Hii Tamthiliyaa imekaa kimchongooo, uongo wa waziwazi !!.
Sema Kuna huyu HILLARY A.K.A GOOD BOY... na Huyu SYLVIA , MTOTO WA MJINI.
Good boy Leo kaambiwa Mimba imetokaaa baby 😅😅.
Bila kuwasahau Tabora girls...wakati wa joint mass.....mikusanyiko ya pamoja Disco la mchana ile saa nane nane kijua.....wapi chuo cha uhazili na Mirambo secondary...ya Kale dhahabu....good sweet memories....Tabora raha saanaaa.
Pia ni mkoa uliokuwa na mabinti wazuri.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dkt Hussein Mwinyi wameipongeza timu ya Taifa ya Zanzibar chini ya miaka 15 (Karume Boys) kwa kutwaa ubingwa wa mashindano ya CECAFA-U15 yaliyofanyika nchini Uganda.
Karume Boys...
USHAURI TU
Nimeeona leo vijana wa Karume Boys wa un 15 waliyotoboa uganda na kutwaa ubingwa
Ukiacha kucheza kwa jihadi vijana walikuwa wakisikiaaa karumeee wengine wanaaita boys wakawa kama wehu uwanjani uganda waliona hii vita isiwe taabu twende matuta
Matutaa Karume Boys mabingwa congs sana...
Waziri Tabia Mwita: Tuna 80% ya Karume Boys Kutwaa Ubingwa CECAFA U15
"Mimi ni timu zote, ukiona siku inacheza Simba na Yanga utaona nimevaa jezi huku ina Yanga huku ina Simba mimi ni timu zote kwa mujibu wa itifaki, ikitokea nimebadilishwa wizara nikiwa sipo wizara ya michezo nitachagua niko...
Haya aliyasema Plato kama picha inavyoonesha hapa chini.
Iron ladies and Iron boys akina Nape and Chawa Co. Ltd ndio wanaongoza taifa lazima kuwa na majanga kama haya.
Hata Magufuli alikuwa Iron Boy!
johnthebaptist
Hivi kuna kanuni ya mpira inayowaongoza vijana waokota mipira? Tumeona juzi kwenye mechi ya Yanga na USMA jinsi ambavyo vijana waokota mipira walivyotumika kuathiri mchezo.
Wakirusha mipira miwili miwili ili kupooza mchezo na kupoteza muda. kuna sheria za mpira zinazowaongoza vijana hawa...
Kama wewe ni shabiki wa Filamu za Bad Boys, jiandae kwa ujio mwingine wa #BBIV. Jarida la #Variety limeripoti ujio wa Filamu hiyo na tayari iko katika utayarishaji wa awali kupitia kampuni ya Sony Pictures.
Mastaa hao wameweka wazi taarifa ya kurejea kwa mwendelezo wa filamu hiyo baada ya...
Kuna mabadiliko makubwa sana katika ushindani wa matokeo ya kidato cha sita. Wakongwe waliotesa kwa miaka mingi wamepigwa mweleka mkali wakiwemo Marian Girls, Feza boys, Marian boys, Feza boys, Kibaha sekondari, Uwata sekondari nk. Je tatizo ni nini? Mkeka huu hapa:
Kemebos Sekondari, Kagera -...
RS Berkane
Renaissance Sportive de Berkane (Arabic: النهضة الرياضية البركانية) commonly known as Nahdat Berkane or RS Berkane for short, is a Moroccan sports club based in Berkane, Morocco. The club's football team is currently playing in the first division of Moroccan championship Botola. The...
Boy introducing his 95th girlfriend to his boys
HIS BOYs: hatujui hata umempa nini broh wetu hatujawahi muona akiwa kwenye love like this
Alafu Girl nae Anajibu: ' ni mapenzi tu'
😅😅😅
Samia amesema anaunga mkono chanjo ya nyumba kwa nyumba inayopendekezwa na mkuu wa mkoa wa mbeya.
Swali hizo cost zinazotumika kulazimisha watu wachanjwe zinatoka wapi? Kwanini pesa zisielekezwe kwenye mambo mengine ya msingi.
Mama wanaomshauri wanamponza Sana.
---
Rais Samia Suluhu...
Mwaka 1995 kama asingekuwa Nyerere boys to men walikuwa tayari wamechukua nchi.
Akawapiga chini ila Kuna mambo mengi yaliendelea mpaka kifo chake mwaka 1999 hapo ndio lobbying ilifanyika wakaingia ulingoni na kuanza kumtishia Mkapa akaanza kubinafsisha kila kitu.
Ukiona leo Bei ya unit 1 ya...
Tulicharazwa bakora na wanafunzi wa sekondari ya bweni "Bwiru Boys".
ILIKUWA HIVI...
Kulikuwa na upinzani mkali wa kabumbu kwa timu za shule kati ya shule yetu ya sekondari yaani "KITANGIRI SEC" na shule ya bweni ya wavulana yaani "BWIRU BOYS SEC".
Bwiru Boys wana viwanja viwili vya mpira...
Timu ya Taifa ya vijana chini ya miaka 17, Serengeti Boys inatarajiwa kusafiri kuelekea nchini Morocco kwa ajili ya fainali za AFCON U-17
Serengeti Boys inayoiwakilisha Tanzania, katika mchezo wa kwanza itakipiga dhidi ya Nigeria siku ya tarehe 14 mwezi huu
Tanzania ipo Kundi B pamoja na timu...
Habari wanajukwaa,
Shule kongwe ya ufundi ya Bwiru boys imepoteza mwalimu wake mkuu, mwalimu Elias Kaboja.
Taarifa zinadai Mwalimu Kaboja alienda kumsalimu mwalimu wake hospitali ya Bugando na alipotoka naye akaugua na alipopelekwa hospitali hakuweza kurejea tena nyumbani.
Je, ni kweli watoto wa kiume siku hizi wanazaliwa wachache?
"Angalia mtaani/vyombo vya habari/watu unaosikia wamejifungua: utaona miongoni mwa watoto waliozaliwa, watoto wa kiume ni adimu -- watoto wengi wakiwa ni wa kike. " alisikika mtu mzima fulani akiongea.
Yana ukweli?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.