bongo

Neno lisilo rasmi / la mtaani likimaanisha Tanzania. Linatumika badala ya neno Tanzania.
  1. ndege JOHN

    Kuna mwingine amezikinai hela ndogondogo kama Mimi kwa maana bongo tunapeana kwa masimango sana

    Wakubwa shikamooni hela zenu zenyewe za madafu bongo ila kuzipata mpaka mgombane mpaka mtu umnyekee mtu umlambe boss viatu.sisemi Nina majivuno wala kiburi ila nimezishika noti zenu na zinaisha haraka.. So, hapa na change plan naenda plan B ambayo NI kutafuta mwanya Fulani nipige hela ndefu...
  2. Mohamed Said

    Bongo Plus na Uchaguzi Mkuu 2025: Wanatafuta Historia ya Vijana wa Kale na Vijana wa Leo Katika Siasa

    Leo Maktaba ilitembelewa na Mtangazaji Victor Madaha wa Bongo Plus kutafuta historia ya vijana katika siasa kuanzia kudai uhuru wa Tanganyika hadi leo. Victor anasema kasukumwa kwa kuona wimbi kubwa la vijana kuingia kwenye kinyang'anyiro kuwania nafasi za uongozi katika taifa kwenye uchaguzi...
  3. ndege JOHN

    Biashara zangu Bora kwa sasa hapa bongo NI apartments, pool tables, saloon.

    Bado kuna upungufu mkubwa wa nyumba na lodge aisee wageni nchini wanazid kuingia mambo NI MENGI wachina na watu kutoka Mataifa wanamiminika kwenye miradi.imagine anakuja mchina anakuta Una nyumban hujamaliza kujenga yuko tayari kukupa hela uimalizie finishing wahamie.cake ya TAIFA iliwe kila mtu...
  4. ELI COHEN

    Huu ukakasi umenikumbusha huu msemo: "Nilipokuwa mtoto nilikuwa masikini ila baada ya muda mrefu wa kufanya kazi kwa bidii mimi sio mtoto tena"

    Maisha yamekuwa corrupted, njia zimekuwa reshaped, yani kila hatua ya uthubutu na ueledi unachoambulia kufuga ndevu na mzunguko wa kifedha ambao ukipata tsh 10,000 muda sio mrefu unarudi kuwa tsh 0 ulio kuwa nayo Ofcourse maisha hayajawai kuwa marahisi, ila maisha ya bongo haya faidishi tena...
  5. figganigga

    Chawa wa Bongo Movie, na Wasanii Uchwara hatuwaoni Wakitumbuiza Kwenye Kikao cha CCM cha Kubadili Katiba

    Kweli ya Mungu mengi, nani angejua Mkutano wa CCM unaweza fanyika bila Chawa? Bongo Movie na Chawa wote wa CCM wwalikuwa anapambana kushonesha nguo za Kijani hadi kuwatukana mafundi wetu. Hii picha sasa ndo wajue Dunia hubadilika na mambo ya kibadilika hawana uwezo wowote. Chawa sijaona...
  6. Munch wa Annabelle

    Kupata gpa ya 5.0-3.5 havard na cambridge ni rahisi kuliko UDSM

    Shalom shalom Licha ya kuwa na elimu duni wanayotoa pia kupata GPA kubwa na kali imekua anasa kwa vyuo vya serikali Tanzania kuliko hata HAVARD na vyuo vingine vikubwa duniani na sababu kubwa ikiwa sio kwamba wanafundisha sana la hasha bali kuna miungu watu nasio malecturers. Hata hao...
  7. mcTobby

    TID kama angejua ku shake kama Michael Jackson hakika wa bongo tungekoma

    Huyu jamaa jaribu kuangalia nyimbo zake zote , anastruggle sana ku shake ile ya ki Michael Jackson lakini ndio hivyo.. imemkataa..
  8. ELI COHEN

    Wajuaji wa maua , ua hili linaitwaje kibongo bongo?

  9. ndege JOHN

    Bongo ndo kama hivi tunaishi

    Tusemeni ukweli nchi gani utapata plot bleach ukiwa kijana zaidi ya Tanzania hii ndo nchi ya Kula Wazee tuire kweri Maisha mbona yanaenda wakuu nyie mna shida gani?mna njaa? pombe mmenyimwa?wanawake wazuri hamuwaoni?
  10. Moto wa volcano

    Nilichogundua Bongo tuna wahamiaji haramu wengi sana

    Nilichogundua Bongo kuna wahamiaji haramu wengi sana kutoka nchi jirani / mipakani wanaozungumza kiswahili, wakiingia katika nchi yetu wanajifanya ni wa Bongo. Siku tukiwa serious kufanya msako wengi sana tutawarudisha mwakwao na usikute hadi wewe unayesoma hapa
  11. Ponjoro wa Kinondoni

    Naombeni tafsiri ya huu wimbo kwa muktadha wa siasa za Bongo

    https://youtu.be/mpNrmB_Qe6U?si=mbUaIlbrDNWvaiyY
  12. M

    Hivi ni kweli filamu za bongo zinalipa?

    Wanajamvi salaam Leo katika pitapita zangu mitandaoni nimekutana na hii habari ya mbongo muvi mmoja kununua gari angalia picha chini Swali langu ni je filamu za bongo zinalipa au ni showoff tu za wanatasnia hawa huku nyuma ya pazia njaa tupu?
  13. E

    Crystal palace aikosa nafasi ya kushiriki Europa ,Huku Bongo kuna mtu ana mkono katika timu 8

  14. mugah di matheo

    Hivi wadau wa soka Bongo hatuna kumbukumbu?

    Juzi palikuwa na msiba wa mzee Ally Pazi Samatta,,media zote zilitoka na kumuaddress kama baba mzazi wa Mbwana Samatta it's true but hamna anaekumbuka kuwa mzee Samatta ni gwiji mstaafu wa soka la nchi hii? Amekuwa kamptain wa Simba na Taifastars for more than 5 years hilo...
  15. ELI COHEN

    Eti jamaa anatabiriwa kuwa asilimia 44 ya maisha yake ataishi "nchi za america". Tazama video

    Mi naona haina haja ya kulaumu wanabii uchwara maana wanatumia fursa ya waliokubali ujinga kama huu uwatawale
  16. K

    Natafuta Movie za zamani za Bongo

    Habari Wadau Kabla ya Bongo movie ya sasa kuna movie zilitoka kitambo sana wakati huo zilikua available kwenye VHS tu nazitafuta sana mwenye kufahamu tafadhari share nasi tunazipataje. Movie hizo ni kama Fukara Hatabiriki ya mzee majuto Shabwa Kubwa hii iliigiziwa Tanga Gubu la Wifi ya mzee...
  17. Isenye

    Kufanya kazi private sector bongo unatakiwa uwe na roho ngumu

    Imagine,sasa hivi wenzetu wa government wanawaza mshahara wa mwezi wa 7,sisi huku kwa wachina hatujalipwa mpaka leo tarehe 5 mshahara wa mwezi wa 6. Private bongo ni zaidi ya matatizo.
  18. Mohamed Said

    Mahojiano Bongo Plus: Historia ya Uchaguzi (1958 - 2055)

    https://youtu.be/Z3f-8I6ALVQ
  19. The Zanzibar Echo

    Hatutanyamaza': Familia ya Bongo yailenga serikali ya Gabon katika taarifa

    Siku chache baada ya kutoa ushahidi wake mbele ya Kitengo cha Uhalifu Dhidi ya Binadamu katika Mahakama Kuu ya Paris, familia ya Bongo inaendelea kusisitisha madhila na mateso waliyoyapata kutoka serikali ya Gabon. Katika taarifa ndefu iliyotolewa siku ya Alhamisi, Julai 3, Sylvia na Noureddin...
  20. funaku

    Kumbukumbu:Chadema ndio ilianza kuleta wasanii wa bongo fleva kwenye Siasa

    Tusije kusahau kuwa Nigga J na 2 Proud walikuwa ni wabunge kupitia Chadema.
Back
Top Bottom