Makonda: Kila Mkoa tuweke screen kubwa kuangalia heshima inayojengwa na vijana wetu Serengeti Boys, Juni 2, 2026

Makonda: Kila Mkoa tuweke screen kubwa kuangalia heshima inayojengwa na vijana wetu Serengeti Boys, Juni 2, 2026

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,930
Reaction score
2,957
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Paul Makonda amewataka wakuu wa mikoa Nchini kote Siku ya Jumanne, Juni 2, 2026 Kila Mkoa waweke Luninga kubwa ili watu watazame fainali ya michuano ya AFCON kati ya Timu ya Taifa ya Vijana chini ya umri wa miaka 17 Serengeti Boys na Senegal



Soma pia
 
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Paul Makonda amewataka wakuu wa mikoa Nchini kote Siku ya Jumanne, Juni 2, 2026 Kila Mkoa waweke Luninga kubwa ili watu watazame fainali ya michuano ya AFCON kati ya Timu ya Taifa ya Vijana chini ya umri wa miaka 17 Serengeti Boys na Senegal

Soma pia
Mmeanza tena,wale vijana waacheni wapambane wenyewe .Tanzania bila ccm inawezekana.wamefanya makubwa bila msaada wenu wana siasa Leo fainali ndio mnajisogeza.ccm mkitia pua tu hawa vijana fainali tunapoteza.nyinyi MNA laana kila mtakachogusa kinaharibika mpaka mtubu
 
Mmeanza tena,wale vijana waacheni wapambane wenyewe .Tanzania bila ccm inawezekaa.wamefanya makubwa bila msaada wenu wana siasa Leo fainali ndio mnajisogeza.ccm mkitia pua tu hawa vijana fainali tunapoteza.nyinyi MNA laana kila mtakochogusa kinaharibika mpaka mtubu
Mwanzoni walikuwa wapi
Fainali wameingia wanasiasa haoo washajisogeza 😄

Ova
 
BASHITE kabla ya kushtukiwa na Jiwe mambo yake yalikuwa ni haya haya ya kutengeneza matukio yasiyokwisha ya ulaji na upigaji.
 
Hawa madogo wanafanya vizuri huu ndio muda wa wale wanaojiita mawakala na mameneja kuchukua wachezaji, kuinvest kwao na kuwatafutia timu zitakazo wakuza. Sio timu zinawachukua ,dogo akionekana na potential ndipo mnaanza kujipachika umeneja/uwakala, baadae timu zilizo wakuza wakianza kudai hela ndefu mnaanza kutafuta huruma kwa jamii.
 
Mmeanza tena,wale vijana waacheni wapambane wenyewe .Tanzania bila ccm inawezekana.wamefanya makubwa bila msaada wenu wana siasa Leo fainali ndio mnajisogeza.ccm mkitia pua tu hawa vijana fainali tunapoteza.nyinyi MNA laana kila mtakachogusa kinaharibika mpaka mtubu
Ccm tuliwaonya mapema,nyinyi mmelaaniwa,mmewatia nuksi vijana.mlienda kufanya nini?
 
Hawa madogo wanafanya vizuri huu ndio muda wa wale wanaojiita mawakala na mameneja kuchukua wachezaji, kuinvest kwao na kuwatafutia timu zitakazo wakuza. Sio timu zinawachukua ,dogo akionekana na potential ndipo mnaanza kujipachika umeneja/uwakala, baadae timu zilizo wakuza wakianza kudai hela ndefu mnaanza kutafuta huruma kwa jamii.
Na wanaenda qatar under 17 world cup hao

Ova
 
Back
Top Bottom