Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,237
Mwitikio si haba kama mnavyojionea wenyewe .
UPDATES:
Chadema ni mojaTwende na bananga
Chadema haina Urafiki na mapandikizi;Bananga huyo ni team ya kina Msando,Nenda Billionaire's pale kwa Msando utajionea Mengi.Chadema ni moja
Suala si kuachiana , ni suala la wapiga kura kuamuaAisee nampenda Lema.. ila ikipendeza amuachie Binamu Bananga
Bananga, Tuwachanganye ccm . Lema mwachie BanangaMwaka huu ni mgumu sana kwa chadema.
Ingekua CCM hapo ingeprint form 1 tu kama ile ya mwenyekiti.Mwaka huu ni mgumu sana kwa chadema.
kwa sasa tujikite kwenye kura za maoniChadema haina Urafiki na mapandikizi;Banange huyo ni team ya kina Msando,Nenda Billionaire's pale kwa Msando utajionea Mengi.
Hata zingekua kura za "MAONO'.kwa sasa tujikite kwenye kura za maoni
Yaah ngoja tuona wao wamelitizama ki namna gani.Suala si kuachiana , ni suala la wapiga kura kuamua
Bananga ataachiwa na ACT.Bananga, Tuwachanganye ccm . Lema mwachie Bananga
Ombi maalumu babies wazingatiwe!
Naomba matokea ya Chalinze kama unayo kamanda
Polisi walikuwa wapi mpaka mkakusanyika hivi?