Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,329
- 33,138
SERIKALI INAYOSEMA UKWELI MTUPU
Ndipo tumefika toka kitambo...sasahivi ni ujobless uendelee.Ndiko tunakoelekea
Huko tulishavuka mkuu, walichewa tu kutuambiaNdiko tunakoelekea
kwa uhalisia hakuna ajira za kuwaajiri watanzania wote wanaomaliza vyuo tukubali tusikubali ndiyo ukweli halisi nchi yoyote haiwezi chadema wanaropoka tu kusema ajira zipo hakuna
Tatizo watoto wa viongozi nchi hii wao ajira zipokwa uhalisia hakuna ajira za kuwaajiri watanzania wote wanaomaliza vyuo tukubali tusikubali ndiyo ukweli halisi nchi yoyote haiwezi chadema wanaropoka tu kusema ajira zipo hakuna