baba

A rum baba or baba au rhum is a small yeast cake saturated in syrup made with hard liquor, usually rum, and sometimes filled with whipped cream or pastry cream. It is most typically made in individual servings (about a 5 cm tall, slightly tapered cylinder) but sometimes can be made in larger forms similar to those used for Bundt cakes.
The batter for baba includes eggs, milk and butter.

View More On Wikipedia.org
  1. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Shinyanga: Acharangwa Mapanga akituhumiwa kumuua Baba Mkwe kwa Uchawi

    Mwanamke aitwaye Limi Kulwa (30) ameuawa kwa kukatwa na panga sehemu za kichwani, usoni, na mikono yote miwili katika kijiji cha Ilunga, kata ya Iyenze, Manispaa ya Kahama mkoa wa Shinyanga akituhumiwa kumuua kwa kumroga baba mkwe wake aitwaye Lusana Kulwa (60). Kamanda wa Polisi Mkoa wa...
  2. Lunyungu

    JamiiForums Tanzania Prof Sarungi: Mimi ni msafi

    THISDAY CORRESPONDENT Musoma THE former Minister for Defence and National Service, Prof. Philemon Sarungi, has denied any personal involvement or criminal wrongdoing in the controversial dealings surrounding the Buhemba gold mine in Mara Region. Sarungi recently came under sharp criticism...
  3. Prim K

    JamiiForums Tanzania SoC01 Kwanini baba hamsindikize mama kliniki?

    Jitihada za kupunguza matatizo na vifo kwa mama wajawazito ni kipaumbele dunianii kote, jitihada hizi zinatiliwa mkazo Zaidi kwenye nchi zinzoendelea kama Tanzania. Mwaka 2015 shirika la afya duniani WHO limeripoti vifo vya wamama wajawazito 830 kila siku kwa sababu ya matatizo wakati wa...
  4. mama D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa: Baba Mchungaji anawakumbusha vijana wetu wa kike na wa kiume misingi imara kwa mahusiano na ndoa imara

    Hii mambo ya vijana kuchukuana na kuanza maisha bila kutushirikisha wazazi imekaaje? Binti unajiskiaje kuishi na mtu asiyejulikana kwenu? Kijana wa kiume unapata amani kuishi na binti bila kufuata taratibu? Ni kushindwa kulipa mahari au kushindwa kujua faida za kufuata taratibu? Wazazi...
  5. mugah di matheo

    JamiiForums Tanzania Singida: Adaiwa kujinyonga baada ya kufumaniwa chumbani akiwa na baba yake

    Msichana mdogo wa Kati ya umri wa miaka 17 Hadi 18 aitwaye Raheli mkaazi wa Kimpungua Manispaa ya Singida anadaiwa kujinyonga siku ya Jumapili 19/9/2021 baada ya mama yake mdogo kuwakuta wakifanya mapenzi na mume wake yaani baba mdogo wa marehemu. Akielezea tukio Hilo mama huyo aliyejulikana...
  6. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Makazi ya baba wa taifa Mwalimu Nyerere baada ya kujiuzulu ualimu 1955

    ALIPOISHI BABA WA TAIFA BAADA YA KUACHA KAZI YA UALIMU 1955 Hapo ilipo nyumba hii ilikuwapo nyumba ya kawaida ingawa kwa wakati ule nyumba hiyo ilikuwa nyumba ya kuvutia pia. Nyumba hiyo ilikuwa na duka la mwenye nyumba hiyo na barazani palikuwa na barza maarufu ya wazee wa mjini maarufu...
  7. LIKUD

    JamiiForums Tanzania Video: Baba wa Kambo vs Mtoto wa Kambo huko Muscat, Oman

    Baba wa Kambo Ni huyo alievaa kanzu.
  8. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Watoto wa Cristiano Rolnado baada ya baba yao kuhamia Man United

  9. Dit000

    JamiiForums Tanzania anko anawasalimu kwa jina la baba na la mwana na roho mtakatifu, amen!

    anko anawapenda sanaa
  10. Kamanda Asiyechoka

    JamiiForums Tanzania Baba yake Mbowe kusaidia kudai Uhuru sio defence ya Mbowe kutofanya uhalifu, tutumie busara kujenga hoja

    Mzee AIKAELI MBOWE na mkewe BI AISHI, na huyo dogo hapo mbele katikati yao ndiye FREEMAN MBOWE. Mzee AIKAELI alipambana Sana wakati wa kutafuta Uhuru wa TANGANYIKA na alimsaidia Sana NYERERE katika HARAKATI zao za Kudai UHURU wa NCHI hii,Leo UTAWALA wa mama umempa kesi ya UGAIDI...
  11. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania The Torch on Kilimanjaro: kitabu cha watoto kuhusu Historia ya Baba wa Taifa

    "THE TORCH ON KILIMANJARO" KITABU CHA WATOTO KUHUSU HISTORIA YA BABA WA TAIFA Miujiza ya Mwenyezi Mungu haiishi. Maofisa kutoka CCM Dodoma walikuwa wamemaliza mazungumzo na mimi kuhusu mengi katika historia ya Mwalimu Nyerere, TANU na mambo mengi yaliyotokea wakati wa kupigania uhuru wa...
  12. Mamserenger

    JamiiForums Tanzania Mama J, shabiki wa Yanga

    Ila wazeiaa dah mama J mkali wa kuchezea mike. Dah sio poaa Inabidi hawa madem zetu wakapewe somo na Mama J Jinsi ya kushika Koni na kuinyonyaa vile inavyo takiwaa. Asantee Mama J, leo ume Jua kunipa rahaa. Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
  13. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Denzel Washington ni baba wa watoto wanne, John, Katia, Malcom na Olivia

    Denzel amewapata watoto wake wote wanne pamoja na mke wake Paulette Washington, ambae alifunga nae ndoa mwaka 1983. Paulette ni mcheza sinema na aliwahi kucheza movie Wilma
  14. comte

    JamiiForums Tanzania Askofu Shoo, samahani unapata wapi nguvu za kuihukumu Serikali kuwa imemuonea Mbowe?

    Homilia ya Baba Askofu Shoo wakati wa maziko ya Mama Mkwe wake na Mbowe imenistua - Baba Askofu Shoo amepata wapi nguvu za kuituhumu serikali kuwa inamuonea Mbowe ili hali kesi yake iko mahakamani?
  15. N

    JamiiForums Tanzania Bifu linaendelea, Mume wa Waziri Gwajima akana kumtambua Mathias Gwajima kama Baba yake

    Picha ya Marehemu Mzee Stiven Gwajima. Huyu ndiye alikuwa Mkwe wa Waziri wa Afya Dorothy Gwajima. Mzee Stiven Gwajima alifariki dunia tarehe 30/9/2019 jijini Dar es Salaam. Mtoto wake Mwanasheria Msomi Methusela Gwajima amezungumza na #KitengeTV na kusema huyo ndio alikuwa Baba yake na Mkwe wa...
  16. S

    JamiiForums Tanzania Je, hii ni hali ya kawaida kwa wale wenye uzoefu?

    Saalam! Wahenga walisema mficha maradhi kifo humuumbua, nami leo nimeona niweke wazi mambo yangu ili niweze kusaidiwa kupitia jukwaa hili ambalo kwangu limejipambanua kuwa suluhisho la matatizo mbalimbali katika jamii. Nisiwachoshe ndg wasomaji niende moja kwa moja kwenye lengo mahususi. Mimi...
  17. BabaDesi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wewe Baba Yako Mdogo Angefanyaje?

    Asalaam Alaykum na Shalom. Nina babayangu mdogo ambaye ni sasa ni Mstaafu. Walifunga ndoa Bomani mwaka 1990. Wamejaliwa watoto Wanne, Binti Mmoja firstborn na wakiume Watatu...29, 27, 23 na 21. Mwaka 2015 Baba yangu Mdogo akastafu na miaka miwili baada ya kustaafu Baba akapata Stroke na...
  18. CONTROLA

    JamiiForums Tanzania TANZIA Nimefiwa na baba yangu mzazi

    Habari wana JF ni matumaini yangu mu wazima, nimekuwa kimya kwa muda kidogo kwasababu za kimaisha lakini zaidi kumuuguza baba. Hatimae Mungu ameamua kumpumzisha, mazishi yatafanyika leo, "Singida" Natamani niseme sana ila nadhani nimeona nifupishe walau hata mtapoona nipo kimya muelewe napita...
  19. beth

    JamiiForums Tanzania Kilimanjaro: Baba akamatwa akitaka kumuozesha bintiye

    Mkazi wa kijiji cha Emuguri, kata ya Njoro Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro(jina lake linahifadhiwa) anashikiliwa na jeshi la polisi mkoani hapa kwa madai ya kutaka kumuozesha binti yake wa miaka 11 kwa mahari ya ng'ombe watatu. Tukio hilo lilitokea Agosti 7, mwaka huu katika kijiji hicho...
  20. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kipchoge baba lao! Ameshinda nishani ya dhahabu kwenye Olympic 2021 kama alivyoahidi

    Jamaa mwamba sana huyu, kha!! SAPPORO, Japan (Reuters) - Kenya’s Eliud Kipchoge won the Olympic men’s marathon with a commanding performance in Sapporo on Sunday, winning his second straight gold medal and cementing his place among the all-time greats of the sport. Abdi Nageeye of the...
Back
Top Bottom