Uchaguzi 2020 Devota Minja (CHADEMA) aendelea na Kampeni kusaka Ubunge Morogoro Mjini

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,168
217,114
Hakika ilikuwa ni lazima kumuengua Devota Minja ili asigombee Ubunge Morogoro Mjini, maana kumuacha kumeleta kifo cha ghafla kwa CCM.

Hali ndio kama mnavyoona wenyewe

Subpost 3 - MOROGORO.MOROGORO.MOROGORO   Tumewaletea MAMA wa NGUVU.   SHANGAZI w ( 360 X 640 ).jpg
Subpost 2 - MOROGORO.MOROGORO.MOROGORO   Tumewaletea MAMA wa NGUVU.   SHANGAZI w ( 360 X 640 ).jpg
Subpost 1 - MOROGORO.MOROGORO.MOROGORO   Tumewaletea MAMA wa NGUVU.   SHANGAZI w ( 360 X 640 ).jpg
Subpost 4 - Uzinduzi wa kampeni za mgombea Ubunge wa jimbo la Morogoro mjini Mhe ( 640 X 640 ).jpg
Subpost 3 - Uzinduzi wa kampeni za mgombea Ubunge wa jimbo la Morogoro mjini Mhe ( 640 X 640 ).jpg
Subpost 2 - Uzinduzi wa kampeni za mgombea Ubunge wa jimbo la Morogoro mjini Mhe ( 640 X 640 ).jpg
Subpost 1 - Uzinduzi wa kampeni za mgombea Ubunge wa jimbo la Morogoro mjini Mhe ( 640 X 640 ).jpg
Mjumbe wa kamati kuu , mchungaji Msigwa akimnadi Mgombea ubunge wa Chadema Morogoro mjini Devota Minja

Mbunge wa Iringa mjini Mhe. [USER=255517]Msigwapeter[/USER] akizungumza na Wananchi wa jimbo la Mor ( 360 X 640 ).jpg
 
Ameizika wapi? Acha kujidanganya wana Morogoro mjini na CCM ni ndugu hao...

Kwa harakaharaka hapo naona mkutano mzima hauna watu zaidi ya 1000 bado wa kumtoa abood hajazaliwa.
 
Hii nimeiona akseh, makamu wa raisi anastrugle kama level ya wabunge haea wale wa kawaida.

Na magu anasaidiwa na kujaza watu kupitia yale malori na mabasi, pia kujaza tutoto twa shule na kutumia wasanii amabao ni kivutio kwa watu wengi.
Anakusanya watu kuliko Makamu WA Rais na waziri mkuu.
 
Tatizo la CHADEMA muja bei ndogo sana ktk siasa!

Wewe unasema 'kumbe', sisi tunajua naye anaombwa akubali kwamba alipiga milioni 200 kutoka kwa waarabu wenzake na Abood ili ajiondoe. Ninyi mulisikitika, sisi tulijua ni soft exit. Bila shinikizo la chama, ndo alishajichotea hivyo!
 
Back
Top Bottom