bora

Borá is a municipality in the state of São Paulo in Brazil. The population is 838 (2020 est.) in an area of 119 km². The elevation is 582 m.
Borá is the least populated Brazilian municipality.

View More On Wikipedia.org
  1. McLaren

    JamiiForums Tanzania Ukiambiwa uwataje marapa 3 ambao ni wakali wa michano kutoka kwenye list hii, utaenda na nani?

    Wakuu, Ni ukweli usiopingika kuwa Hiphop siku hizi imekuwa ni nyepesi mno tofauti na zamani Siku hizi bars zimekuwa nyepesi na hata staili ysa kuchana imebadilika mno. Leo kuna playlists moja nimekutana nayo huko Spotify. ilikuwa na nyimbo za marapa hawa ambao tangu kitambo wako kwenye game...
  2. 888I

    JamiiForums Tanzania UTT AMIS vs DSE – Ni ipi bora kwa uwekezaji? Nisaidiane kufahamu

    Wakuu, Nimekuwa nikijifunza kuhusu njia mbalimbali za uwekezaji hapa Tanzania, na nimekutana na majina mawili makubwa: UTT AMIS na DSE. Ningependa kuelewa tofauti zao, faida, na changamoto kabla sijafanya maamuzi. Nimefahamu haya 1. UTT AMIS (Unit Trust of Tanzania – Asset Management and...
  3. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Kuajiriwa vs Kujiajiri kipi Bora? Mdau karibu utupe maoni yako

    Naomba maoni yako hapo chini je kati ya Kujiajiri au kuajiriwa ni kipi una prefer na ni kwanini?
  4. Engineer izaq

    JamiiForums Tanzania Sehemu bora ya field Electrical engineering

    Habari, Me ni mwanafunzi wa DIT ktk fani ya Electrical Engineering, kwa sasa Nipo week ya kwnz ya Field hapa Azam(Tazara/Dsm)... ila changamoto ninayo iona apa hakuna zile kazi nikaongeza knowledge hata kdg, mda mwingi tunakaa tu. Naomba msaada sehem bora kwny Field hii ya umeme, niondoke apa!
  5. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Tazama moja ya kati ya magoli bora kuwahi kufungwa na mchezaji bora wa muda wote (G.O.A.T).

    https://youtube.com/shorts/Nn26KMIKlQ8?si=9zurt8sqvi8j87R1
  6. H

    JamiiForums Tanzania Bora kipi bunge la wasomi mafisadi au machawa wasio mafisadi?

    Jitafakari!!
  7. jamaikatz

    JamiiForums Tanzania Nikifahamu unavaa hivi bora urafiki ufe

    Unakuta mwanaume anavaa zake hivi na sendo na vest anaingia zake town alafu hana habari Kama wewe ni mshkaj wangu bora urafiki uishe maana unakuwa ni utoto na uvulana , mwanaume kamili hawezi kuvaa hivi
  8. Expensive life

    JamiiForums Tanzania Lucky dube vs Bob Marley nani alikuwa bora kwako?

    Wakuu, kati hawa miamba wawili dube, Marley nani alikuwa mkali kwako? Kwangu mimi kura ipo kwa dube.
  9. The Dictator

    JamiiForums Tanzania USimkatie mtu tamaa: "Nilimsikia mama akisema bora ningekufa tu". Kisa cha kweli cha Martin Pistorius

    Martin Pistorius, raia wa Afrika Kusini ambaye alipata ugonjwa usiojulikana akiwa na umri wa miaka 12, na baadaye akaingia kwenye hali ya coma (hali ya kupoteza fahamu) mnamo mwaka 1988. Akawa hana uwezo wa kuongea, kutembea, wala kujieleza. Madaktari hawakuelewa ugonjwa wake kikamilifu, na...
  10. Loading failed

    JamiiForums Tanzania Njia ipi bora ya kununua viwanja -Arusha?

    Ndugu zangu habari. Kwa wazoefu naombeni mtujuze ni ipi njia bora ya kununua viwanja katika mkoa wa Arusha kati ya zifuatazo. 1: Manispaa / ofisi za ardhi 2: Kwa mtu binafsi 3: madalali au makampuni yanayojihusisha na kuuza viwanja. Asanteni
  11. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Me naona NI Bora kugoma kuliko kuandamana

    Kuandamana kwa sababu yoyote Ile sijawahi kuona kama inasaidia kwa nchi zetu hizi za kiafrica ni kutafuta Tu shida.embu tuchukulie mfano Angola Jana madereva na wananchi eti wanaandama kisa bei ya petrol kupanda haya wameuliwa na police na wengi majeruhi. Lakini unaonaje kama wangefanya...
  12. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Biashara zangu Bora kwa sasa hapa bongo NI apartments, pool tables, saloon.

    Bado kuna upungufu mkubwa wa nyumba na lodge aisee wageni nchini wanazid kuingia mambo NI MENGI wachina na watu kutoka Mataifa wanamiminika kwenye miradi.imagine anakuja mchina anakuta Una nyumban hujamaliza kujenga yuko tayari kukupa hela uimalizie finishing wahamie.cake ya TAIFA iliwe kila mtu...
  13. Raia Fulani

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wajumbe ni WATU NA NUSU. Hatima ya utawala bora iko mikononi mwenu kuelekea Uchaguzi Mkuu mwaka huu (Upande wa CCM)

    Ni nani wajumbe hao? Ni walioko kwenye Kamati Kuu ya CCM Taifa (National Executive Council – NEC), pamoja na wajumbe maalum wa kutoka mikoa (Wilaya/Mkoa) na vyama vya UWT, UVCCM, Wazazi nk, ambao wako kwenye ngazi za uchaguzi wa ndani. CCM imeongeza idadi na nafasi kwa wajumbe kutoka vikao vya...
  14. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Sina tabia ya kuchagua vitu (vyakula) sokoni vilivyo bora

    Kuna watu hela yao wanaichungulia Sana mtu anaenda sokoni kununua vitu ila anashika shika Sana Mimi sinaga pigo hizo yaani nachoamini vitu vyote kavileta Mungu na kila kitu NI chema na kila mtu anastahili riziki hiyo hiyo so hata nikiwa nanunua mihogo me namwambia Tu niwekee yoyote.unawazaje...
  15. Nomadiq

    JamiiForums Tanzania Kipi bora uwe na kitu, ukipoteze? Au bora usiwe nacho kabisa!

    Kwema bandungu! KUPOTEZA KITU kunaumiza sana, kutokuwa nacho kunauma zaidi. Kwa upande wako unadhani kipi bora, uwe na kitu ukipoteze au usiwe nacho kabisa? HESHIMA MBELE karibuni kwa maoni na mjadala.
  16. Equation x

    JamiiForums Tanzania Ndoa na kazi ipi bora?

    Kumekuwa na malalamiko ya wanandoa wengi walioajiriwa kuwa mbali na wapenzi wao, ambapo mke/mume anakuwa mbali na mwenzie kutokana na mazingira ya kazi. Mmoja anaweza kuwa mbali ki wilaya, mkoa au nchi tofauti na mwenzie na kupelekea ugumu wa kuonana mara mara na mwenzake. Hii imekuwa...
  17. FEBIANI BABUYA

    JamiiForums Tanzania JIPATIE SIMULIZI BORA ZA KIJASUSI

    UJASUSI, UPELELEZI NA MAPIGANO 1. ULIMWENGU WA WATU WABAYA...4000 2. I WANT TO DIE JUDGE...4000 3. GEREZA LA HAZWA...5000 4. INNOCENT KILLER (THE REVENGE)/ MUUAJI ASIYE NA HATIA (KISASI)...5000 5. NYARAKA NAMBA 72/ DOCUMENT NUMBER 72...4000 6. ELECTION SAGA MONEY IN BLOOD (SAKATA LA...
  18. FEBIANI BABUYA

    JamiiForums Tanzania JIPATIE SIMULIZI BORA ZA KIJASUSI

    UJASUSI, UPELELEZI NA MAPIGANO 1. ULIMWENGU WA WATU WABAYA...4000 2. I WANT TO DIE JUDGE...4000 3. GEREZA LA HAZWA...5000 4. INNOCENT KILLER (THE REVENGE)/ MUUAJI ASIYE NA HATIA (KISASI)...5000 5. NYARAKA NAMBA 72/ DOCUMENT NUMBER 72...4000 6. ELECTION SAGA MONEY IN BLOOD (SAKATA LA UCHAGUZI...
  19. Setfree

    JamiiForums Tanzania Lucas Mwashambwa ni mfano bora wa kuigwa!

    Hapa JF kuna watu wana maneno yanayochoma kama mkuki, hata hivyo bado kuna watu wanaobaki kuwa na mioyo ya upendo, subira na busara hata wakirushiwa mikuki ya dhihaka na kejeli. Mmoja wa watu hao ni Lucas Mwashambwa — mtu ambaye licha ya kupingwa vikali, kushambuliwa hoja zake, na kukosolewa...
  20. Expensive life

    JamiiForums Tanzania Toka ujiunge JF ni upi uzi wako bora?

    Wakuu habari zenu? Kama mada tajwa hapo juu inavyojieleza. Mimi binafsi toka nijiunge JF nina nyuzi mbili, japo nimesema mmoja imeniwia vigumu kuzitenganisha hizi nyuzi kisha nichague mmoja. Hizi nyuzi za hawa memba wenzetu waliotangulia mbele za haki, folk, Mpauko, zimeelezea hali halisi ya...
Back
Top Bottom