lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,152
- 33,350
Huwezi amini, kwa ninachokiona, kukisikia na kukihisi Juu ya wana CCM hapa nchini kwa kipindi hiki cha kampeni.
Ni kwamba ile confidence amabayo huwa wanakua nayosasa hivi haipo tena, imekata.
Hawa jamaa walikua wakijiamini kila kipindi cha uchaguzi kuwa wanaenda kushinda kwa kishindo, lakini Sasa hivi wamejwa na hofu, mashaka na kitete.
Hata mkuu wao mwenyewe alisikika juzi kaati hapa kuwa watapiga kampeni kitanda kwa kitanda.
Huku chini wafuasi wao konfidensi yao imebaki kwa NEC na ZEC tu, u Jecha. Lakini zaidi ya hapo hawana confidence tena kama ilivyokua zamani.
Kibaya zaidi ni jinsi Lisu anavyopiga biti kiwa Safari hi haibiwi mtu kura, na aina yoyote ya dhuluma itakutana na mrejesho stahiki na mkali sana.
Sababu nyingine ni Jumuiya za kimataifa na Taasisi kubwa kubwa na ndogo kupaza sauti zao ili Uchaguzi uwe huru na wa haki.
Sababu nyingine ni harufu kali ya uasi ndani ya CCM. Safari hii kutatokea Uasi mkubwa mnoambao haujawahi kutokea.
Vijana wanaoipigania Chadema na Upinzani kusaidia kudukua taarifa muhimu kuhusu Uchaguzi.
Kubwa kuliko yooote ni aina ya mgombea mmoja wa upinzani Ndg Lissu kuwa na uwezo wa kujenga hoja, kuelimisha, kushawishi na kuongea. Huyu bwana amewakatisha tamaa kabisa CCM. Vijihoja wanavyovitoa kupambana nae ni vyepesi mno.
Lakini mwisho wa yote Rais anaemaliza muda wake amewaangusha Watanzania sana. Yeye amajiweka kama waziri was ujenzi badala ya Raisi wa nchi.
Aisee CCM wamakata confidence, macho Yao yote kwa NEC na ZEC na Vyombo vya Dola.
Ila sio kila mission hufanikiwa.
Ni kwamba ile confidence amabayo huwa wanakua nayosasa hivi haipo tena, imekata.
Hawa jamaa walikua wakijiamini kila kipindi cha uchaguzi kuwa wanaenda kushinda kwa kishindo, lakini Sasa hivi wamejwa na hofu, mashaka na kitete.
Hata mkuu wao mwenyewe alisikika juzi kaati hapa kuwa watapiga kampeni kitanda kwa kitanda.
Huku chini wafuasi wao konfidensi yao imebaki kwa NEC na ZEC tu, u Jecha. Lakini zaidi ya hapo hawana confidence tena kama ilivyokua zamani.
Kibaya zaidi ni jinsi Lisu anavyopiga biti kiwa Safari hi haibiwi mtu kura, na aina yoyote ya dhuluma itakutana na mrejesho stahiki na mkali sana.
Sababu nyingine ni Jumuiya za kimataifa na Taasisi kubwa kubwa na ndogo kupaza sauti zao ili Uchaguzi uwe huru na wa haki.
Sababu nyingine ni harufu kali ya uasi ndani ya CCM. Safari hii kutatokea Uasi mkubwa mnoambao haujawahi kutokea.
Vijana wanaoipigania Chadema na Upinzani kusaidia kudukua taarifa muhimu kuhusu Uchaguzi.
Kubwa kuliko yooote ni aina ya mgombea mmoja wa upinzani Ndg Lissu kuwa na uwezo wa kujenga hoja, kuelimisha, kushawishi na kuongea. Huyu bwana amewakatisha tamaa kabisa CCM. Vijihoja wanavyovitoa kupambana nae ni vyepesi mno.
Lakini mwisho wa yote Rais anaemaliza muda wake amewaangusha Watanzania sana. Yeye amajiweka kama waziri was ujenzi badala ya Raisi wa nchi.
Aisee CCM wamakata confidence, macho Yao yote kwa NEC na ZEC na Vyombo vya Dola.
Ila sio kila mission hufanikiwa.