aisee sijasikia kabisa.
Kwa aliye nao, tafadhali naomba anisaidie. Ni huo unaoimbwa mwanzoni mwa clip hii!
Shazam app
Ukishadownload app;una-open app then itakuandikia tap to shazam unagusa hapo then unasogeza karibu na radio/tv unaposikia wimbo huo unaoimbwa then yenyewe ita search na kukwambia huo ni wimbo gani boss.Naomba process za kutumia hii app.. unafanyaje
Kwa mfano kuna wbeat hua nalisikia kwenye kipindi cha refRefresh wasafi tv sijui nausikilizisha vpi maana mwaka sasa sijaangalia wasaf tv.. hakuna kingamuzi chenye wasaf tv. Je nitafanyajeUkishadownload app;una-open app then itakuandikia tap to shazam unagusa hapo then unasogeza karibu na radio/tv unaposikia wimbo huo unaoimbwa then yenyewe ita search na kukwambia huo ni wimbo gani boss.
Daah hapo shughuli mzee baba,hicho kipindi kinakuwepo siku gani na saa ngapi?Kwa mfano kuna wbeat hua nalisikia kwenye kipindi cha refRefresh wasafi tv sijui nausikilizisha vpi maana mwaka sasa sijaangalia wasaf tv.. hakuna kingamuzi chenye wasaf tv. Je nitafanyaje
Daah hapo shughuli mzee baba,hicho kipindi kinakuwepo siku gani na saa ngapi?
Naweza nika-shazam then nikutumie jina lake.
Saa 12 siku za j3 hadi ijumaa.... kama hawajabadirisha
nasikia neno binadamu tu...... sasa wimbo gani huo.??Rekebisha sauti ya spika zako halafu kuna wimbo mtamu mno utausikia
Kwa mfano kuna wbeat hua nalisikia kwenye kipindi cha refRefresh wasafi tv sijui nausikilizisha vpi maana mwaka sasa sijaangalia wasaf tv.. hakuna kingamuzi chenye wasaf tv. Je nitafanyaje
Mkuu mi nautafuta wimbo wa KKKT kama sikosei Kimara unaitwa "Nenda fanya kazi ile ya Bwana usiuhesabu muda......" huu wimbo naupenda sana.
Kwa aliye nao, tafadhali naomba anisaidie. Ni huo unaoimbwa mwanzoni mwa clip hii!
Naujua, ila sina. DVD zake zipo kwa wanaouza nyimbo za Gospel, jaribu pale Mwenge Sokoni unaweza kuipataMkuu mi nautafuta wimbo wa KKKT kama sikosei Kimara unaitwa "Nenda fanya kazi ile ya Bwana usiuhesabu muda......" huu wimbo naupenda sana.
Mwenye namna ya kuupata naomba anisaidie wakuu.
Halafu hiyo suti ni mojawapo ya suti ambazo huwa zinamkaa vizuri sana JPM. Alitoka vizuri sana siku hiyo,..., halafu sasa rangi yake, blue sky, I like it!Mkuu mi nautafuta wimbo wa KKKT kama sikosei Kimara unaitwa "Nenda fanya kazi ile ya Bwana usiuhesabu muda......" huu wimbo naupenda sana.
Mwenye namna ya kuupata naomba anisaidie wakuu.
Halafu hiyo suti ni mojawapo ya suti ambazo huwa zinamkaa vizuri sana JPM. Alitoka vizuri sana siku hiyo,..., halafu sasa rangi yake, blue sky, I like it!