ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. U

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mwinyi aipongeza UVCCM kwa kuipa CCM ushindi

    DKT. MWINYI AIPONGEZA UVCCM KWA KUIPA CCM USHINDI MKUBWA UCHAGUZI MKUU 2025 Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amepongeza Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) kwa kazi kubwa na ya...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Waziri mkuu Mwigulu Nchemba jiuzulu kwa kuyachafua mataifa ya jirani hasa Kenya kuwa raia wake walikuja Tanzania kushiriki kupindua serikali ya CCM

    Wakili Maduhu anasema amekagua hati za mashitaka nchi nzima za watu walioshitakiwa kwa kuhusika na uhaini wa Oktoba 29 lakini hakuna hata raia kigeni aliyeshitakiwa. Wewe kama Waziri mkuu baada ya kuapishwa ulitamka kuwa kwenye maandamano hayo raia wa kigeni hasa Kenya walihusika na walikuwa...
  3. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Siasa za Upinzani ni lazima ziwe zile zinazowalazimisha CCM waendelee Kuteka na kuua, Kuzuia Vyama au Kuvifuta, Kuwafunga jela Wapinzani n.k

    Mnajua Maji ya shingo? Au ile tunasema Kupumulia mashine ? Hiyo ndio Hali ya CCM ilivyo kwa sasa. CCM kwa sasa ímeichafua NCHI kwa Matendo yake, Dunia yote inawamulika CCM. Hamjui Kuna wàna CCM wameficha Hela na Mali zao Njé ya NCHI?. .... Sasa hili ndio Kundi la Hatari ambalo hata Samia...
  4. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Wasira: CCM kujifanyia tathmini unalenga kuboresha uongozi na kutatua changamoto za wananchi

    Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amesema uamuzi wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) kuagiza chama kujifanyia tathmini unalenga kuboresha uongozi na kuhakikisha changamoto za wananchi zinashughulikiwa ipasavyo. Wasira amesema katika kuelekea uchaguzi...
  5. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Huenda vibaka wa kisiasa na wanaharakati uchwara waliotajwa kuchochea ghasia za Oct.2025, wakatimkia ughaibuni kabla ya kunaswa na mkono wa sheria

    Sote ni mashahidi kwamba, hali ya kisiasa nchini hasa baada ya tume ya jaji chande kuwasilisha ripoti yake kwa rais Dr.Samia Suluhu Hassan, tayari kuna kila dalili na mipango kwa hasa hawa vibaka wa kisiasa na wanaharakati uchwara nchini, ambao kwa namna moja ama nyingine wametajwa kushiriki...
  6. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Kwa Sisty Nyahoza: Hebu onesha kwa umma barua ulizowaandikia CCM ukiwatishia kuwafutia usajili wao kwa kauli za viongozi na wanachama wao

    https://www.youtube.com/live/9rRDBtpMBqU?si=64FYJTRZAy4diXUs Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa kupitia kwa mtu mmoja tu aitwaye Sisty Nyahoza imeanza tena kutengeneza mwanya wa uwezekano wa kutokea kwa vurugu na mauaji mengine kwa sababu tu ya maamuzi na utendaji wao mbovu, wa kijanja janja...
  7. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Bado siamini CCM imetoa eneo la Biafra kwa mfanyabiashara wa showroom wakati lilikuwa tija zaidi kijamii

    Eneo la wazi la Biafra Kinondoni limebeba kumbukumbu na historia ya makuzi ya watu wengi kwa miongo kadhaa. Wengi wetu tumelikuta kama sehemu ya michezo, mikutano ya kijamii na hata sehemu iliyounganisha jamii ya Kinondoni kwa namna tofauti tofauti. Ndiyo maana eneo hilo halikuwa tu ardhi ya...
  8. S

    JamiiForums Tanzania Madai ya CCM kutumia helicopter za Jeshi wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2025, Msajili aliwahi fuatilia na kuchukua hatua?

    Hili ndio swali langu kwa Msajili wa vyama vya siasa nchini kama anapita humu JF au ana wasaidizi wake wanapita humu
  9. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kuna mtumishi aliyekubalika na watawala CCM na kudumu muda mrefu zaidi katika nafasi yake zaidi ya Jaji Mutungi?

    Amehudumu katika nafasi moja tangu mwaka 2013(miaka 13!). Amefanya kazi chini ya marais watatu bila kuondolewa kwenye kiti chake au hata kunyooshewa kidole na mtawala yeyote wakati wowote. Wote wameipenda na kuridhishwa na kazi yake Jaji Francis Mutungi, msajili wa vyama vya siasa!
  10. K

    JamiiForums Tanzania Tayari chali! CCM imebaki sasa kutegemea vyombo tu hata kampeni hawawezi

    Tayari chali! CCM imebaki sasa kutegemea vyombo tu hata kampeni hawawezi
  11. DogoWaNjombe

    JamiiForums Tanzania Katibu wa Siasa na Uenezi CCM-Njombe: Ukiwa CCM una uhakika wa kwenda mbinguni, hatuendi kwa kusali sana

    Katibu wa Siasa na Uenezi CCM, Wilaya ya Njombe, Hitler Msolla amesema hayo Mei 12, 2026 wakati wa ziara ya kikazi katika Kata ya Mjimwema, alipokuwa akizungumza na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa kata hiyo huku akiwakumbusha Viongozi umuhimu wa kulipia kadi zao za chama na kufanya...
  12. S

    JamiiForums Tanzania Nape asema Uimara wa CCM unategemea Upinzani, akiri kum-'miss' Zitto Kabwe bungeni

    Akiwa kwenye mahojiano na Podcast ya MS, Nape Nauye Mbunge wa Mtama anaelez kuwa yeye ni muumini wa CCM imara inahitaji upinzani imara na kama upinzani utakuwa dhaifu basi italeta shida kwa CCM. Nape anaeleza pia kuwa anamkumbuka sana na kutamani uwepo wa Zitto bungeni.
  13. R

    JamiiForums Tanzania Katibu wa Siasa na Uenezi CCM-Njombe: Ukiwa CCM una uhakika wa kwenda mbinguni, hatuendi kwa kusali sana

    Hitler Msolla Katibu wa Siasa na Uenezi CCM Njombe, amesema hayo Mei 12, 2026 wakati wa ziara ya kikazi katika Kata ya Mjimwema, alipokuwa akizungumza na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa kata hiyo huku akiwakumbusha Viongozi umuhimu wa kulipia kadi zao za chama na kufanya vikao vya...
  14. N

    JamiiForums Tanzania Inakuaje mbunge Hajui kwamba hela ya kumuona daktari ni ya serikali yao CCM

    Habari . Kwanini wabunge watanzania wanachangia hoja pasipo kuwa wafuatiliaji wa mambo. Leo nimeona mbunge mmoja anaongea kuhusiana na hela ya kumuona Daktari (consultation fees) Hii ni fedha muongozo wake ulipitishwa bungeni na wabunge wakakubali. Kingine hela ya kumuona Daktari haingii...
  15. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Tafiti zinaonyesha kuwa Watanzania wengi wanamsongo wa mawazo sababu ya utawala wa CCM chini ya rais Samia. Keki ya taifa anafaidi yeye na watu wake

    Leo Bungeni ni Mkwilima wake ndio ameutangazia umma kuwa Watanzania hasa Watanganyika kuwa wana stress na msongo wa mawazo. Kwamba wameshadata. Utaaje kudata kudata wakati wewe huwezi kupata milo hata miwili? Rais na familia yake na hata wakwe zake wanafaidi keki ya taifa? Hii nchi ni mali ya...
  16. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Kitachoiondoa CCM madarakani ni Ukosefu wa ajira kwa vijana Kiburi, dharau na Propaganda za Maji taka ndo aguko la CCM

    Ukosefu wa ajira kwa vijana amabo ni GenZ hawa ndo wanafanya ccm wanalala macho wazi pamoja na vitisho vyote lakini vijana wa Ge-z waliweza kutoka nje October 29 bila kuogopa. Kwa mbegu iliyopandwa October 29 wasifikiri Gen Z wamekubali yaishe pamoja na kuona wenzao wanapigwa risasi marafi...
  17. Etwege

    JamiiForums Tanzania CCM mtandao waonesha sura zao halisi kwenye ujenzi wa refinery Tanga, Humphrey Polepole alishatuonya

    CCM mtandao waonyesha sura zao halisi kwenye ujenzi wa refinery Tanga. CCM mtandao kwa mara nyingine tena wameonyesha nani hasa ni adui wa maendeleo ya nchi ya Tanzania baada ya kupinga mradi wa billionea Aliko Dangote wa kujenga kiwanda kikubwa cha kusafisha mafuta takribani mapipa 650, 000...
  18. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Muundo na Mfumo wa kiutawala wa CCM ni wa Milele

    Hii ikimaanisha, kamwe haiwezekani CCM kushindwa uchaguzi wowote itakaoshiriki hasa kwenye nafasi za kitaifa, na wala kamwe haiwezekani uongozi wake kupinduliwa na vibaraka wa ndani au nje ya CCM yenyewe. Ni mfumo imara na madhubuti sana wa kiutawala wa milele. Na ndio maana mpaka leo hakuna...
  19. M

    JamiiForums Tanzania Kwa hiyo Chama akipewa uraia ndio Taifa Stars itafanya vizuri? Hii CCM imekosa maono. Hawafikirii kuboresha maisha ya Walimu wanafikiria porojo

    Walimu wengi wanaishi maisha magumu sana. Nyumba za shida na mazingira ya kufundishia ya shida na tabu tupu. Inakuwaje chama kupewa uraia imekuwa kipaumbele kuliko maendeleo ya walimu?
  20. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Rais Mwinyi: Tumeanza mazungumzo na ACT Wazalendo ya malalamiko yao kuhusu Serikali ya umoja ya Kitaifa

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amevunja ukimya kuhusu mazungumzo yanayoendelea baina ya chama chake na ACT Wazalendo kuhusu Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK). Mara kadhaa viongozi wa ACT Wazalendo ndiyo wamekuwa wakizungumza kuhusu mazungumzo...
Back
Top Bottom