Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,453
- 283,788
Hakika ilikuwa ni lazima kumuengua Devota Minja ili asigombee Ubunge Morogoro Mjini, maana kumuacha kumeleta kifo cha ghafla kwa CCM.
Hali ndio kama mnavyoona wenyewe
Mjumbe wa kamati kuu , mchungaji Msigwa akimnadi Mgombea ubunge wa Chadema Morogoro mjini Devota Minja
Hali ndio kama mnavyoona wenyewe