Serengeti Boys wapigwa 500M

Serengeti Boys wapigwa 500M

Deleted01

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2018
Posts
3,884
Reaction score
8,993
Kichwa kinajieleza.
Kambi imevunjwa leo, kesho wameambiwa asionekane mtu Tifany Hotel, kwenye Account kuna 2M za TFF pekee. Ahadi ya 500M imeota mbawa, wameambiwa waache A/c hela zitaingia ila madogo hawana imani maana hakuna ambacho walishawahi kuahidiwa wakatimiziwa.

Haya mambo yanaumiza sana, madogo wapewe chao bhn.
 
Acha kupotosha watu...nani anapata faida kutokana na uongo wako?

Mnataka kuwa lobby hawa vijana na akili zenu za matakoni?
 
Acha kupotosha watu...nani anapata faida kutokana na uongo wako?

Mnataka kuwa lobby hawa vijana na akili zenu za matakoni?
Wewe kweli huna akili..!
Sasa niwa lobby niwapeleke wapi mimi?
Chizi wewe, walipeni hela zao.
 
Wewe kweli huna akili..!
Sasa niwa lobby niwapeleke wapi mimi?
Chizi wewe, walipeni hela zao.
Yaani uongo unaanza kwa kudhani watu wote ni wajinga eti unatuambia akaunti ya tff ina 2m, kweli? Ebu weka bank statement hapa, tofauti na hapo hz ni love story za gazeti la sani
 
Yaani uongo unaanza kwa kudhani watu wote ni wajinga eti unatuambia akaunti ya tff ina 2m, kweli? Ebu weka bank statement hapa, tofauti na hapo hz ni love story za gazeti la sani
The fact kwamba comprehension skills zako ni mbovu sio kosa langu. Kama wazazi wako hawakukusomesha sio shida zangu. Re read and come up with a meaning at your own, nadhani hata kusoma hujui.
 
The fact kwamba comprehension skills zako ni mbovu sio kosa langu. Kama wazazi wako hawakukusomesha sio shida zangu. Re read and come up with a meaning at your own, nadhani hata kusoma hujui.
Kwa ulivyojibu tu, nimejua nareply kwa thread ya kilaza
 
Back
Top Bottom