Kwa Rais wetu

    Ndugu Zangu Watanzania, Ni Ukweli ulio wazi Kuwa Mzee Warioba amelitumikia Taifa hili kwa Muda mrefu ,ni kweli kabisa Kuwa Mzee Walioba Anahitaji Kuheshimiwa siyo kwa Umri wake bali kwa mchango wake Kwa Taifa hili . Lakini Inakuwa inasikitisha sana kuona anajadili vitu kwa hisia tu bila...
  13. mirindimo

    JamiiForums Tanzania CCM HII SCRIPT ITAWACOST

  14. T

    JamiiForums Tanzania Yaani CCM wakiwa na jambo lao hata kama ni la kutumbukiza nchi shimoni watashikamana na kulipigia debe hutajua yupi professor doctor au la saba

    Hiki chama kina matatizo sana yaani wao cha kwanza kwao ni maslahi ya chama kwanza. Na sababu kuu ni kwamba wameaminishwa kwamba hakuna maisha nje ya chama hivyo mtu yuko tayari kusaliti dhamiri yake kusaliti elimu yake na kusaliti utu wake ilimradi tu asiende kinyume na chama. Yaani kwa kifupi...
  15. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Kama Dk Nchimbi amefukuzwa CCM kama mbwa, we kidampa usie na mbele wala nyuma unahangaika nini kusifia uovu wa CCM

    Nchimbi ni mmoja wa Watanganyika walioipambania CCM tangu akiwa kijana mpaka leo hii anakuja kufukuzwa kwa kuktaa uchawa na kupinga maovu We kidampa ambae kumiliki tu smart phone unajiona CCM mali ya baba yako na kutetea uchawa na uovu una nini cha maana?
  16. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania CHADEMA Vs CCM Mitandaoni: Uchambuzi wa Kudorora kwa Ushawishi wa Chama Tawala mbele ya Nguvu ya Hoja Kidigitali

    Wakuu, Kufuatia mabadiliko makubwa ya kisiasa nchini, kuna mjadala mzito unaoendelea kuhusu "nani zaidi" kwenye makali ya hoja mitandaoni (X, JF, TikTok, na Instagram) kati ya CHADEMA na CCM. Ukweli uliopo ni kwamba CHADEMA inatawala mijadala kwa kasi na ushawishi mkubwa wa kisaikolojia, huku...
  17. idiomer

    JamiiForums Tanzania Ahadi za Tanganyika African National Union Je zinafuatwa na CCM? Ni zile mbili za mwisho 9 na 10

    Je umewahi kusoma ahadi hizi? Ahadi za Tanganyika African National Union (TANU) 1. Binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja 2. Nitaitumikia nchi yangu na watu wake wote 3. Nitajitolea nafsi yangu kuondoa umaskini, ujinga, magonja na dhuluma. 4. Rushwa ni adui wa haki, sitapokea wala kutoa...
  18. Son of Israel from Africa

    JamiiForums Tanzania Nchii yetu hakuna Chama cha siasa chenye wanafiki kama CCM

    Real wala sina salamu CCM na watu wake ni wanaa kichizi Sijapata kuona wanafiki kama wanaccm. Wao wenyewe wametuleea Nchimbi Wakampamba weee oo ndio chaguo letu oo anakijua chama o sijui amekulia ndani ya CHAMA SASA BAADA TUU KUJIUZULUU . WAMEJIFUNGIA SIJUI HATA WAMEJIKUSANYA SAA NGAPI...
  19. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Mary Chatanda: UWT Tunaipongeza Halmashauri Kuu ya CCM kwa Kumfukuza Balozi Nchimbi

    Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania (UWT), Mary Pius Chatanda, ameipongeza Halmashauri Kuu ya CCM kwa uamuzi wa kumfukuza Balozi Emmanuel Nchimbi kutoka katika Chama hicho. Naupongeza nawapongeza wajumbe wa halmashauri kuu ya CCM ya taifa chini ya mwenyekiti wa chama...
  20. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu: CHADEMA wana viongozi bora kuliko CCM

    Nimeangalia mahojiano ya Tundu Lissu na John Mnyika kwenye kesi ya Uhaini inayomkabili Lissu, nikajiuliza vipi hao wanaohojiana ndiyo wangekuwa ni viongozi waandamizi wa CCM? Hii kesi inaonesha ni kwa kiasi gani CHADEMA ina viongozi bora na weledi kuliko viongozi waliopo CCM.
Back
Top Bottom