askofu

  1. J

    Askofu Dkt. Munga: Chama cha siasa siyo mali ya mtu binafsi bali ni mali ya umma, Chadema zingatieni hilo

    Ni ushauri murua kabisa uliotolewa na baba askofu Munga kupitia waraka akiwaasa Chadema kwamba chama cha siasa ni mali ya umma. Naomba ushauri huu upokelewe pia na vyama vyote vya Upinzani ambavyo umiliki wao ni kama wa binafsi mfano TLP, ACT wazalendo, UDP, Chauma nk Nimpongeze sana Dr Munga...
  2. Mwanahabari Huru

    Baba Askofu Rev.Dr.Benson Bagonza (PhD):Alipokuwa mchezaji wa Yanga, Simba walimsema ni bomu (dhaifu) na hana lolote

    Alipokuwa mchezaji wa Yanga, Simba walimsema ni bomu (dhaifu) na hana lolote. Amejiunga na Simba, sasa Simba wanasema wamesajiri jembe la uhakika. Nao Yanga wanasema Simba wamechukua bomu ambalo litawalipukia. Mchezaji mwenyewe alipokuwa Yanga, alisema yeye ni Yanga na Yanga ni yeye. Hata damu...
  3. M-mbabe

    Askofu Benson Bagonza (PhD): Haijawahi kuwa rahisi kuwaongoza watu wenye njaa

    Ujumbe unajieleza wenyewe. Sina cha kuongeza zaidi tu ya ku admire hekima ya kipekee na maono aliyo nayo huyu mtumishi wa Mungu
  4. Mwanahabari Huru

    Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula: Rais Magufuli na 'Mama wa Arusha' je, ni nini kiko nyuma ya matukio kama haya?

    Aliyewahi kuwa Mkuu wa Majeshi ya Israeli, Generali Joab Zeruiah alikuwa ni mtu ambaye hakujiamini katika nafasi aliyokuwa nayo. Kila wakati alihofu kuwa angeliondolewa katika nafasi ile hivyo alitumia njia za hila ili kulinda nafasi na masilahi yake! Kuna wakati alipohofia kuwa Mkuu wa Majeshi...
  5. J

    Askofu Gamanywa: Makonda yuko sahihi Ushoga umekatazwa kwenye Biblia, wananchi acheni kushabikia dhambi

    Askofu Gamanywa ambaye ni mjumbe wa kamati ya amani na juzikati aliliombea taifa pale Ikulu katika utiaji saini mkataba wa Barrick na Serikali amesema Marekani inamuonea Makonda. Askofu Gamanywa amesisitiza kuwa ushoga ni katazo mbele za Mungu na ni dhambi isiyosameheka. Gamanywa amedai kuwa...
  6. S

    Baba Askofu Mwamakula: Sakata la Zitto, Serikali na Benki ya Dunia litufungue macho kuhusu umuhimu wa maridhiano ya kisiasa nchini

    SAKATA LA MHESHIMIWA ZITTO, SERIKALI NA BENKI YA DUNIA LITUFUNGUE MACHO KUHUSU UMUHIMU WA MARIDHIANO YA KISIASA NCHINI Nimeona barua iliyoandikwa na Mheshimiwa Zitto Kabwe, Mbunge wa Kigoma Mjini kwenda Benki ya Dunia kuiomba Benki hiyo izuie au iahirishe kutoa mkopo kwa Serikali ya Tanzania...
  7. S

    Baba Askofu Mwamakula: Rais Magufuli awe makini na wanafiki ndani ya Serikali yake

    RAIS MAGUFULI AWE MAKINI NA WANAFIKI NDANI YA SERIKALI YAKE Mwaka jana niliandika nikitahadharisha kuhusu viongozi wanaotoa sifa za kupindukia kwa Mheshimiwa Rais Magufuli. Katika kundi hili wamo baadhi ya Wabunge wa CCM, Wakurugenzi, Wakuu wa Wilaya, Wakuu wa Mikoa na Mawaziri. Hawa ndio...
  8. B

    Askofu Mwamakula atoa neno kuhusu Dhambi ya Kijamii

    December 31, 2019 Ujumbe wa kuelekea Mwaka Mpya wa Askofu Emmaus Mwamakula kwa Jamii bila kujali wana imani au la, ila ujumbe huu ni kwa Jamii yote kiTanzania Dhambi ambayo Jamii nzima, dhambi ya taasisi na dhambi ya kiTaifa ambayo wote tuna inashiriki kuitenda na kuilinda badala yakuikemea...
  9. B

    Askofu Cheyo aonya matumizi ya mitandao ya kijamii

    Askofu wa Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Kusini Magharibi, Alinikisa Cheyo ameonya wale wote wanaotumia mitandao ya kijamii kuandika mambo machafu na kutukana wengine kuwa wanahatarisha amani ya nchi. Askofu Cheyo amesema hayo, Jumatano Desemba 25,2019 wakati akitoa salamu za Krismasi...
  10. B

    Askofu akumbusha kujiandikisha daftari la mpiga kura

    Askofu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Dar es Salaam, Tanzania, Jackson Sosthenes amewahamasisha wananchi kujiandikisha kwenye daftari la mpiga kura akisema mwaka 2020 ni muhimu kwa Taifa kwa kuwa linakwenda kwenye uchaguzi mkuu. Askofu Sosthenes ametoa kauli hiyo Jumatano Desemba 25, 2019...
  11. Miss Zomboko

    Askofu Shoo akemea utekaji na utesaji wa raia, uvunjifu wa haki na kiburi kilichopo kwa viongozi wa nchi

    Askofu Mkuu wa KKKT Askofu Dkt. Frederick Shoo TABIA ya utekaji, utesaji, unyongaji haki, dhuluma na kiburi inayolalamikiwa nchini, imekemewa vikali na Dk. Frederick Shoo, Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT). Anaripoti Mwandishi Wetu, Moshi … (endelea). Kiongozi huyo...
  12. Erythrocyte

    Video: Bernard Membe akutana na kuteta na Baba Askofu Ruwai'ch

    Wakuu, natanguliza salamu za sikukuu, bila shaka mnasherekea kwa amani, hata hivyo pamoja na kusherehekea nimeona nisiwaache hivi hivi tu.
  13. S

    Askofu Zachary Kakobe yupo live YouTube kwenye Ibada ya Krismas

    Ni mahubiri ya ibada ya krismas
  14. The Sheriff

    Papa Francisko amteua Askofu Ludovick Minde kuwa Askofu wa Jimbo Katoliki la Moshi

    Baba Mtakatifu Francisko amemteua Askofu Ludovick Joseph Minde, ALCP/OSS kuwa Askofu mpya wa Jimbo Katoliki Moshi, nchini Tanzania. Kabla ya uteuzi huu Askofu Ludovick Joseph Minde alikuwa ni Askofu wa Jimbo Katoliki Kahama. Itakumbukwa kwamba, Askofu Minde alizaliwa tarehe 9 Desemba 1952 kwenye...
  15. Determinantor

    Askofu Bagonza: Wanaodhani wana furaha hawana furaha. Wapinzani hawana furaha, wapinzani wa wapinzani hawana furaha

    FURAHA KAENDA WAPI? Waliopiga kura hawana furaha, Waliosusa/suswa hawana furaha. Waliopita bila kupingwa hawana furaha, Waliosimamia kura hawana furaha. Walioshinda hawana furaha, Walioshindwa hawana furaha Waliopanga yaliyotokea hawana furaha, Waliopangiwa yaliyotokea hawana furaha...
  16. Determinantor

    Askofu Dr Stephen Munga amuonya Kadinali Pengo: Kunyamaza wakati mwingine ni hekima

    Askofu Dr Stephen Munga amuonya Kadinali Pengo KUNYAMAZA WAKATI MWINGINE NI HEKIMA Waungwana taifa la Mungu, someni hii kwa furaha na uvumilivu. "Ikawa, Sauli aliporudi baada ya kuwafuatia Wafilisti, aliambiwa ya kwamba, Daudi yuko katika nyika ya Engedi. Ndipo Sauli akatwaa watu elfu...
  17. DAT BOY SU

    Utabiri wa Pascal Mayalla na maono ya Askofu Kardinal Pengo

    Wana jamii nimetafakari hiki kitu nimeona sio vibaya kama tukashare mtazamo na wanazengo. Ndugu yetu mwandishi nguli humu ndani aliwahi kupost nyuzi moja kuhusu Mh. Mkuu wa Mkoa wa Dar Ndugu Paul Makonda kuwa anafaa ama anaweza kuja kuwa namba moja wa nchi yetu kwa siku za usoni baada ya huyu wa...
  18. Determinantor

    Askofu Bagonza: Kusema inapotakiwa ni bora kuliko kukaa kimya inapotakiwa. Kukemea vibaya ni bora kuliko kupongeza vibaya

    Anaandika baba Askofu Rev.Dr.Benson Bagonza (PhD), Mkuu wa KKKT Dayosisi ya Karagwe. _____ "Utusamehe Makosa Yetu" Mwezi Machi mwaka 2017 Baba Mtakatifu, Papa Francis, katika ukuu wake na nafasi yake katika Kanisa, alichukua wajibu wa kuomba msamaha kwa ajili ya mauaji ya kimbari (genocide) ya...
  19. Z

    Barua ya wazi kwa Askofu Mkuu Mhashamu Nyaisonga: Je, Mungu amekoma kuwa mtetezi wa wanaoonewa?

    Askofu Mkuu, Mheshamu Nyaisonga. Hii ni barua yangu ya wazi kwako ikiwa imebeba kichwa cha habari tajwa. Napenda kujitambulisha kwako kama raia wa kawaida ambaye ninajali sana jinsi ninyi viongozi wetu mnavyoshiriki masuala ya kila siku ya Taifa letu. Jana nimesoma juu ya mahubiri yako kwa...
  20. barafu

    Askofu Nyaisonga avishangaa Vyama vya Upinzani kususia uchaguzi. Ahimiza waumini kujitokeza kupiga kura na kuchagua viongozi

    Nimesikiliza mahubiri ya Askofu Mkuu na Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tz,Mhashamu Askofu Nyaisonga, ameelekeza lawama zake katika vyama vya upinzani,akijenga hoja kuwa havikutumia busara na elimu katika kufikiri na kujitoa katika uchaguzi. Amehimiza kuwa kujitoa sio suluhu,wanapaswa kukaa...
Back
Top Bottom