Ameandika Baba AskofuKalikawe Lwakalinda Bagonza
#TUJIULIZE ZAIDI
1. Hivi Chadema wamejitoa au wametolewa?
2. Hivi Chadema wamesusa au Wamesuswa?
3. Hivi Chadema Wameacha au Wameachwa?
Wasomaji msinihukumu bila kunisikiliza. Maswali haya ni ya msingi kwangu.
- Media haiko na wapinzani...
Askofu Kakobe amesema anabarikiwa sana na kauli mbiu ya Hapa Kazi Tu na kwamba Rais Magufuli ni mchapa kazi kweli kweli.
Kakobe amesema watu wenye hulka ya kufanya kazi kwa uzalendo uliotukuka aina ya Dr Magufuli ni wachache sana barani Afrika na sisi kama taifa hii ni neema.
Askofu Kakobe...
Taarifa kutoka KKKT Dayosisi ya kusini magharibi Magoye, zinadokeza kuwa aliyekuwa askofu wake Tito Job Mbwilo ameshindwa kutetea kiti chake baada ya kuangushwa kwenye uchaguzi uliofanyika 25 Octoba 2018
Aliyechaguliwa kwenye uchaguzi huo ni mchungaji Mlimitsi Nguvila ambaye kwa sasa anakuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.