Haya mambo sidhani kama yanafundishwa darasani. Hii ni street knowledge, real life situations ambazo zinatufunza mengi. Sasa kuna matukio mawili hapa ya kibiashara, naomba mwenye jibu la mojawapo au yote anipe.
1. MOJA TZS 3,000/=, MATATU TZS 10,000/=.
Mzee mmoja pale Magomeni Mapipa anauza...