bujibuji masamaki

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Roving Journalist

    Simbachawene: Kijana wangu Mshugulikieni hadi awe na adabu kwa mujibu wa Sheria

    Nimeiona clip inayozunguka kwenye mitandao ya kijamii , nakiri kuwa huyo ni kijana wangu ambae ni mtu mzima anajitegemea na anafamilia yake…. Nimemwagiza Mkuu kituo kwa sababu amekosa adabu kwa jeshi la polisi na ametenda kosa la usalama barabarani ASHUGHULIKIWE BILA HURUMA KWA MUJIBU WA...
  2. Herbalist Dr MziziMkavu

    Ukitaka kuoa nchini Papua Guinea masharti yake hayo hapo chini

    Huko nchini Papua Guinea kuna kabila linaitwa Dani ambalo mwanaume anapotaka kuoa, sharti akate kidole chake cha mkono wa kulia na kumpelekea mkewe mtarajiwa kama sehemu ya mahari na upendo wake wa dhati kwake. Na kama mwanaume anataka kumpa talaka mkewe, pia ni sharti akate vidole vyake viwili...
  3. Herbalist Dr MziziMkavu

    Ushindani hata kama nchi inaendeleza silaha zake za hypersonic

    (CNN)US Secretary of Defense Lloyd Austin addressed recent Chinese military advancements Saturday, including the test of a hypersonic weapon system and strengthening of nuclear capabilities, saying, "America isn't a country that fears competition." During the Reagan National Defense Forum's...
  4. Herbalist Dr MziziMkavu

    Ipe neno lako picha zangu za leo you’ll be surprised once you find out what this lioness did when it found a baby deer

    Looking-For-Food.... KUTAFUTA CHAKULA Preppin’ Up The Snack A number of documentaries and wildlife photographers have spoken about lionesses who have been observed caring for cubs of various species, and this is nothing new. We’ve heard reports of lionesses caring for leopard cubs and even...
  5. Herbalist Dr MziziMkavu

    Rafiki, leo tunaishi katika siku ngumu na mambo magumu sana sisi, nchi na taifa letu la uturuki

    MAKALA IFUATAYO INAELEZEA TUKIO HILO KATIKA NCHI KAMILI. UKISOMA MARA NYINGI, NDIO MAHALI PA KUSOMA TENA. NI UJUMBE WA THAMANI SANA WENYE MATOKEO YA THAMANI SANA. TAFADHALI SHARE NA WAPENDWA WAKO. HAYA NI MAJUKUMU YA SERIKALI. PIA NI VITA KUBWA VYA HAKI NA KUSHINDWA. 🔴 ACHANA NA VITA VYA...
  6. Herbalist Dr MziziMkavu

    Ushuhuda wenye funzo kwa wanawake *Majuto ni mjukuu*

    MAJUTO NI MJUKUU Dada zangu kuna kitu cha kujifunza hapa Niliolewa na mwanaume mpole sanaaaaaa miaka mitano iliyopita, yani nikisema mpole ni mpole mno, hakunifatilia hata siku moja, hakuniuliza nini wala nini, alinpa uhuru wa kutosha, nikiaga naenda mahali anasema nenda, hata kama narudi saa...
  7. Herbalist Dr MziziMkavu

    Vita ya Abushiri kuzuia utawala wa Kampuni ya Kijerumani kwa Afrika ya Mashariki mwaka 1888/1889

    Vita ya Abushiri ilikuwa jaribio la wenyeji wa pwani ya Tanganyika kuzuia utawala wa Kampuni ya Kijerumani kwa Afrika ya Mashariki mwaka 1888/1889 lililokandamizwa na jeshi la Wajerumani. Wajerumani waliita "Uasi wa Waarabu". Viongozi Viongozi wake waliojulikana zaidi walikuwa Abushiri ibn Salim...
  8. Herbalist Dr MziziMkavu

    Afrika ya Mashariki ya Kijerumani

    Ramani ya Kijerumani ionyeshayo Zanzibar na pwani (mnamo Mwaka1888) Sarafu ya rupia 1 iliyotolewa kwa jina la "Deutsch-Ostafrikanische Gesellschaft" (Kampuni ya Kijerumani ya Afrika ya Mashariki); tangu 1904 zilitolewa kwa jina la koloni yenyewe bila kutaja kampuni tena Afrika ya Mashariki ya...
  9. jingalao

    Malori yakwama bandarini Dar, madereva walalamikia ukiritimba na rushwa kurudi kama zamani

    Mwananchi online linaripoti kukwama kwa malori bandarini. Je wapo wanaopima kina cha maji? ======== Mwananchi Digital imeripoti kuwa katika bandari ya Dar es Salaam kuna maroli (magari makubwa ya mizigo) yamekwama kwa siku kadhaa hivyo kusababisha madereva wa maroli kulala na kuamka hapo hadi...
  10. Herbalist Dr MziziMkavu

    TB Joshua: Afungiwa akaunti ya Youtube kwa 'kuwaponya watu wa mapenzi ya jinsia moja'

    Akaunti yake ya YouTube ilikuwa na wafuasi milioni 1.8. YouTube imesimamisha akaunti ya mhubiri maarufu wa Televisheni wa Nigeria TB Joshua juu ya madai ya matamshi ya chuki. Shirika moja la kutetea haki liliwasilisha lalamikoa baada ya kukagua video zisizopungua saba zikimuonesha mhubiri huyo...
  11. alumn

    Umoja wa Mataifa (UN): Kumbukumbu ya Hayati Dkt. John Magufuli

    Salama Wana Mapinduzi wa JF? Ndugu zangu huko Duniani kwa sasa ni Viongozi wa Dunia wanavyomuenzi Mpendwa Wetu Hayati John Pombe Joseph Magufuli kwa kuelezea Uimara na Misimamo Yake thabiti katika Kuunganisha Taifa Letu na Mapinduzi Makubwa ya kiuchumi. Link hii hapa chini karibu tufatilie...
  12. Herbalist Dr MziziMkavu

    Jinsi Mashirika ya Ujasusi ya Uingereza na Marekani yalivyozingatia mauaji kama suluhisho

    Je mauaji yanayodhaminiwa na serikali yanaweza kutumika kama mkakati? Na mauaji kama hayo yanaweza kukubalika kweli? Serikali hazikubali hilo, lakini wanasayansi wa nyuklia wa Iran wanajua inafanyika - na sio rahisi kutofautisha mauaji kama hayo na mpango wa serikali ya Marekani kuwauawa...
  13. Herbalist Dr MziziMkavu

    Video: Padri Pascal Luhengo wa jimbo la Mahenge Morogoro amuomba msaada Rais Samia Suluhu baada ya kukimbia nchi na kwenda mafichoni

    WEZI WATEKA AKAUNTI YA PADRI, WAIBA MAMILIONI Na EVANS MAGEGE – Dar es Salaam GENGE la kimataifa la wezi wa fedha kwa njia ya mtandao limevamia akaunti ya barua pepe ya Padri Paschal Luhengo wa Kanisa Katoliki nchini na kufanikiwa kuiba mamilioni ya fedha yaliyotumwa na marafiki zake...
  14. Herbalist Dr MziziMkavu

    Mtanzania agongwa na gari na kufariki papo hapo mjini Antalya nchini Uturuki

    Kofia ya Pikipiki ya Marehemu iliyomtoka kichwani wakati wa ajali. Breaking News:: Mtanzania Mwenye Asili ya kutoka Kisiwani Pemba nchini Tanzania akiendesha Pikipiki mjini Antalya nchini Uturuki amepatwa na ajali ya kugongwa na Gari na kufariki papo hapo juzi saa 10 na nusu jioni. Marehemu...
Back
Top Bottom