Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 5,897
- 10,358
Mong'oo wa Arusha ambaye ni mtoto wa Askofu Mkuu wa kanisa la Baptisti Tanzania, Arnold Manase amechukua fomu ya kuweka nia kuwania Ubunge Jimbo la Arusha mjini kwa tiketi ya CCM.
Sio kadogo ni zile mbegu za sidikoKatoto kadogo, watakuwa ni wale graduate wasio na ajira. Inauma sana.
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Hahah nadhani kesho ataenda kuchukuwa akisindikizwa na walevi wa The don clubMsando akisindikizwa na Gigy Money kaingia mitini? mbona simuoni akichukua form?
Ha ha ha mbegu fupiSio kadogo ni zile mbegu za sidiko