ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. R

    JamiiForums Tanzania Kihongosi: Hatuwezi kushindana na vyama vidogo tunavyovilea, CHADEMA, ACT, CUF wote tunawalea

    Akizungumza na wananchi wa Ikungi mkoani Singida, katika mkutano unaofanyika Kata ya Puma leo Januari 22, 2026, Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Kenani Kihongosi, amesema kuwa Chama cha mapinduzi ni chama kikubwa hakiwezi kushindana na vyama vidogo ambavyo wanavilea akitaja...
  2. R

    JamiiForums Tanzania Kihongosi: CCM ni chama kinachozingatia utu wa watanzania, hakitikiswi na hakitayumba

    "Chama hiki ni chama cha watanzania wote, hiki ndo chama pekee kisicho na ubaguzi, hiki ndo chama pekee kinachojali vyama vyote, hiki ndo chama pekee kinachojali utu wa watanzania, chama cha mapinduzi kwa lugha nyepesi tunaita hii ni full package imejaa na imetimia, hiki ndo chama imara. Jambo...
  3. R

    JamiiForums Tanzania Kihongosi: Rais Samia hajawahi kuwa mbaguzi, ni mvumilivu, akitukanwa hajibu, CCM haina muda kujibizana

    Akiwahutubia wananchi wa Ikungi mkoani Singida, katika mkutano unaofanyika Kata ya Puma leo Januari 22, 2026, Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Kenani Kihongosi, amesema kuwa: "Samia hajawahi kuwa mbaguzi. Rais wetu ni mtu mvumilivu; hata akitukanwa, hajibu. Yeye anachojua ni...
  4. Q

    JamiiForums Tanzania TUJADILI: Mbinu gani sahihi itumike kuiondoa CCM madarakani?

    Kwa muundo wa CCM na serikali yake ulivyo bila katiba mpya huwezi kuiondoa kwa njia ya sanduku la kura. Je, tuendelee ku-push kuandikwa kwa katiba mpya kwa njia za amani hadi tuipate? Je, tu-push Maridhiano ya kitaifa? Je, tuendeleze maandamano ya MO29 yalipoishia au tuyaboreshe. How. Je...
  5. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Watanzania eleweni, CCM ni sikio la kufa. Dawa pekee ya kuwanyoosha kweli ni ICC tu

    Yaliyotokea Mbeya leo hivi ndivyo CCM ilivyo. Anayoendelea kuyafanya Kenan kihongosi hivi ndivyo CCM ilivyo. CCM haijutii vifo vya maelfu ya Watanzania kwenye Uchaguzi wa mwaka jana Oktoba 2025. Yaliyotokea waliyapanga na waliyaandaa maana ile ndo njia waliyopanga kuitumia ili wabakie...
  6. B

    JamiiForums Tanzania Serikali ya kijiji yajiuzuru CCM yatupiwa lawama kata ya hezya Mbozi

    20 January 2026 Songwe, Tanzania SERIKALI YA KIJIJI YAJIUZURU CCM YATUPIWA LAWAMA KATA YA HEZYA MBOZI https://m.youtube.com/watch?v=JoLdIMXPKac Serikali ya Kijiji cha Namwangwa kata ya Hezya wilayani Mbozi mkoani Songwe ikiongzwa na Mwenyekiti JAPHET MBUKWA imeachia Madaraka kwa Madai ya...
  7. Ileje

    JamiiForums Tanzania Mzee Butiku sasa ni yatima; CCM hawamtaki na vijana hawamtaki!

    Kwa muda mrefu Mzee Butiku alikuwa anaheshimika ndani ya CCM na vijana kwa ujumla. Ndani ya CCM aliheshimika kama mmoja wa waasisi na mlezi wa vijana. Pia viongozi wa CCM walikuwa wakienda kwake kupata ushauri katika mambo mbalimbali ya kisiasa ndani ya chama chao. Kwa vijana Mzee Butiku...
  8. Genius Man

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mambo ya kukumbukwa zaidi kwenye uchaguzi bandia Okt 29 ni polisi kuonekana mitaani wakipigia kampeni CCM

    Mambo ya kukumbukwa zaidi kwenye uchaguzi bandia oct 29 ni polisi kuonekana mitaani wakipiga kampeni na kurusha chopa yenye bendera ya CCM Mambo ambayo sio majukumu ya kipolisi na yanachochea ubaguzi na umoja wetu kwenye utofauti wa kisiasa.
  9. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Mbeya: CHADEMA yaendelea kutikisa, Polisi watumika kuiokoa CCM, Wananchi wazomea

    Ni katika Yale maadhimisho ya miaka 33 ya Chadema, ambapo ofisi mpya ya chama hicho iliyojengwa Inyala ilikuwa inazinduliwa. Unaambiwa Poliisi baada ya kuona mtiti wa Chadema wakavamia na kupora Bendera, Bado haijafahamika kama wanaenda kuitundika kwao polisi Au wanawapelekea CCM Katika...
  10. L

    JamiiForums Tanzania Kwa kazi kubwa aliyofanya Rais Samia katika awamu yake ya kwanza, alikuwa hana mbadala wa kupeperusha bendera ya CCM uchaguzi mkuu 2025

    Ndugu zangu Watanzania, Ukweli Mchungu ni kuwa Kwa kazi kubwa iliyokuwa imefanywa na Rais wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan katika awamu yake ya kwanza ya uongozi. Ilimfanya na kufanya kukosekana kwa mbadala wake wa kupeperusha Bendera ya CCM hata kama angekuwa hahitaji...
  11. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania CCM: Mpuuzeni Butiku! Zuio la CHADEMA kutokufanya siasa linatoka Mahakamani, sio Serikalini

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimefafanua kuwa kuzuiwa kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kufanya shughuli zake za kisiasa hakutokani na uamuzi wa CCM wala Serikali, bali ni maagizo ya Mahakama Kuu ya Tanzania. kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa Januari 21, 2026, Katibu wa...
  12. canular

    JamiiForums Tanzania Siri zenu tunazo kupitia Elimu kubwa CCM mambo yenu ya Gizani mnayo yafanya kuwadhulu watanganyika tunayo na yote yatawageukia ninyi

    Kujua siri za mtu yeyote. Kujua siri za herufi. Kujua siri za maneno. Kujua shughuli za siri. Kwa mashauri ya kijeshi ya kamanda. Kujua siri za... Kujua utajiri mtu alionao. Kujua siri ya sanaa zote. 12\1 MEGILLA, E....... G......, I......, L......, L......, A.....M 12\2 SIMBASI, I...
  13. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Kijiji yajiuzulu, wahusika waitupia lawama CCM Kata wa Hezya - Mbozi Mkoani Songwe

    https://www.youtube.com/watch?v=JoLdIMXPKac Serikali ya Kijiji cha Namwangwa, Kata ya Hezya Wilayani Mbozi mkoani Songwe ikiongozwa na Mwenyekiti Japhet Mbukwa imeachia madaraka kwa madai ya Mtendaji wa Kata amemkamata na kumshikilia katika ofisi yake kwa madai ya kuwa Mwenyekiti huyo...
  14. Idugunde

    JamiiForums Tanzania CCM ni chama cha kisultani. Walalahoi wasio na mbele au nyuma wanaokishabikia ni wajinga. Watoto wa viongozi wa CCM wanarithishwa madaraka kisultani

    Leo hii hii nchi ni mali ya familia na koo za wanaCCM. Familia za akina Kikwete, Samia, Mwinyi Nyererere na hat akina Jenista Mhagama ndio wanarithishana madaraka ya nchi hii. Wewe mpuuzi ambae huna mbele wala nyuma CCM ya nini kwako?
  15. M

    JamiiForums Tanzania CCM, inayotoa kibali cha kuteka na kunyang'anya uhai watu, ni nani Mpumbavu awasikilize?

    Laiti mngekuwa na hekima hata kidoogo kabisa, mlipaswa mnyamaze kabisaa hata uongozi wenu uiishe tuu ili tujue moja kwamba, tunapaswa Tuishi nanyi kwa kukwepana sana ili tunusuru uhai wetu Mnaisemea Rwanda eti haina Amani, Nchi ndoogo kama mji wa Dar-es-salaam Nchi ambayo GDP yake inaelekea...
  16. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Ziara Kihongosi inathibitisha kuwa CCM imekataliwa. Ni kama mtendaji wa kata anazunguka kusikikiza kero za wananchi

    Fuatilia kila anapopita na kusikiliza kero za watu. J Hakuna muitikio au msisimko kama kuna kiongozi mkuu wa chama tawala yupo kusililiza kero na kujua mapunngufu ya chama chake. CCM haikubaliki kwa sasa hii ndio picha kamili. Mwenezi wa CCM nae hakubaliki.
  17. Narumu newz

    JamiiForums Tanzania Kwani mbunge wa CCM akifia madarakani lazima mtoto wake abebwe jimbo husika?

    Chama cha Mapinduzi ni chama cha siasa, lakini ndani yake kinaonekana ni chama cha kifamilia kutokana na historia inavyojionyesha huko nyuma, Kuna baadhi ya Wabunge wake waliofariki kwenye majimbo yao na nafasi zao kuchukuliwa na watoto wao. Mf; Omary Abdallah Kigoda - Handeni Salum Turkey -...
  18. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanaoishangilia CCM ikishinda chaguzi wanazidi kupungua?

    Namshukuru Mungu kuwa miongoni mwa watanzania waliopata bahati kushiriki siasa za Tanzania tangu uchaguzi wa kwanza wa vyama vingine mwaka 1995. Lakini Kila miaka inavyosonga mbele naona idadi ya watanzania wanaoishangilia CCM ikitangazwa kushinda chaguzi yoyote ile, inazidi kupungua...
  19. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania CCM hamuwezi kushindana na Teknolojia

    Naziona juhudi za CCM kupambana na watu wanaotumia mitandao ya kijamii kukikosoa chama hicho. China nchi ambayo CCM wanajibaraguza kuwa wanafuata mfano wake, hawazimi mitandao bali huwapa wachina mbadala wa kile wanachozuia wasitumie. Sasa CCM wanazima TikTok, Whatsapp, YouTube na Twitter bila...
  20. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Butiku amshukia mwenezi CCM: 'Ziara ya hovyo', Agusia sakata la CHADEMA

    Mpasuko CCM!? Ni ziara ya HOVYOOO! Mzee Butiku amvaa vikali Mwenezi wa chama cha CCM Kenani Kihongosi na ziara yake huko mikoani.
Back
Top Bottom