Sadock Kabuko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2013
- 1,171
- 1,080
Nimekuwa nikifuatilia kampeni za CCM na CHADEMA, kuna utofauti mkubwa sana wa sera kati ya CHADEMA na CCM,
Sera za CCM imejikita kueleza yafuatayo kwa wananchi
1. Kujenga miundo mbinu wezeshi kumrahisishia mwananchi kufanya shughuli zake kwa urahisi mfano. barabara, ujenzi na upanuzi wa viwanja vya ndege, ununuzi wa meli, upanuzi na ujenzi wa bandari
2. Kuboresha huduma za afya na maji i.e kujenga vituo vya afya, zahanati, hospitali, kununua madawa na kuhakikisha wananchi wanapata maji ya uhakika
3. Kufanya mapinduzi ya kiuchumi kwa maendeleo ya watu
4. kutengeneza ajira n.k
5. Kusambaza umeme vijijini kwa 100%
6. kutatua kero za wananchi
Sera za CHADEMA na vyama vingine
1. Magufuli amejenga madaraja, SGR na amenunua ndege, barabara,madaraja atachaguliwa na vitu sio watu
2. Magufuli amajenga uwanja wa ndege Chato
3. Magufuli hana cheti cha kuzaliwa
4. CCM watatuibia kura na uzushi mwingine
5. CCM inatumia wasani kujaza viwanja-mikutano yao
NB: CHADEMA, ACT n.k wanajikita sana kushambulia mambo mema yaliyofanywa na CCM wamesahau mpaka kunadi sera zao nawakumbusha tu October sio mbali ule mchezo wa kulialia kwamba mmeibiwa kura, Wananchi wanaangalia na kusikiliza sera na sio makanjanja mengine.
Sera za CCM imejikita kueleza yafuatayo kwa wananchi
1. Kujenga miundo mbinu wezeshi kumrahisishia mwananchi kufanya shughuli zake kwa urahisi mfano. barabara, ujenzi na upanuzi wa viwanja vya ndege, ununuzi wa meli, upanuzi na ujenzi wa bandari
2. Kuboresha huduma za afya na maji i.e kujenga vituo vya afya, zahanati, hospitali, kununua madawa na kuhakikisha wananchi wanapata maji ya uhakika
3. Kufanya mapinduzi ya kiuchumi kwa maendeleo ya watu
4. kutengeneza ajira n.k
5. Kusambaza umeme vijijini kwa 100%
6. kutatua kero za wananchi
Sera za CHADEMA na vyama vingine
1. Magufuli amejenga madaraja, SGR na amenunua ndege, barabara,madaraja atachaguliwa na vitu sio watu
2. Magufuli amajenga uwanja wa ndege Chato
3. Magufuli hana cheti cha kuzaliwa
4. CCM watatuibia kura na uzushi mwingine
5. CCM inatumia wasani kujaza viwanja-mikutano yao
NB: CHADEMA, ACT n.k wanajikita sana kushambulia mambo mema yaliyofanywa na CCM wamesahau mpaka kunadi sera zao nawakumbusha tu October sio mbali ule mchezo wa kulialia kwamba mmeibiwa kura, Wananchi wanaangalia na kusikiliza sera na sio makanjanja mengine.