ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. Yoda

    Nani wanaoharibu nchi kati ya utawala wa CCM na vijana wanaodai haki na uwajibikaji?

    Ni kujitoa ufahamu na kukosa akili viongozi wa CCM, watawala, BAKWATA na machawa wao wengine wengi kupayukapayuka kwamba vijana wanaharibu wanaharibu nchi na kufuata mkumbo tu kwa kurubuniwa katika harakati zao za kudai haki, kupinga dhuluma na kutaka uwajibikaji. Wanaoharibu nchi hii ni CCM na...
  2. Carlos The Jackal

    Seneti ya Mambo ya Nje ya Marekani yasema Serikali ya CCM lazima Iwajibishwe Kwa Matendo yake

    Wakati Mwenye Elimu ya Pakistani akiwa Anatafakari Rungu la Leo la Marekan kuhusu Kutathimin Uhusiano. Ikapigwa tena kombora na Wataalamu wa HAKI za Binadamu wa Umoja wa Mataifa . Muda huu, Seneti ya Masuala ya mambo ya Nje ya Marekani, Imepigilia Msumali mzitoooo.
  3. ngara23

    SHETA hatoshi kuwa Meya wa Jiji la Dar es salaam, CCM fanyeni vetting ya viongozi wa wakubwa

    Binafsi Sina chuki yoyote na SHETA ni kuwa naheshimu sana, ila Niseme wazi huyu bwana hatoshi kuwa Meya wa Jiji la Dar CCM heshimuni basi wananchi kidogo Mnafanya mambo kishabiki mno. Mnawapa watu dhaifu madaraka makubwa mno Au ndo mnawapa madaraka ili muweze kuwaendesha na kupitisha...
  4. T

    CCM tumieni busara, mnaitumbikiza nchi shimoni

    Matamko ya juzi yameitenga kabisa Tanzania na Dunia Imefika hatua mpaka waafrica wenzetu ( Ghana ) wanatoa tamko kuhusu hali ya Tanzania, na sasa kidogo kidogo tumeenza kukataliwa nje ya Africa. Tukichelewa, tunaweza fika 2026 na jeraha ambalo litakua gumu au litachukua gharama kubwa...
  5. A

    PostGE2025 Tusikubali kuingia kwenye huu mtego wa CCM

    Kukubali kushindwa ni hatua moja ya kuwa mshindi wa kweli. Ni njia ya kujifunza, kukua, na kuona mambo ambayo zamani hukuweza kuyaona. Katika nchi hii, hakuna chama kikubwa na chenye historia ndefu kama CCM. Tunaweza kukosoa, tunaweza kulalamika, lakini ukweli unabaki kwamba CCM imejenga...
  6. L

    Katoa onyo kali kwa cabinet na CCM: Rais anawekwa na Mungu, msianze kampeni. Ni mpango wake kusimika mtu wake 2030

    Kwa wale walioshindwa ku stomach spichi yote ya Samia jana wakamzima katikati, Rais kaongelea 2030, from nowhere! Kaanza mbio za 2030 wakati watu hatujamaliza ma mauaji ya Oct 29, wala yeye hajui hatima yake na ICC, na Gen Z, na EU, au na wanamgambo wowote waliouliwa watoto na wake zao...
  7. The Father of All

    Nashauri CCM na Samia na wenzake wajifunze toka kwa wafuatao

    Muammar Gaddafi, dikteta wa zamani wa Libya, alipoambiwa kuwa karibu serikali ya nchi jirani ya Misri ingeangushwa na waandamanaji, ajibu "kumbuka hii ni Libya." Omar Bashir dhalimu wa zamani wa Sudan naye alipokaribia kuanguka, aliamuru wanajeshi kupiga risasi yoyote wakafanya hivyo kwa baadhi...
  8. Fbn

    Kama likitokea vyombo vya ulinzi kupinduana tunaweza kukuta vyombo vya ulinzi vitakavyo pingana na wengine ni CCM.

    Mfumo waliofanya CCM ni kama vyombo vya ulinzi ndio wanaviongoza na vina wafuwasi wao ndani. Kuna mda unakuta mtu anakutamkia wazi kama sio mwana CCM hawezi kukuogopa sababu yeye ni polisi, gereza, usalama ,TAKUKURU, uhamiaji na JWTZ
  9. K

    Tanzania ina vita baridi wapenda demokrasia vs wana mtandao wa CCM

    Wakati nchi nyingine wananchi wanapigania uchumi Tanzania tumeingia kwenye janga la kupigania HAKI . Wapigania haki wamepata nguvu sana na haitaisha wanapigana na machawa na wana mitandao ambao wanataka rasilimali za nchi. Raisi Samia , Kikwete na genge la machawa wa CCM lipo upande huo...
  10. M

    Tanzania ichague kusambaratika kwa ajili ya CCM, Vita vya Udini na Ugaidi, au ikubali katiba mpya na Tume ya Uchaguzi ili ipone

    Hiki ndiyo ninachokiona mimi,tukubali kuikumbatia CCM ambayo inafanya kila aina ya hila ili iendelee kubaki madarakani huku watu wachache wakinufaika na rasilimali za inchi kwa mgongo wa Amani, au tukubali kuingiza nchi kwenye machafuko yanayokuja mbele yetu kuanzia Udini,Utanganyika na...
  11. secretarybird

    Zikiwa zimebaki siku tatu (3) JF kufunguliwa machawa maarufu wa CCM hapa JF wanapiga jeramba ili warudi na nguvu mpya

    Naona machawa wa serikali dhalimu wakijipanga ili waje na porojo zao humu hiyo tarehe 6 mwezi huu kwa lengo kututuoa kwenye reli kuelekea 9D. Cc chiembe choice variable Tlaatlaah johnthebaptist Lucas Mwashambwa
  12. R

    PostGE2025 Gen-z msiandamane! CCM ni master of check and balance, Tanzania mpya IPO jikoni

    Hotuba ya jana imethitisha Kwamba hakuna haja ya maandamano, Chama kimeshafanya homework ya kutosha na kujiridhisha "smooth transition" ndio mechanism pekee inayoweza tumika! Wakati nyie mkijikita kwenye hasira ya hotuba ya jana wengine walijikita kwenye body language, kikohozi plus panic mode...
  13. R

    PostGE2025 Rais Samia: Wananchi walishatoa uamuzi wao kwa CCM 97% CHADEMA na ACT hawakuwepo

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam katika mkutano uliofanyika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam tarehe 2 Desemba 2025, amekosoa vyama vya upinzani vinavyodai kuwa vinazungumza...
  14. Common Folk

    Rais Samia: Vurugu zilipangwa siku ya uchaguzi kwa sababu walishajua CCM inaenda kupata ushindi mkubwa.

  15. Mtemi mpambalioto

    Wazee wa Dar mnaoenda kikao na rais kama mnajiamini Vaeni nguo za CCM

    Kama kweli haya yaliyotokea 29Oktoba hayawahusu basi VAENI NGUO ZA KIJANI zile piteni tu kwa amani kabisa mitaani mkiwa mnatembea kifua mbele! Kama mnaamini hamkuzika watoto au wajukuu kutokana na kupigwa risasi basi tembeeni kifua mbele! bahatu nzuri kesho ni siku ya Kazi so mji utakuwa nyomi...
  16. M

    TEC Na CCM, nani alaumiwe kuhusu maandamano?

    TEC imekuwa ikipinga utekaji ambao umekuwa ukifanywa na CCM, ila CCM yenyewe imekuwa haitaki kupingwa na yeyote kuhusu mambo hayo haramu TEC imekuwa ikiishauri CCM kuwa, si vizuri wapinzani wakawa ni watu wa kukamatwa na kuswekwa lumande kisa wanaikosoa CCM kwa sababu kufanya hivyo ni kuleta...
  17. The Burning Spear

    PostGE2025 Hadi muda huu hotuba ya Samia kesho na wazee wa CCM Dar December 2 imeshaharibika. Gen Z watibua kila kitu

    GT Leo tarehe 1 Dec watu wanashusha nodo kama hawana akili nzuri yote haya ni kufanya counter attack ya hotuba ya kesho. Nadhani waandaaji wa hotuba ya Samia wanakazi ya kufanya maana matamko ni mengi mno watakuwa wana edit kila mara. Kitima ndo kawamaliza kabisa. ================ Gen-Z...
  18. K

    PostGE2025 Mgombea Umeya H/Mji Bariadi aliyeteuliwa na CCM apigiwa kura nyingi za Hapana

    Jana Chama cha mapinduzi CCM kimefanya uteuzi wa wagombea nafasi za Umeya, na wenyeviti katika Halmashauri za Wilaya, Miji, manispaa na majiji hapa nchini. Katika Mkoa wa Simiyu, Halmashauri ya Mji wa Bariadi CCM iliteua jina moja tu la Zebedayo Lazaro Kingi ambaye ni Diwani kata ya Sima...
  19. Penguinelli Cactussini

    PICHA: Hivi ndio CCM wanavyoona ile picha ya watalii wanaoondoka

    Mtu wa kawaida: Picha (hapo chini) ikionyesha watalii wakiondoka Tanzania kwa kile kinachotajwa kuhofia usalama wao kuelekea D9. Ukiwa CCM na chawa kama CV no 2: Picha hapo chini ni Mamia ya watalii wakimiminika Tanzania kwa ajili ya kufurahia likizo yao.
  20. Fbn

    PostGE2025 Yanaanzaga makanusho na vitisho ila mfahamu walishapanga serikali ya CCM

    Kuhusu bodaboda wapewe mwisho lita 2 lilikuwa suala kupitiwa wakati wakiwa wanasikiliza maelezo toka kwa wakubwa wao. Makanusho ya serikali ya CCM ni kwamba wanachotaka kukifanya kilisha link na ndio maana wanatoa vitisho kwa njia yoyote. Walikanusha mfumo wa NIDA na CCM na tume ya uchaguzi...
Back
Top Bottom