Wanasema an empty mind is a devil workshop.. hili naliona hapa.. najaribu kuawaza vitu vya hovyo tu hapa.. sasa kuna huyu mdau Zozo bingi... Ananitafakarisha sana.. na anavyoaminika sasa....😂😂😎. Wadau mjue Tanzania ni kubwa sana. Halafu wa tz sisi hatunaga baya....
Let me mind my own...
Ndugu zangu tegeni masikio hapa!
Katika enzi za mfalme mwenda zake!
Kuna kijana aliibuka kama chipukizi kutoka umoja wa vijana!
Kijana yule ni moja ya vijana wanaojua sana kujipendekeza!
Ni kijana ambae ukimpa nafasi tu atatumia kila mbinu ili aonekane yeye ni bora zaidi kuliko wengine...
Maskini ajitahidi apeleke watoto wake VETA kama alivyosema PM Majaliwa. Huko kwenye siasa hawana chao, huko kwenye ajira tamu tamu hawana chao. Wameachiwa ajira zile za milango ya fahamu nadhani mnazijua.
Kama una kadi ya CCM usijiulize mara mbili mbili kachukue ugombee ubunge. Usiseme oooh mimi sina skills au exposure, bunge lililopita na lijalo halihitaji hayo mambo. Bunge litahitaji zaidi kupitisha mambo ya serikali na kumsifu mkuu. Baaasi
Kwa hiyo hata wewe Sir Nature Kiroboto kachukue fomu...
Kwema wanajamii forum, Moja kwa moja kwenye mada kwanini hizi gari zinatoka japan nyingi kama sio zote zinakuja na ile screen inakuwa na ramani za miji na navigations za japan kwa huku Bongo watu wengi hawazitumii na zinakuwepo tu kama pambo au kwa hapa bongo hakuna fundi wa kuwepa shapefiles za...
Access bank wamewachukua wateja wa Standard charted Bank toka 23 June 2025 , lakini hadi muda huu, huwezi kutoa fedha kwa njia yoyote, na call centre yao hawapokei.
BoT wanahitajika hapa ili wananchi waendelee kupata huduma kama kawaida.
Cha ajabu zaidi hawatoi support yoyote wala taarifa.
Naam mkutano na wajukuu zangu pamoja na mama zao(wakwe zangu na binti zangu),,,,
Hii ni baada ya kuzunguka na kuielewa hii dunia,hivyo sitaki mateso niliyopitia mimi pamoja na wanangu yafike kwa wajukuu zangu....
Kitu kikubwa nilichofanyia utafiti ni kutambua na kuelewa nguvu kuu katika...
Mi nilidhani kwakua ewe Israel wa Sasa unaedhaniwa umtakatifu mteule wa Mungu kama wengi wasemavyo basi ungekua peace maker na sio kuwa chaos inducer Kwa ulimwengu!!
Ukifikiri kwa kina unakosa uhalali was utakatifu wa taifa hili hasta katika zama hizi za "vita vyetu sio vya mwilini,Bali vya...
Ukistaajabu ya mussa utayoona ya firauni.
Yani hapa Tz unakuta mtu anajiita na kujimwambafy dokta na anapata heshima kubwa Kwa watu kama mtu aliesoma sana lakini ukijafatilia kwa undani unakuta ni certificate holder wa clinical medicine au nursing.
Mtu huyohuyo hata majukumu Yake ya msingi...
Hivi nyie marefa mnaona wenzenu wanavyochezesha Mpira?
Bongo mtu akiguswa tu kidogo filimbi inapulizwa hasa mkiwa mnachezesha hizo timu zetu za kurithi.
Kama mna akili na mnataka mfike mabli fatilieni haya mashindano hamtabaki kama mlivyo msimu ujao.
Naipenda Sana ligi ya Saudia hakuna...
Simba, juzi juzi tu kuelekea fainal yenu, Mama alitoa karibu gharama zote simba kwenda na kurudi Moroco, mlimpongeza mama kwa vicheko na furaha meno yote 32 nje nje kwa furaha mlokuwa nayo
Leo kawaita kuwasuruhisha, mnasema anaingilia soka na mambo yasiyomhusu
Yanayomhusu ni kutoa pesa za goli...
Kila kijana sasa amekuwa comedian.
Ukifuatilia vizuri sio kwamba ni watu wenye furaha au hata kujikimu sana basi tu wanafanya hivi ili wafariji nafsi zao kwa kujiconnect na watu na kutengeneza furaha bandia ili wadukue akili zao kuwa hawana tabu.
Kiukweli ni kuwa wana taabika kiakili sana.
Along his wife. Aseeeeee KUDANGA mixer. Bongoland
Agiza bia hapo nakuja lipia.......🚶🏾♂️🚶🏾♂️🚶🏾♂️🚶🏾♂️🚶🏾♂️🚶🏾♂️🚶🏾♂️🚶🏾♂️🚶🏾♂️🚶🏾♂️🚶🏾♂️🚶🏾♂️🚶🏾♂️🚶🏾♂️🚶🏾♂️🚶🏾♂️🚶🏾♂️🚶🏾♂️🚶🏾♂️
Wakuu hawa madogo bwana wana zingua hawajali kuhusu maswala ya kiutawala katika taifa letu pendwa la TANZANIA wao wana waza nyandu tu.
Inanipa ukakasi kijana wa chuo haoni maana ya kufuatilia sheria na kanuni za kiutawala katika taifa letu ila yupo aware na connection ya mtoto wa mchungaji...
Nawaza ingekua ndio derby ya bongo imeahirishwa na tiketi Moja ni 14,000,000, si kungezuka vita nchini? 😂 Habari zingesambaa duniani kote , watu wauana baada ya derby kuahirishwa, bodi ya ligi yakimbis kusikojulikana😂, Mzee Mguto na President Karia wafichwa ikulu kuepusha shari 😂😂😂😂
Anyway kila...
Ujenzi wetu upo sana katika misingi ya kufinya bajeti.
Siwezi kulaumu yoyote kwa maana hali ni ngumu kiukweli.
Ila hali hii isitengeneze kama jadi fulani hivi sasa maana tunaishia kugharamika hata zaidi ya pesa tungeempa fundi aliehitaji pesa ndefu. (MICHAEL)
Hii ni baada ya kusikiliza kauli za watu fulani kupitia mikutano ya waandishi na zaid baada ya kusikia kauli za watu fulani kule mjengoni siku ya jana.
Ningekuwa na uwezo na mamlaka, hii breed ningeinyunyizia dawa kama nafanya fumigation kuangamiza vimelea vya magonjwa visiendelee kuzaliana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.