biashara

  1. T

    Msimu wa biashara ya usafirishaji

    🔥 USAFIRI NI BIASHARA YA MSIMU — JE UPO TAYARI KUVUNA FAIDA? 🔥 High season inakaribia kwa kasi (Juni – Desemba) — huu ndio muda ambao mabasi yanafanya pesa halisi 💰 👉 Usisubiri msimu uanze ndipo uanze kutafuta bus… utachelewa! 🚨 Weka order yako SASA Ili kufikia high season uwe tayari na bus...
  2. upupu255

    Kuanzia Januari 01, 2026 Marekani imesitisha utoaji wa baadhi ya viza kwa raia wa Tanzania

    Kwa mujibu wa Tamko la Rais Na. 10998, kuanzia tarehe 1 Januari 2026, Marekani imesitisha utoaji wa Viza za kutembelea zisizo za uhamiaji zilizo katika Makundi B-1/B-2, Viza za wanafunzi na programu za mabadilishano zilizo katika Makundi F, M, na J, pamoja na Viza zote za uhamiaji, kwa raia wa...
  3. Chachu Ombara

    Balozi Sefue: Tunashauri Serikali itoe muda wa mpito wa mwaka kutolipa kodi ya mapato ya biashara mpya

    Mwenyekiti wa Tume ya Rais ya Kutathmini Maboresho ya Mfumo wa Kodi Nchini, Balozi Ombeni Sefue ametoa pendekezo hilo la tume hiyo leo Tarehe 18 Machi, 2026 Ikulu Dar es Salaam wakati wa kukabidhi ripoti hiyo
  4. Kikubwa Pumzi

    Biashara ya bandari na fursa zake

    Wakuu naomba anaefahamu anisaidie kufahamu biashara ya bandarini pale inafanyikaje na fursa zake pale ni zipi. Yani nataka kujua zile meli zinamlipa nani na nani au zinalipwa na nani? Dp world au adani yeye anapataje pesa ikiwa achukui kodi? Wale wenye malori yenye kontena wanafanya vipi...
  5. ngara23

    Mtaji wa laki 2 ( 200,000) Fanya biashara hizi

    Nataka niwatie moyo vijana wanaohangaika na mitaji mikubwa, basi tumieni hicho kidogo ulicho nacho Hakuna pesa isiyofanya biashara, pesa yoyote ina uweZo wa kufanya biashara na kuzaa nyingine Hapa nitashare na wadau biashara ya kufanya ukiwa na mtaji kiduchu 1. Nunua WiFi 3 Kwa 70,000 funga...
  6. Hance Mtanashati

    Biashara ya kusimamia wasanii ni biashara kichaa usithubutu kuwekeza pesa zako huko

    Miongoni mwa biashara pasua kichwa ni hii biashara ya kumsimamia msanii haswa msanii wa muziki . Awali ya yote, wengi hawajui kuna utofauti kati ya sponsor na manager. Manager kiuhalisia inabidi yeye ndiye awe analipwa na msanii ili amsimamie kazi zake lakini kibongo bongo ni tofauti. Kibongo...
  7. Waufukweni

    Tanzania na Uganda zakubaliana kuondoa vikwazo vyote vya biashara ifikapo Juni

    Tanzania na Uganda zimekubaliana kuondoa vikwazo vyote vya biashara kati ya nchi hizo mbili ifikapo mwezi Juni mwaka huu, katika hatua inayolenga kuimarisha biashara ya pande mbili na kuongeza ushirikiano wa kiuchumi. Ahadi hiyo ilitangazwa wakati wa chakula cha jioni cha rasmi kilichoandaliwa...
  8. Bwege2030

    Makosa ya kodi yanayofanywa na biashara ndogo Tanzania

    MAKOSA YA KODI YANAYOFANYWA NA BIASHARA NDOGO TANZANIA. Makosa ya kodi yanaweza kugharimu biashara yako faini na adhabu kali. Nchini Tanzania, makosa haya mara nyingi hutokana na kutoelewa sheria za TRA au kushindwa kufuata miongozo ya NBAA na BRELA. 1. Kuchanganya Matumizi Binafsi na ya...
  9. M

    Mwigulu: Wafugaji mfugo ukiumia anautibu, ila sisi wafanyabiashara wakiyumba tunawafungia badala ya kuponya biashara zao

    Mwigulu Nchemba amesema kuwa Sekta binafsi ni muhimu sana katika ukuaji wa Uchumi ila maafisa wa Serikali ni kama wanazidiwa maarifa hadi na wafugaji Akitoa mfano huo amesema wafugaji mfugo ukivunjika mguu wanaufunga PoP au ndama akiacha kunyonya wanahangaika naye hadi anyonye au mfugo ukikonda...
  10. Bhizabhityo BB

    Pesa mfukoni ≠ faida: Biashara ni zile zile, kwanini Watu hawadumu?

    Wajasiriamali wengi hapa Tanzania wanashindwa kudumu kwa muda mrefu hapa nchini kwa sababu mbalimbali. Kodi kubwa ya pango, madeni, kodi za TRA na Halmashauri n.k Lakini bahati mbaya wengi wao hawajatambua kwamba wanafanya maamuzi ya kimkakati wakitumia takwimu zisizo sahihi kama dira yao ya...
  11. VN Warehouse Limited

    Hatari ya Kuruhusu Mikopo Kwenye Biashara Changa

    Biashara inapokua bado changa inahitaji uangalizi mkubwa sana kuliko kipindi chochote kingine. Hiki ndio kipindi ambacho mmiliki wa biashara anajifunza mambo mengi kwa vitendo. Unaanza kutengeneza mtandao wako wa wateja, unaanza kuelewa ni bidhaa zipi zinatoka kwa kasi zaidi, na pia unapata...
  12. Scared

    Kununua ardhi halafu huna pesa ya kujenga ni ujinga, Bora hiyo hela ufanyie biashara

    Kuna jamaa alikua ana milion 5 zake akakimbilia kununua kiwanja mwaka jana halafu hela ya kujenga hana Sasa hivi anateseka Hivi Hawa watu wana akili timamu acheni ujinga fanyeni biashara ardhi ni hasara Kwa mtu unaejitafuta huyu jamaa sa sa hivi kachoka njaa imemjaa hela zake katupa ardhini
  13. W

    NATAFUTA PARTNER WA BIASHARA – FURSA YA USAFIRISHAJI NA BIASHARA TANZANIA

    Habari wanajamii, Natafuta partner au mwekezaji kwa ajili ya kuanzisha biashara ya kuingiza na kusambaza three-wheelers (bajaj) pamoja na magari madogo ya biashara hapa Tanzania. Kwa sasa tayari kuna mawasiliano na wazalishaji wa nje ya nchi na wameonyesha utayari wa kufanya mazungumzo ya...
  14. Red black

    Hakuna pesa za chuma ulete, kama zipo ungekuta mabenki yote yamefilisiwa na hao watumia chumaulete biashara zisingefanyika

    Hakuna kitu ya namna hio hizo ni fix tu za kijiweni. Kwamba kuna namna mtu akikupa pesa inapotea kimazingira au ukichanganya na pesa ulizokuwa nazo hata kama ni 5M zinasepa.
  15. astalavista

    Mfanye mteja asikie tangazo lako la biashara kila akikupigia badala ya ringtone ya kawaida.

    Ni sisi ONFON MEDIA watu mahiri kwenye mifumo mbalimbali, wakati huu tunakusogezea huduma ya RING BACK TUNES kwa gharama ndogo sana ya 30,000/=. Mfanye mteja wako apokelewe na ujumbe maalumu mara tu akupigiapo simu. Nipigie/WhatsApp 0795790411
  16. Bwege2030

    Siasa,uchumi na biashara duniani kufikia March 2026

    uchumi na biashara duniani kufikia Machi 2026. 1. Migogoro ya Mashariki ya Kati na Athari zake Ugomvi unaoendelea Mashariki ya Kati umeanza kupiga mifuko ya walaji duniani kote. Mashambulizi ya anga yaliyotokea mwishoni mwa Februari yamesababisha bei ya mafuta (Brent crude) kupanda kwa 13%...
  17. M

    Ni kwanini ma genius wengi darasani bila kuajiriwa ni ngumu kutoboa kwenye biashara au kujiajiri ?

    Kwa nini mara nyingi wale waliokuwa “genius” darasani wakimaliza shule wanapata ugumu kutoboa kwenye biashara au kujiajiri? 🤔
  18. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Wale wanaopenda biashara ya kuku aina ya kuchi chimbo hili hapa

    Wakuu kama mjuavyo nikienda mahali huwa napenda kuwajulisheni namna kulivyo. Bila shaka mnajua wazi mimi ni mdau wa kilimo na ufugaji (mdau haswa sio mbabaishaji) Huko kwingine tupo tu kwa sababu tunaishi dunia ya watu wa aina zote but kila nikifungua jf muhimu niingie jukwaa la kilimo na...
  19. H

    KWA BIASHARA YA TIPPER TRUCKS (KUBEBA MCHANGA NA VIFUSI , KATI YA FAW NA HOWO IPI NI GARI BORA KWA MFANYABIASHARA MPYA ANAYETAKA KUANZA HIYO BIASHARA

    Habari wadau? Naomba ushauri kwa wale wenye ufahamu n uzoefu wa hii biashara ya ma-tipper kati ya Howo na Faw zote zikiwa mpya 0km ni ipi bora kuanza nayo kwa mfanyabiashara mpya na ipi pia ukitaka kuuza baada ya kuitumia kwa mwaka mmoja au miwili inakuwa na demand kubwa toka kwa wanunuzi?
  20. Desierto

    Naombeni ushauri kuhusu kushea biashara na mtu

    Nimepata mdau ameniomba aweke mtaji kwenye ofisi yangu kesho ndo nataka nikamsikilize. Ila ni kuongeza bidhaa ofisini Mm plani yangu ni kama ataongeza mtaji basi nilitaka nimwambie mtaji wake tuweke kwenye simu ndogo za batani radio za kuchajisha na sabufa zisizo zidi Bei ya 120 Na bidhaa...
Back
Top Bottom