Sio siri tena ,wananchi wengi hujitokeza kuiga CCM kwa sherehe ,sherehe ambazo zinatokea kwa kufanywa matamasha ya muziki,asie na mwana abebe jiwe kumuona Raisi wa mwisho wa CCM, muungano wa vyama viwili vilivyotupatia uhuru.
Wengi wakisema mwaka huu kila kitu ni historia hivyo kushiriki kwake...