biashara

  1. Tanzanian Dream

    Wewe Kama mfanyabiashara makini unahitaji both physical and spiritual protection.

    Recently nimepokea taarifa mbaya kutoka kwa jirani wa mfanyabiashara mmoja!ambaye amevamiwa usiku na watu wenye silaha,wakamcharanga mapanga,wakampora hela na kutokomea kusikojulikana!..huyo jamaa anamiliki maduka Kama sita ya huduma za kifedha,anapofunga maduka yake huwa anakusanya mpunga wote...
  2. Hyrax

    Ukifuatilia post za Kelvin Kibenje utagundua jamaa anatembea tu na upepo wake hakuna analolielewa kwenye uhalisia wa biashara hasa hapa Tanzania

    Kelvin Kibenje ni Motivational Speaker kwenye ubora wake, ukifuatilia post zake kama akili yako ndogo utahisi jamaa ni genius kweli kumbe brain insight yake kuhusu reality ya biashara iko chini sana; Hoja zangu kuhusu anayotufundisha ni Biashara gani ufanye utoboe kwa namna gani, changamoto...
  3. NESARA1952

    Biashara za upatu mitandaoni

    BAADA YA KUSOMA ANDIKO HILI,NAAMINI HATO KUWEPO TENA ATAKAYE IBIWA MTANDAONI LABDA WEWE UAMUE Kwa siku za karibuni kumekuwa na mifumo mbali mbali ya kigigitali Ambayo imekuwa iki jinasibu kutoa fedha kwa watu,kwa kuweka fedha kidogo na Kupata fedha kubwa,huku waki jinasibu kuwa hakuna hasara...
  4. Tayomist

    Frem ya biashara Dampo Mwanza Mjini inapangishwa

    Frem ipo Mwanza Mjini mtaa wa Uhuru Dampo.. karibu kabisa na stand ya dampo. Ukubwa mita 3 kwa 2.5 Unaweza kuitumia kwa matumizi ya biashara au kutunzia mizigo. Haina dalali, piga simu: 0681439977
  5. Nijosnotes

    Biashara 99 za facebook

    Habari wakuu, Na hii ndio biashara yangu kukusogezea kitabu chenye biashara 99 za facebook. Nina ujuzi wakuendesha biashara mtandaoni hasa kwenye majukwaa kama Facebook na Instagram. Hiki kinakuwa kitabu cha tatu kwangu kuandika. Na kwa msaada wa Akili Mnemba imenirahisishia kazi kubwa ya...
  6. Wakusolve

    Je unahitaji logo kali kwa biashara yako

  7. Tanzanian kid

    Fursa za biashara mtandaoni kwa wajasirimali vijana

    Kuongezeka kwa Biashara Mtandaoni: Fursa kwa Wajasiriamali Vijana Katika dunia ya sasa, mitandao ya kijamii si mahali pa kupoteza muda tu—ni sehemu ya kujenga maisha bora. Vijana wengi wanaanza biashara zao mtandaoni kwa kutumia simu tu na akili ya ubunifu. Huhitaji duka, huhitaji mtaji...
  8. Martha Amosi Mwakalibule

    Naomba kazi ya marketing au sales, vitu ninavyoweza, ku offer katika kazi ni pamoja na kuwa na idea za ubunifu kukuza biashara, kutengeneza content,

    Habari mimi ni mwanafunzi wa chuo procurement and supply Natafuta kazi ya marketing au sales naamini nitafanya vizuri, hii yote niweze kumudu Ada na Familia yangu shukran 🙏.
  9. Technophilic Pool

    Nipeni business plan ya biashara ya vifaa vya umeme??

    BEI Za Vifaaa na Faida yake katika kila kigaa
  10. 1Africa54

    Habari za hasubuhi wafanyakazi, wafanya biashara na wajasiliamali naomba anae jua biashara ya kujenga frem za kupangisha anipe maelekezo

    Wana JAMII FORUMS naomba anae jua biashara ya frem za kupangisha anipe maelekezo nahitaji kuwekeza kwenye hii sector
  11. 1Africa54

    Habari za hasubuhi wafanyakazi, wafanya biashara na wajasiliamali naomba anae jua biashara ya kujenga frem za kupangisha anipe maelekezo

    Wana JAMII FORUM naomba anae jua biashara ya frem za kupangisha anipe maelekezo nahitaji kuwekeza kwenye hii sector
  12. nzalendo

    Mwiko katika biashara

    Ni biashara ya duka genge. mwanzoni mauzo yalikuwa mazuri kidogo kidogo mauzo yakashuka sana....USHAURI...kwenye mazingira hayo bwashee si kwamba umelogwa... Bali wewe mwenyewe umegeuza ofisi yako kuwa kijiwe cha bodaboda....mtu akitaka kuja dukani kwako anajiuliza mara mbili manake..wahuni...
  13. Just Pray

    PreGE2025 Deodatus Mwanyika amuomba Rais Samia amrejeshe tena Hussein Bashe kuwa waziri wa kilimo baada ya uchaguzi 2025

    Mwenyekiti wa kamati ya Kudumu ya Bunge viwanda, biashara, Kilimo na Uvuvi Deodatus Mwanyika amemuomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan mara baada ya Uchaguzi Mkuu amrejeshe katika nafasi yake ya uwaziri wa Kilimo,Hussein Bashe Ili aendeleze mazuri yanayofanyika katika...
  14. Angelikaa

    Je, ni biashara gani naweza kufungua karibu na Mahakama??

    Biashara gani naweza kufanya katika fremu ndogo yakujibanza iliyoko barabarani karibu na mahakama?
  15. youngkato

    Hupati Wateja Kwenye Biashara Yako? Jaribu Paid Ads Utaona Matokeo Makubwa Sana!

    Unapojisikia kuchoka kwa sababu wateja hawaji kama ulivyotarajia, sio kwamba biashara yako mbaya hapana. Mara nyingi ni kwa sababu hujawafikia wateja sahihi. Na njia ya haraka kabisa ya kuifikisha biashara yako kwa watu sahihi ni kutumia Paid Ads! Sasa, Paid Ads ni nini? Haya ni matangazo...
  16. Mtumishitu

    Kama huamini uchawi kwenye biashara basi wewe bado sana kwenye biashara,sitasahau hili tukio

    Habari zenu wana jamiforum ,hakika hili jukwa linazidi kuwika kila siku maana kila unachohitaji kujifunza kipo hapa . TWENDEE KWENYE MAADA. Katika harakati za kufanya biashara yangu ya dagaa nilipata mteja mmoja ambae sijawahi na sikufikiria kuwa inaweza kuwa hivyo maana mambo ya ushirikiana...
  17. ELI COHEN

    Wakujiita manabii si wakutane wote pamoja wakusanye 50% ya mapato yao wasaidie masikini, waingie kila hospitali wawatafute wagonjwa mahututi wawaponye

    Until then, mimi bado nitaendelea kuwaita hustlers walioweza kuishinda system kufanya shughuli za uchumi bila ya kulipa makato. HONGERA KWAO! YESU SIO DINI, DINI SIO YESU, YESU NI NJIA.
  18. funaku

    Ongezeko la huduma za kijamii kama biashara -haki inayotakiwa kuwekewa mipaka

    Sasa ni rasmi kuwa nchi imeendelea na ustawi wa watu umeanza kuonekana. Mwalimu Nyerere na Mzee wetu Karume wanaweza kuwa wanafuraha huko walipo miaka 61 ya Muungano Serikali zote zimejitahidi kuleta maendeleo. Ikumbukwe kuwa wapo maadui watatu waliowahi kutangazwa miaka hiyo yaani ujinga...
  19. R

    Hivi hizi njemba zinazoiga iga biashara mna deal nazo vipi, mtu anakuja kufungua biashara kama yako pembeni yako

    Umeumiza kichwa kuanzisha biashara yako, si kwa lelemama, si kwa bahati nasibu, umekesha sana usiku kwasababu ya kufanya research, ulichunguza location, ukapima mzunguko wa wateja, ukapanga jinsi bidhaa zako zitakavyokaa, ukafikiria bei ambayo inaweza kuvutia wateja, ukajifunza mbinu bora za...
  20. Roving Journalist

    Dkt. Aneth Komba: Somo la Elimu ya Biashara ni la lazima kulingana na maboresho ya Mtaala

    Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania (TET), Dkt. Aneth Komba amesema somo la Elimu ya Biashara ni la lazima kulingana na maboresho ya Mtaala ulioanza kutekelezwa Januari 2024. Akifungua kikao kazi cha siku mbili cha Makatibu Tawala wa Mikoa na maafisa Elimu kilicholenga kujadili...
Back
Top Bottom