In financial accounting, an asset is any resource owned by the business. Anything tangible or intangible that can be owned or controlled to produce value and that is held by a company to produce positive economic value is an asset. Simply stated, assets represent value of ownership that can be converted into cash (although cash itself is also considered an asset).
The balance sheet of a firm records the monetary value of the assets owned by that firm. It covers money and other valuables belonging to an individual or to a business.One can classify assets into two major asset classes: tangible assets and intangible assets. Tangible assets contain various subclasses, including current assets and fixed assets. Current assets include inventory, while fixed assets include such items as buildings and equipment.
Intangible assets are nonphysical resources and rights that have a value to the firm because they give the firm some kind of advantage in the marketplace. Examples of intangible assets include goodwill, copyrights, trademarks, patents and computer programs, and financial assets, including such items as accounts receivable, bonds and stocks.
Habari zenu. tunapunguza asset ofisini kama zifuatazo:
Asset hizo na bei zake kama ifuatavyo:
1.Pressure washer tzs 150,000 (laki moja na hamsini elfu)
2.Tube filler -mashine ya kujazia vifungashio vyenye mdomo mdogo
tzs 600,000 (Laki sita)
3.Computer Apple All in One (Huhitaji CPU)
tzs...
Katika maamuzi ya hovyo ambayo CCM wamewahi kuyafanya ni kumrudisha huyu kijana katika nafasi kubwa sana ndani ya chama.
Pengine ni katika hali ya kutapatapa kisiasa kwa rais Samia na Pengine kwa sababu ya urafiki wake na Makonda uliomsukuma Rais atumie nguvu na ushawishi wake kumrudisha...
Mahusiano mazuri au ndoa imara inategemea na aina ya mtu uliyenae katika mahusiano au ndoa husika.
Naomba niwape siri moja ambayo pengine dada yangu umekuwa ukiichukulia kawaida na kuendelea kuwaita wanaume wote mbwa kumbe kosa ni lako mwenyewe.
Na kaka yangu pengine na wewe umeendelea...
kitendo cha Kinana kupuuzwa maneno yake ya kufanya kazi kwa kuwawajabisha hadharani watumishi wa umma ni dhahiri Sasa siasa za Kinana hazina mvuto tena aachie damu changa ajiuzuru ndani ya CCM kumruhusu mwenyekiti ateue makamu mwenyekiti anayetaka kuendana naye na mwelekeo mpya kwa sababu...
Position: Senior Product Manager Asset (Re-advertised) (1 Position(s))
Job Purpose:
- Responsible for asset product development, management and performance for Retail Banking
- Monitoring and ensuring asset product profitability and its end-to-end life cycle
Main Responsibilities:
Develop...
Ninahitaji kununua mashine kwa ajili ya biashara na gharama yake ni kama dola 17,500/= Kama 43.7 Milioni
Ni benki gani inafaa kuomba kiasi hicho?
1. Nimesikia kuhusu kuitumia mashine Kama dhamana hili likoje?
2. Riba na marejesho kwa mwezi yatakuwaje? Kama mkopo ukiwa miaka 3?
Naomba ushauri...
Habari wote,
Sisi ni wataalam wa kutengeneza mifumo mbalimbali ya computer(Computer Application systems).
Na kwa sasa tuna mifumo ifuatayo ambayo inaweza kukusaidia katika kuongeza ufanisi na kupunguza gharama kwa biashara zako.
Point of Sale (700,000 Tzs):Hii inatumika kusaidia kuhifadhi...
Niliwahi sikia kuwa vyombo vya dola vilimwambia Magufuli amuondoe Makonda ila yeye tu aligomaga kutokana na kumpenda sana.
Kwa nafasi mpya aliyoteuliwa na Chama chake nina uhakika mwenyekiti wake ajipange kuletewa kila siku taarifa zinazotokana na mapungufu yake.
kwa niliyowahi kusikia huko...
Mkoa wa Mbeya kuna viongozi waliopita hawataweza kufutika kwenye vichwa vya watu. Huwezi ukataja viongozi waliacha alama Mbeya ukamsahau Prof. Mark Mwandosya! Sijui amewatendea nini wana Mbeya mimi siwezi kueleza nikaeleweka vizuri.
Kwa sasa alama anazozitengeneza Dr. Tulia Ackson hususani kwa...
Wanabodi,
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa, zikijadili jambo lolote la kisiasa, kiuchumi na kijamii lenye maslahi kwa taifa letu. Makala hizi huwa na swali, kisha hoja, halafu jibu utalitoa wewe mwenyewe msomaji.
Makala ya leo ni kuhusu...
Kwa namna mama anavyoliponywa Taifa, Kwa namna Makamu wa Rais wa Magufuli anavyopingana naye. Na Kwa kuzingatia namna waliokuwa karibu take kuanzia Mawaziri wasivyopenda kumtaja taja kwenye hotuba zao au mazungumzo;
Je, Kwa upeo wako kama mwananchi unaamini Mzee Magufuli alikuwa asset Kwa Taifa...
Ukuaji Wa Soko la Cryptocurrency Africa unahitaji Utaratibu Mzuri.
Heri ya Mwaka Mpya 2023 wana JF 🙏💜
Utafiti uliofanywa na Chainalysis unonyesha kuwa, Bara la Africa ni ya 1 kwa ukuaji Wa haraka kwny soko la Cryptos Ulimwenguni lakn imekuwa ikifanya mihamala michache kwa makadilio jumla ya...
Habari wadau.
Najua wengi tunaikumbuka hii Debate Topic "Is Education Better Than Money?
Kipindi tunashiriki hii debate tulikuwa wadogo na wategemezi. Nina imani sasa tumekuwa na tumeona mengi kwenye maisha.
Je wewe kama mzazi unaona lipi litamfaidisha sana mwanao akifikia umri wa...
My fellow jf bado nipo naendelea na mchakato wangu wa kuuza au kupunguza baadhi ya assets zangu ili nipate kuongezea mtaji wangu ulioyumba tangu mwaka huu uanze uchumi kwangu ume collapse kabisa.
Hapa nauzq toyo namba c yaani pikipiki ya miguu mitano kwa tsh 1,800,000 angalizo njoo na fundi...
Job Overview
Asset Accountant
Airswift
Dar es Salaam
Airswift has been tasked by one of our key clients to seek an Asset Accountant to join them in Dar es Salaam, TZ for a 12-month contract.
Main Accountabilities And Responsibilities
Manage the corresponding analytical structure related to...
Habari wadau.
Natafuta mchumba wa kike tukielewana awe mke.
Masharti ni awe na asset net worth 150m.
Age awe 32 kushuka chini. Asizidi 32.
Nimesema asset awe nazo sababu sitaki mnyonyaji.. mahusiano ama ndoa iwe na win win pande zote.
Binafsi ninamiliki asset net worth 300m. Sasa mtu...
Habari wadau..
January imeisha .. wazazi wengi walikuwa wanalalamika school fees tatizo.
Kwa maoni yangu kama mtu huna mali za kutosha, huna kampuni ya kueleweka wala huna mtaji wa kutosha... baba mzazi wewe mwenyewe unategemea ajira za laki nane ama milioni moja, kusomesha watoto wako shule...
Yaani baada ya KCB kununua benki Tanzania na Rwanda sasa wamefikisha asset value ya $ 10 billion au ksh 1 trillion au Tsh 20 trillion. Hio $10 billion ni kama 10% of Kenya's GDP.
KCB is the largest bank in East and Central Africa in Asset value while Safaricom is the largest company in East...
atika Hali ya kawaida CHADEMA kabla ya kampeni ilikuwa na wabunge zaidi ya 50, wakati hata kabla Lissu hajaenda Ubelgiji.
Kabla ya ujio wa Lissu, CHADEMA ilikuwa kidooogo inaeleweka eleweka ingawa bado kulikuwa na majinga yanayopenda kupiga mayowe ya kutafuta Kiki, hata hivyo wananchi...
Mwenye macho haambiwi tazama......hatimaye swali la Dr Slaa He Lowassa no asset au liability limepata majibu. Tunakoelekea Chadema itabaki na Mbowe na wale binti wa Ndesamburo basi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.