biashara

  1. M

    JamiiForums Tanzania The ugly truth ambayo vijana wengi wanafichwa kuhusu biashara, washindani wanacheza Rafu, Usaliti, Kufilisika, Ubinafsi n.k

    Vijana wengi hasa wanapohusdhuria semina huambiwa maneno matamu sana kuhusu biashara "Mtumishi hawezi kuwa Bakhresa", "Unajiamulia siku ya kwenda", "wewe ndie boss", n.k. hakika ni vitu vinavyowapa moto mkali sana vijana, Ila ukweli wa biashara hapa Tanzania ni mgumu sana, Washindani wanacheza...
  2. B

    JamiiForums Tanzania Itambue biashara ya Export Tanzania

    Habarini Wana jukwaa na poleni na majukuku ya kila siku. Leo ningependa tujadili kuhusu biashara ya export ambayo kwa namna Moja au nyingine ni biashara inayo fanywa na watu wachache na hii hutokana na kukosa maarifa ya dhati katika biashara hii. Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo zina...
  3. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mbunge, Maganga: TFS ni 'Disaster' kubwa, inakwamisha Biashara ya Kaboni, Waziri chukua hatua!

    Mbunge wa Katavi, Thomas Maganga, amechangia hoja ya bajeti ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), leo Aprili 21, 2026, ambapo ameeleza changamoto zinazokwamisha utekelezaji wa mipango ya mazingira na hasa biashara ya kaboni katika halmashauri mbalimbali nchini...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mbunge Viti Maalumu, Zainab: Siyo kila biashara inahitaji mtaji, zingine wazo tu, Vijana wakitumia mitandao vizuri wanaweza kupata 50,000 kwa siku

    Mbunge Viti Maalumu, Zainab: siyo kila biashara inahitaji mtaji, zingine wazo tu, kama kuwa MC unahigaji mtaji gani? Kama vijana watapatiwa uwezo wa kutumia mitandao ya kijamii vizuri, wataweza kutengenez vipato vyao na kuweza kupata 50,000 kwa siku, kupata 1500,000 kwa mwezi. Serikali imesema...
  5. radhiya

    JamiiForums Tanzania Tunatafuta Eneo kwa ajili ya biashara

    Tangazo kwa Wamiliki wa Mali! Kwa niaba ya mteja wetu, tunatafuta sehemu kwa ajili ya kukodi kuweka biashara ya chakula cha haraka(fast food). Maeneo yawe: Oysterbay(Haile Selassie), Masaki(Chole road). Ukubwa: Kuanzia sqm 200. Bajeti ya mteja: Itategemea na eneo litakalopatikana. Ikiwa una...
  6. gallow bird

    JamiiForums Tanzania Blueprint-wimbo unaochokonoa jeraha la ukoloni na biashara ya utumwa

    Huu wimbo nimekutana nao insta,nikaona niufuate YouTube Wimbo umenijeruhi hisia,ndani ya dakika tano,kwa mashairi mazito na mkong'osio(melody) wa hisia za juu,umeelezea ukoloni ulivyoingia na namna tunavyosaidia kuuendeleza hapa afrika,tena dini ikiendelea kutugawa kila uchao Tumia dakika zako...
  7. Foffana

    JamiiForums Tanzania Hivi huwaga kuna biashara gani inafanyika pale?

    Habari za jioni Wakuu Kwa wale ambao wapo Dar ama wanapafahamu vyema Dar, basi sio wageni na kitu hiki kabisa lazima watakuwa washawahi kuona ama kusikia Kuna baadhi ya sehemu ukipita hasa maeneo ya mjini au sokoni huwa unaona kuna kundi limejikusanya wakimzunguka mtu anayetangaza vitu fulani...
  8. Website Tanzania

    JamiiForums Tanzania OFFA: Nitakutengenezea Website ya biashara au Kampuni kwa 200,000 TU

    Ndio sijakosea kwa Tsh.200,000 Tu utajipatia website ya kisasa ya biashara au kampuni yako. Ikijumuisha usajili wa jina la website Hosting ya mwaka mzima Utapata emails rasmi za website yako. Ndani ya siku 3 tu tayari utakuwa umeshapokea kazi yako. Mfano ya kazi ambazo nimeshatengeneza na...
  9. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Mbunge Kasaka: Kila mamlaka ina nguvu ya kufunga biashara, huu ni mfumo holela

    Mbunge wa Jimbo la Lupa, Masache Kasaka akichangia hoja bungeni leo Aprili 15, 2026 amesema tozo na kodi ambazo wawekezaji wa madini wanapitia ni nyingi na zinaweza kuchangia kushindwa kufanya biashara, na baadhi ya mamlaka zinakuwa na nguvu ya kufunga biashara inapotokea mwekezaji hajalipa moja...
  10. Pfizer

    JamiiForums Tanzania UNDP, Finland watambulisha biashara Ndogo, Ndogo, na za Kati 14 zinazojihusisha na biashara endelevu

    Wazindua awamu ya pili ya maombi ya ufadhili Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP) Tanzania, kupitia programu yake kinara ya ubunifu ya FUNGUO inayofadhiliwa kwa ushirikiano na Umoja wa Ulaya, Ofisi ya Mambo ya Nje, Jumuiya ya Madola na Maendeleo (FCDO), na Serikali ya Finland...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Biashara ya ndizi

    Asalaam, Nilikua nataka kuijua kilimo cha ndizi, Ukiwa na hekamoja pale kiwangwa na Mtaji wa laki tano 1. Unaweza kuotesha mingapi 2. Mda wa rotation 3. Soko likoje
  12. Natafuta Ajira

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unpopular opinion: Unaikumbuka biashara ya utumwa? inafanana sana na ndoa

    Takribani miaka 500 iliyopita kulikua na biashara ya utumwa ambayo kwa kipindi kile ilikua imehalalishwa kabisa kabla ya kuja kupigwa marufuku miaka ya mbele yake. Kulikua na watu watatu ambao wanahusika katika hii biashara ambao ni slave, slave driver na slave master. Ndoa inafanana sana na...
  13. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Waziri Shemdoe aelekeza wafanyabiashara Soko la Simu 2000 kuendelea na biashara

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (OWM-TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe ameelekeza hatua za haraka zichukuliwe kuwarejesha wafanyabiashara wa Soko la Mawasiliano (Simu 2000) ili kuendelea na shughuli za biashara katika soko hilo ambalo lilipata ajali ya moto iliyoteketeza soko hilo Aprili 04...
  14. Kitomai

    JamiiForums Tanzania BIASHARA YAKO KWENYE ENEO LENYE WATEJA WENGI! Kariakoo!

    Je, unatafuta sehemu sahihi ya kukuza biashara yako? Hii ndio nafasi ambayo umekuwa ukiisubiri. 🏢 Jengo jipya kabisa, lenye muonekano wa kisasa na mazingira yenye mzunguko mkubwa wa wateja (high foot traffic). Biashara yako itapata mwonekano na uhai unaostahili. 🔹 Maduka yanapatikana kuanzia: •...
  15. Mtumishi 19

    JamiiForums Tanzania Je, ni utaratibu gani wa kufungua biashara ndogo-ndogo chini ya 5M?

    Ndugu zangu habarini za wakati huu. Naomba mwenye kujua taratibu za kufungua biashara yoyote ndogo-ndogo anifahamishe hataua kwa hafua kwa mjibu wa sheria.
  16. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania “Mapenzi siku hizi ni biashara? Nani anatumia nani kati ya wanaume na wanawake?

    Haya uwanja ni wetu Leo tuseme kinaga ubaga nani anatumiwa sana
  17. Website Tanzania

    JamiiForums Tanzania Huduma za kutengeneza website kwa uharaka – siku 3 tu!

    Habari wakuu, Natoa huduma za kitaalamu za kutengeneza website kwa biashara, taasisi na miradi mbalimbali. Ikiwa unahitaji website ya haraka, inayovutia na inayofanya kazi vizuri, hii huduma ni kwa ajili yako. ✅ Website yako itakuwa tayari ndani ya siku 3 tu ✅ Inafaa kwa biashara ndogo...
  18. K

    JamiiForums Tanzania Viza za biashara na wanafunzi kwenda USA zimesimamishwa : Sio nzuri kwa wafanyabiashara

    Viza za biashara na wanafunzi kwenda USA zimesimamishwa : Sio nzuri kwa wafanyabiashara Wakati machawa na ndugu wa Samia wakifurahia mauaji ya vijana wetu wafanyabiashara wa kimataifa hali sio nzuri maana hawawezi kwenda kuongea na wawekezaji au kampuni ubia za marekani na hii inasababisha...
  19. A

    JamiiForums Tanzania KERO Tuliosoma Ordinary Diploma katika Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) – Mwanza tunashindwa kujisajili Ajira Portal

    Mimi ni mhitimu wa ngazi ya Ordinary Diploma katika Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) Kampasi ya Mwanza, nimesoma kwa miaka 3 (yaani 1st year Certificate, 2ry & 3yr Diploma nimehitimu 2024 November lakini nilivyojaribu kufuatilia Vyeti vyangu vya Certificate na Diploma nimepata kimoja cha Diploma...
  20. Prof_Adventure_guide

    JamiiForums Tanzania 🚀 Geuza Biashara Yako Kuwa Brand Kubwa Leo!

    Karibu sana wewe unayetaka kuipeleka biashara yako kwenye kiwango cha juu zaidi! 🚀 Kama una ndoto ya kuwa na website ya kisasa, yenye mvuto na inayouza kwa niaba yako masaa 24, basi huu ndio wakati wako. Tunakusaidia kuunda website za biashara na za utalii zenye ubora wa hali ya juu...
Back
Top Bottom