Mkwawe
JF-Expert Member
- Jun 10, 2016
- 2,345
- 4,168
Ndugu zanguni mawazo ndio benki kuu kabisa ya kila wazo unalotaka kufanya, basi kwa uzoefu wa waliopitia changamoto fulani za kiuchumi na kijasiriamali ni vyema mngetushirikisha biashara ndogo ambazo mlizibuni na maeneo mlikofanyia hizo shughuli zenu hadi mkafikia hatua ya mafanikio mliyo nayo sasa.
Tunatarajia ushuhuda, miongozo na shauri zenu zitusaidie nasi kujikwamua hapa tulipo ili nasi tusogee mahali fulani.
Tunatarajia ushuhuda, miongozo na shauri zenu zitusaidie nasi kujikwamua hapa tulipo ili nasi tusogee mahali fulani.