Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
Sitaki kuingia kwenye dini sio sehemu yangu.
Hapa na zungumzia wale wakina Nuhu wakutaka kuwajengea safina.
Wanaopigania nchi na vizazi vyenu kwa mislahi yenu mnawaona sio wazarendo,vibaraka,waihini na wengine kupotezwa kabisa.
Kwa nyie CCM na chawa siku galika likifika mtawakumbuka wakina...
Hakuna wanachokihofia wala hawajali tena wanafanya nini kibaya Kwa watanzania.
Leo hii wanajiuliza ni jambo gani baya hawajawahi kufanya. Kama kila aina ya uovu wamefanya na Bado watanzania wapo kimya, wahofie nini tena?
Hakuna ufisadi ambao CCM hawajafanya, lakini wanaona watanzania wamejawa...
Hamjambo!
Moja ya athari za kupotea kwa Humphrey Polepole ni kuwadogodesha hata wale waliowahi kufikiri ni wakubwa ndani ya CCM iwe kwa nafasi walizowahi kuzishika au wanazozishika hivi sasa.
Ni wanaccm wachache sana waliowahi na watakaowahi kufika level ya kisiasa aliyofika Humphrey Polepole...
Wanabodi,
Nimeisikiliza Press Conference ya Mwenezi wa Chadema, Brenda Rupia. Amemuita Mwenezi wa CCM, Kenan Kikaragosi badala ya Kenan Kihongosi, nikaona kauli hiyo inatakiwa kufanyiwa PNA.
Kwanza msikilize Brenda https://youtu.be/lscfiTCe69o
Kwa sisi waandishi wa habari wa broadcast...
Miji ni michafu sana, biashara kila sehemu kila aina. Shagalabagala kila kona kasoro Ikulu tu. CCM wanadhani kwa kufanya hivi itaepuka lawama la wananchi kumbe ndio inabeba lawama.
Raia mwenye akili timamu anajivunia kitu kizuri na safi kama vile masoko, mashule, barabara zilizopangika...
Akikataa bilioni 2 basi tafuteni kamgodi au kakitalu mpeni anyamaze. Ila kumjibu kwa hoja ni ngumu sana
Watangazaji wameulizwa kimoja ambacho CCM wameweza wameshindwa
Sasa hivi upepo wa kisiasa unavyovuma ni dhahiri kiwango Cha kukubalika kwa viongozi wengi wa CCM kimeshuka miongon mwa watanzania na sijuhi kwanini hawajashutukia hili suala
Tangu Chadema irudi kwenye uwanja wa kisiasa baada ya kile kifungo imekuwa imara kuliko hawali
Na uimara huo...
Hapa nazungumzia wafanyabiashara wadogo na wa kati ambao walipoteza mitaji yao.
Mtu alikuwa na mtaji kama wa mil nane au kumi na sababu ya ufisadi wa CCM vurugu zikatokea.
Inakuwaje mnajitengea tril moja kujilipa kwa ajili ya safari lakini mmesahau kusaidia watu walioathirika na ufisadi wenu.
Sikatai na wala sipingi kuwa CCM ipo madarakani sababu ya kuwa vyombo vya dola vimeikumbatia.
Lakini nguvu ya umma ni zaidi ya bunduki na vifaru.
Heche na Lissu wamekiheshumisha chama chao. Kwanza kwa kuwa na msimamo wa kutonunulika.
Sasa kwa Chama ambacho kina viongozi kama Kihongosi na Ally...
"Chama cha Mapinduzi ni adui wa kila mtu. Mwalimu Nyerere alikuwa anapambana na maadui wangapi? Watatu, sindio? Ujinga, maradhi, na nani? Na umaskini.
Leo Chama cha Mapinduzi ni adui namba nne. Chama cha Mapinduzi. Ni adui wa wakulima, ni adui wa wafanyabiashara, ni adui wa maaskari ambao pia...
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesikitishwa na kile kilichokiita ni mipango ya siri inayoratibiwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) yenye lengo la kuhamasisha vurugu nchini kupitia maandamano.
Kauli hiyo imetolewa leo Juni 13, 2026, Jijini Dodoma na Katibu wa Itikadi, Uenezi na...
Watanganyika endeleeni kupaza Sauti ya Utaifa ya Tanganyika.
Kadri Wazanzibari wanavyojibu ndio mpasuko ndani ya Jamii unaongezeka, sikiliza kwa makini huyu Sheikh anayozungumza alafu useme kwa nini kusiwepo na Serikali ya Tanganyika.
CCM mjibuni huyu Sheikh.
CCM kwa sasa uwelekeo wenu baada kukipa chama jeshi la polisi na jeshi la nchi.
Ila na wakumbusha rwanda mpaka ilipofikia 94 ndio ikatazamwa dunia nzima.
Sio hapo ila CCM bado mjajifunza naijeria,libya,sudani,somaria,yogosilavia,Korea kutengana,vitenam na nchi ambazo mwisho wa siku ni ukweli...
Siasa za namna hii ndizo zinazo kwamisha nchi kusonga mbele.
Hakuna uzalendo wa dhati kwa nchi, wala namna yeyote ya kuwa na uzalendo kwa nchi hakuna , nchi inateketea hii kwa ujinga.
Namkumbisha msajiri wa vyama vya siasa jaji Mtungi na msaidizi wake bwana Nyahoza kuchukua hatua za haraka sana kukiandikia barua chama cha mapinduzi CCM.
Hii nikutokana na kauli mbali mbali zinazotolewa na makada wake wazanzibari zinazohamasisha ubaguzi dhidi ya watanganyika waishio Zanzibar...
Terrible! Majitu mazima yanachapwa viboko yanakubali ! Kwa sheria ipi aliyoitumia mpuuzi huyu!
Inasikitisha sana! Watu wazima kabisa wanachapwa viboko na wanakubali. Huyu Kenan Kihongosi alitumia sheria ipi kufanya jambo hilo? Kwa kweli kitendo hiki kinaibua maswali mengi kuhusu matumizi ya...
Naona kama taifa letu halina future tena.
Mwalimu Nyerere aliwategemea hawa jamaa wa iliyokuwa USSR. Kwa ujinga uliokuwepo tukaimbishwa nyimbo kuwa ni watu wazuri na sio wanyonyaji. Lakini hakuna walichotusaidia zaidi ya wao kuuza siraha zao na kunufuika wakati wa vita vya Kagera na hata pia...
Akizungumza na wananchi mkoani Mbeya, Jacob amedai chama tawala cha CCM kimeweka mbele chuki na maslahi ya kisiasa na ya mtu binafsi kuliko ustawi wa nchi, akidai kuwa wako tayari kuona nchi inakosa misaada ya maendeleo ili mradi tu sauti ya Lissu izimwe.
Nimepita leo ofisi za Nida pale Mombasa watu wamekusanyika wengi foleni juani toka asubuhi hadi jioni, hivi katika kizazi hiki cha technology ilivyopiga hatua una haja gani kuwaanika watu juani na kuwanyeshesha mvua, huku ukiwa umewasitisha kufanya kazi kutwa nzima!!?
Hali ni hiyo maeneo mengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.