Tangazo la Huduma za Ushauri wa Biashara

Tangazo la Huduma za Ushauri wa Biashara

Amicable Group

Senior Member
Joined
May 13, 2015
Posts
179
Reaction score
133
TANGAZO LA HUDUMA ZA USHAURI WA BIASHARA

Amicable Group Holdings Limited inatoa huduma za kitaalamu za Ushauri wa Biashara (Business Consultancy) kwa watu binafsi, vikundi, kampuni, taasisi na wafanyabiashara wanaohitaji kuanzisha, kukuza au kuboresha biashara zao.

Tunatoa huduma za:
✔️ Ushauri wa kuanzisha biashara mpya
✔️ Ushauri wa usajili wa kampuni na majina ya biashara
✔️ Uandaaji wa Business Plans na Company Profiles
✔️ Ushauri wa zabuni (Tender Consultancy), ikiwemo mfumo wa NeST
✔️ Ushauri wa uendeshaji na usimamizi wa biashara
✔️ Ushauri wa nyaraka za biashara na taratibu za kisheria za msingi za biashara
✔️ Ushauri wa masoko na ukuaji wa biashara
✔️ Ushauri kwa vikundi, taasisi na wajasiriamali

Tunazingatia weledi, uaminifu, ubora wa huduma na mafanikio ya mteja katika shughuli zake za biashara.

Jina la Kampuni: Amicable Group Holdings Limited
Simu: 0753786858
Email: admin@amicable.co.tz
Mahali: Dar es Salaam, Tanzania

Kwa maelezo zaidi tembelea: amicable.co.tz
 
Mngeweka pia na huduma ya kutoa mitaji kwa hao wanaotaka kuanzisha biashara
 
Back
Top Bottom