Ni ushauri murua kabisa uliotolewa na baba askofu Munga kupitia waraka akiwaasa Chadema kwamba chama cha siasa ni mali ya umma.
Naomba ushauri huu upokelewe pia na vyama vyote vya Upinzani ambavyo umiliki wao ni kama wa binafsi mfano TLP, ACT wazalendo, UDP, Chauma nk
Nimpongeze sana Dr Munga...
Alipokuwa mchezaji wa Yanga, Simba walimsema ni bomu (dhaifu) na hana lolote.
Amejiunga na Simba, sasa Simba wanasema wamesajiri jembe la uhakika. Nao Yanga wanasema Simba wamechukua bomu ambalo litawalipukia.
Mchezaji mwenyewe alipokuwa Yanga, alisema yeye ni Yanga na Yanga ni yeye. Hata damu...
Aliyewahi kuwa Mkuu wa Majeshi ya Israeli, Generali Joab Zeruiah alikuwa ni mtu ambaye hakujiamini katika nafasi aliyokuwa nayo. Kila wakati alihofu kuwa angeliondolewa katika nafasi ile hivyo alitumia njia za hila ili kulinda nafasi na masilahi yake! Kuna wakati alipohofia kuwa Mkuu wa Majeshi...
Askofu Gamanywa ambaye ni mjumbe wa kamati ya amani na juzikati aliliombea taifa pale Ikulu katika utiaji saini mkataba wa Barrick na Serikali amesema Marekani inamuonea Makonda.
Askofu Gamanywa amesisitiza kuwa ushoga ni katazo mbele za Mungu na ni dhambi isiyosameheka.
Gamanywa amedai kuwa...
SAKATA LA MHESHIMIWA ZITTO, SERIKALI NA BENKI YA DUNIA LITUFUNGUE MACHO KUHUSU UMUHIMU WA MARIDHIANO YA KISIASA NCHINI
Nimeona barua iliyoandikwa na Mheshimiwa Zitto Kabwe, Mbunge wa Kigoma Mjini kwenda Benki ya Dunia kuiomba Benki hiyo izuie au iahirishe kutoa mkopo kwa Serikali ya Tanzania...
RAIS MAGUFULI AWE MAKINI NA WANAFIKI NDANI YA SERIKALI YAKE
Mwaka jana niliandika nikitahadharisha kuhusu viongozi wanaotoa sifa za kupindukia kwa Mheshimiwa Rais Magufuli. Katika kundi hili wamo baadhi ya Wabunge wa CCM, Wakurugenzi, Wakuu wa Wilaya, Wakuu wa Mikoa na Mawaziri.
Hawa ndio...
December 31, 2019
Ujumbe wa kuelekea Mwaka Mpya wa Askofu Emmaus Mwamakula kwa Jamii bila kujali wana imani au la, ila ujumbe huu ni kwa Jamii yote kiTanzania
Dhambi ambayo Jamii nzima, dhambi ya taasisi na dhambi ya kiTaifa ambayo wote tuna inashiriki kuitenda na kuilinda badala yakuikemea...
Askofu wa Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Kusini Magharibi, Alinikisa Cheyo ameonya wale wote wanaotumia mitandao ya kijamii kuandika mambo machafu na kutukana wengine kuwa wanahatarisha amani ya nchi.
Askofu Cheyo amesema hayo, Jumatano Desemba 25,2019 wakati akitoa salamu za Krismasi...
Askofu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Dar es Salaam, Tanzania, Jackson Sosthenes amewahamasisha wananchi kujiandikisha kwenye daftari la mpiga kura akisema mwaka 2020 ni muhimu kwa Taifa kwa kuwa linakwenda kwenye uchaguzi mkuu.
Askofu Sosthenes ametoa kauli hiyo Jumatano Desemba 25, 2019...
Askofu Mkuu wa KKKT Askofu Dkt. Frederick Shoo
TABIA ya utekaji, utesaji, unyongaji haki, dhuluma na kiburi inayolalamikiwa nchini, imekemewa vikali na Dk. Frederick Shoo, Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT). Anaripoti Mwandishi Wetu, Moshi … (endelea).
Kiongozi huyo...
Baba Mtakatifu Francisko amemteua Askofu Ludovick Joseph Minde, ALCP/OSS kuwa Askofu mpya wa Jimbo Katoliki Moshi, nchini Tanzania. Kabla ya uteuzi huu Askofu Ludovick Joseph Minde alikuwa ni Askofu wa Jimbo Katoliki Kahama. Itakumbukwa kwamba, Askofu Minde alizaliwa tarehe 9 Desemba 1952 kwenye...
Askofu Dr Stephen Munga amuonya Kadinali Pengo
KUNYAMAZA WAKATI MWINGINE NI HEKIMA
Waungwana taifa la Mungu, someni hii kwa furaha na uvumilivu.
"Ikawa, Sauli aliporudi baada ya kuwafuatia Wafilisti, aliambiwa ya kwamba, Daudi yuko katika nyika ya Engedi. Ndipo Sauli akatwaa watu elfu...
Wana jamii nimetafakari hiki kitu nimeona sio vibaya kama tukashare mtazamo na wanazengo. Ndugu yetu mwandishi nguli humu ndani aliwahi kupost nyuzi moja kuhusu Mh. Mkuu wa Mkoa wa Dar Ndugu Paul Makonda kuwa anafaa ama anaweza kuja kuwa namba moja wa nchi yetu kwa siku za usoni baada ya huyu wa...
Anaandika baba Askofu Rev.Dr.Benson Bagonza (PhD), Mkuu wa KKKT Dayosisi ya Karagwe.
_____
"Utusamehe Makosa Yetu"
Mwezi Machi mwaka 2017 Baba Mtakatifu, Papa Francis, katika ukuu wake na nafasi yake katika Kanisa, alichukua wajibu wa kuomba msamaha kwa ajili ya mauaji ya kimbari (genocide) ya...
Askofu Mkuu, Mheshamu Nyaisonga. Hii ni barua yangu ya wazi kwako ikiwa imebeba kichwa cha habari tajwa.
Napenda kujitambulisha kwako kama raia wa kawaida ambaye ninajali sana jinsi ninyi viongozi wetu mnavyoshiriki masuala ya kila siku ya Taifa letu.
Jana nimesoma juu ya mahubiri yako kwa...
Nimesikiliza mahubiri ya Askofu Mkuu na Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tz,Mhashamu Askofu Nyaisonga, ameelekeza lawama zake katika vyama vya upinzani,akijenga hoja kuwa havikutumia busara na elimu katika kufikiri na kujitoa katika uchaguzi.
Amehimiza kuwa kujitoa sio suluhu,wanapaswa kukaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.