biashara

  1. M

    JamiiForums Tanzania Watanzania wengi hatuna biashara, bali "TUMEJIAJIRI". Biashara ya kweli huendelea hata mmiliki asipokuwepo.

    Kuna tofauti kubwa kati ya kujiajiri na kumiliki biashara, lakini mara nyingi tunavitumia kana kwamba ni kitu kimoja. Wabongo wengi hatuna biashara bali tumejitengenezea ajira (tumejiajiri). Biashara ya kweli haimtegemei mmiliki kwa kila uamuzi. Ina mfumo wa uendeshaji, watu wenye majukumu...
  2. youngkato

    JamiiForums Tanzania Unatamani kuanza biashara ya viatu lakini hujui pa kuanzia? Huu ndio mwongozo muhimu unaohitaji kabla ya kuwekeza fedha zako

    Biashara ya viatu kwa rejareja ni miongoni mwa biashara zenye soko kubwa kwa sababu viatu ni hitaji la kila siku. Watu hununua viatu kwa ajili ya kazi, shule, michezo, sherehe, safari na matumizi ya kawaida. Hata hivyo, mafanikio hayategemei kuwa na viatu vingi pekee. Unahitaji kuelewa wateja...
  3. youngkato

    JamiiForums Tanzania Kabla hujaanza biashara ya catering, haya ndiyo mambo muhimu unayopaswa kujua

    Biashara ya catering services ni moja ya biashara zenye fursa nzuri, hasa kutokana na kuongezeka kwa sherehe, harusi, mikutano, semina, birthday, mahafali na matukio mbalimbali. Hata hivyo, ili biashara hii ikue na kupata wateja wa kudumu, ni muhimu kuianza kwa mipango mizuri. 1. Tambua Aina ya...
  4. youngkato

    JamiiForums Tanzania Mambo Muhimu ya Kuzingatia Unapoanzisha Biashara ya Miamala ya Simu na Huduma Ndogo za Kibenki

    Biashara ya huduma za miamala ya simu na huduma ndogo za kibenki ni miongoni mwa biashara zinazohitajika kila siku. Watu wanahitaji kutuma na kutoa pesa, kuweka fedha, kulipa bili, kununua vifurushi na kufanya malipo mbalimbali. Hata hivyo, mafanikio ya biashara hii yanahitaji maandalizi mazuri...
  5. youngkato

    JamiiForums Tanzania Mwongozo Kamili wa Kuanzisha Biashara ya Bakery

    Biashara ya bakery ni miongoni mwa biashara zenye soko kubwa kwa sababu bidhaa kama mikate, keki, maandazi, biskuti, doughnuts na vitafunwa vingine vinahitajika kila siku. Hata hivyo, mafanikio yake yanategemea maandalizi mazuri, ubora wa bidhaa na namna unavyowahudumia wateja. 1. Tambua bidhaa...
  6. Parabolic

    JamiiForums Tanzania Massauni: Wananchi Rufiji Wanufaike na Fursa za Biashara ya Kaboni

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Azimio iliyopo Halmashauri ya Mji Rufiji mkoani Pwani (hawapo pichani) alipokuwa mkoani humo kwenye ziara yaa kikazi, Julai 21,2026. Waziri wa Nchi...
  7. youngkato

    JamiiForums Tanzania Ifahamu biashara ya butcher

    Biashara ya butcher ni moja ya biashara zenye soko la kila siku kwa sababu nyama hutumiwa majumbani, hotelini, migahawani na kwenye sherehe mbalimbali. Hata hivyo, mafanikio yake yanahitaji maandalizi mazuri na usimamizi makini. 1- Chagua eneo lenye watu wengi na linalofikika kwa urahisi. Eneo...
  8. Kevzy

    JamiiForums Tanzania Amroga aliyeshare naye biashara mpaka kuwa chizi

    Kwema-story ya kweli ambayo imenihusu moja Kwa moja na inaniumiza akili mpaka leo 2026 nikimuona jamaa akiwa chizi, cha ajabu akiniona ananifurahia na kutaka tukae tupige story Moderata-kichwa cha habari kiache hivyo hivyo, tafadhali 2014, miezi ya mwanzoni asubuhi nimeamka Kwa kuchelewa...
  9. A

    JamiiForums Tanzania KERO Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) kimeanzisha utaratibu wa wanafunzi wa mwaka wa tatu kufanya research kinyume cha utaratibu

    Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) kimeanzisha utaratibu wa wanafunzi wa mwaka wa tatu kufanya utafiti (research) na kuufanyia utetezi (defence) katika muhula huu. Hata hivyo, wanafunzi wanalalamikia muda mfupi waliopewa, kwani muhula huu wana masomo matano pamoja na jukumu la kufanya research na...
  10. youngkato

    JamiiForums Tanzania Sababu 5 zinazofanya usajili wa jina la biashara kuwa muhimu kuliko unavyofikiria

    usajili jina la biashara ni hatua muhimu kwa mtu anayepanga kuanzisha au kukuza biashara yake. Hizi ni faida zake: 1. Hulinda jina la biashara yako Jina likisajiliwa, linakuwa salama na linapunguza uwezekano wa kutumiwa na mtu mwingine. 2. Huongeza uaminifu kwa wateja Wateja huamini zaidi...
  11. youngkato

    JamiiForums Tanzania Mambo Muhimu Kabla ya Kuanzisha Hair Salon au Barber Shop

    Biashara ya salon au barber shop inaweza kukuingizia kipato kizuri ikiwa utaanza kwa mpango sahihi. Kabla ya kufungua biashara, zingatia mambo haya 1. Chagua eneo zuri Tafuta sehemu yenye watu wengi, inayoonekana kwa urahisi na yenye huduma za maji, umeme na usalama. 2. Tambua wateja wako Amua...
  12. RMK Freelancers Agency

    JamiiForums Tanzania Je biashara yako ina social media accounts lakini hazileti wateja?

    Je, Biashara Yako Ina Social Media Accounts Lakini Hazileti Wateja? Au upo busy na unahitaji mtu wa kukusaidia kumanage social media accounts zako?? Habari wakuu, Leo kuwa na Instagram, Facebook, TikTok au LinkedIn account pekee haitoshi. Kinachotofautisha biashara zinazokua na zinazobaki...
  13. W

    JamiiForums Tanzania Kipato changu ni 400k na marupurupu 300k kila mwezi. Nahitaji kufungua biashara ya kuuza juisi na maziwa ili kidogo nipate chochote

    Awali ya yote ashukuliwe Mungu Mkuu atoaye pumzi na afya. Wadau najua wataalamu na wafanyabishara wamo humo ndani naombeni ushauri kama nilivyoeleza hapo juu kuwa kipato changu na nahitaji kufungua biashara ya kuuza juisi je hiyo pesa inatosha kwa mtaji na ni vitu gani hasa vinahitajika ili...
  14. A

    JamiiForums Tanzania KERO Manispaa ya Musoma inapandisha kodi za vibanda vya biashara kiholela

    Mimi ni mmoja wa wafanyabiashara nilipangishwa na manispaa ya musoma tangu mwaka 2018. Tumekua tukifanya shughuli zetu na kolipa kodi stahiki bila shida hadi ilipofika mwaka 2023 changamoto za kupandisha kodi kila mwaka zikaanza. Mwaka 2022/2023 nililipa kodi tsh 528,000 kwa mwaka kulingana na...
  15. K

    JamiiForums Tanzania Siku moja amka anza kufanya biashara anayofanya boss uone kama mtakuwa sawa tena

    Kwa wenye uzoefu wa biashara tu. Siku moja amka anza kufanya biashara anayofanya boss uone kama mtakuwa sawa tena Siku moja anza biashara fulani usikilizie kama mapapa wa biashara hiyo watafurahia hicho kitendo Umewahi kuona viongozi wa chama tawala wana maisha mabovu? Unaijua kazi...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Ni biashara au kazi gani inayoweza kumpa mtu kuanzia milioni 50 kwa mwaka?

    Kama una kipato au kazi ambayo inaweza kuingiza kipato kuanzia milioni 50 kwa mwaka, weka hapa ni kazi au biashara gani ili watu wajifunze. Au mtu afanyaje aweze kufika huko ikiwa ni hatua ya kijitoa kwenye umasikini, ni mradi gani afanye au mbinu gani atumie. Nini aepuke ili asijekupotea...
  17. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kuna kitu naweza kusema kipo ila kitakuwa kigumu ila kipo kuthibitisha kwa biashara viungo vya binadamu.

    Kuna nchi unatakiwa kuwa makini na kuanzia mazoea,msosi, vinywaji mpaka unapofikia na ili swala lipo. Ila tanzania bado tujaweza sasa kuhusu na maswala ya biashara ya viungo kama figo maana ndio bidhaa ambayo naogopa kuingiza mada hapa. Je wale ambao wamenusurika au kuomba uchunguzi wa...
  18. SankaraBoukaka

    JamiiForums Tanzania Dini ni biashara ya ujanjajanja, ambapo bidhaa haionekani, na pale hiyo bidhaa inaposhindwa kufanya kazi, mteja ndiye anayelaumiwa

    Dini ni moja ya taasisi kubwa zaidi katika historia ya binadamu, na mara nyingi imechukuliwa kama biashara yenye mafanikio makubwa. Dini hutumia imani ya watu kama bidhaa isiyoonekana. Bidhaa hizi ni ahadi za wokovu, baraka, uponyaji, au maisha bora baada ya kifo. Hizi ni bidhaa ambazo haziwezi...
  19. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania TANESCO: Tumepokea taarifa ya changamoto ya umeme jengo la biashara Mwenge, tunafanyia kazi

    Kuhusu hoja ya Mdau aliyezungumzia Dar: Jengo la Stendi ya Mwenge linakosa umeme mara kwa mara, inasemekana lina deni ufafanuzi umetolewa kutoka upande wa TANESCO. Asante kwa kutufahamisha kuhusu changamoto hii. Tumepokea taarifa yako na tunaichukulia kwa uzito. Kesho (Julai 15, 2026)...
  20. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania Inakuwaje watu wanaofanya biashara ya aina moja, mtaji sawa, eneo lilelile la biashara na mauzo sawa wanatofautiana kiwango cha kodi?

    Nina mwezi sasa nafanya utafiti kuhusu masuala ya kodi, nimegundua mambo mengi sana ambayo majibu yake hata maafisa wa TRA wanajing'ata kujibu, moja ya jambo ni hili, inakuwaje wafanyabiashara wenye mtaji sawa, rate ya mauzo sawa, eneo la biashara moja, lakini wanatofautiana kiwango cha malipo...
Back
Top Bottom