arusha

  1. MamaSamia2025

    Kumi bora ya Bar za Arusha zisizoshuka viwango miaka yote

    Wakuu hizi ni Bar za Arusha ambazo toka utotoni zipo na zinaonekana bado zipo sana tu. 1. Parma - ipo stendi ndogo. 2. Mrina iliyopo Kaloleni. 3. Keny Garden makao mapya. 4. Sakina Bar 5. Cheetah iliyoko Majengo. 6. Kati makutano Makao mapya 7. Jogoo iliyoko Town 8. Stanley bar iliyoko town 9...
  2. JanguKamaJangu

    Arusha: Afisa Mtendaji ahukumiwa miaka 20 jela kwa ufujaji wa fedha

    Agosti 24, 2022 Jamhuri imeshinda katika Shauri Na. ECO. 90/2020 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha. Shauri hili lilimhusu, JULIUS K. MBISE, aliyeshtakiwa kwa makosa ya Ufujaji na Ubadhirifu, Matumizi Mabaya ya Madaraka pamoja na Kuisababishia Serikali Hasara, kinyume na vifungu vya 28 (1)...
  3. Bushmamy

    Arusha: Wananchi Meru waomba kufufuliwa kwa jengo la mahakama ya iliyotekelezwa, kesi nyingi huishia nyumbani

    Jengo la mahakama ya West Meru lililotekelezwa Wananchi wa Meru wameoimba serikali kufufua mahakama zilizotelekezwa ili kurahisisha usikilizaji wa kesi katika Kata zote zinazoizunguka Meru kutokana hali halisi ya jiogrofia ya maeneo yao ikiwemo umbali, na ubovu wa barabara kwenda kwenye...
  4. B

    Kuna Soko la pumba Moshi na Arusha?

    Habari za majukumu ndugu zangu, Naomba kufahamu na connection ya soko la pumba Kwa mikoa ya Arusha na Moshi. Ni pumba laini kabisa za maindi na mpunga Mimi na pumba ya kutosha nipo tabora. Mawasiliano zaidi 0658644485
  5. benzemah

    Miezi tisa Radio 5 Arusha inayomilikiwa na Lowassa haijalipa mishahara wafanyakazi wake

    "ANDIKO HILI LIMETOLEWA NA WAFANYAKAZI WA RADIO 5 ARUSHA" "Habari za wakati huu wanahabari wenzetu. Sisi ni Wafanyakazi wa Radio5 Arusha iliyo chini ya TAN COMMUNICATION MEDIA ambayo inamilikiwa na Familia ya Mzee Edward LOWASSA kwa masikitiko kabisa tunalazimika kuandika ujumbe huu kueleza...
  6. Faana

    TANZIA RIP Mwalimu John Lusungu Nusurupia Myavilwa wa Kwaya Kuu Habari Njema Arusha

    Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kifo cha Mwalimu Mstaafu wa Kwaya Kuu Habari Njema Arusha Mjini Kati Ndugu John Lusungu Nusurupia Myavilwa. Atakumbukwa kwa kazi ya kutunga na kufundisha nyimbo za Injili Kwaya mbalimbali nchini ikiwemo Kwaya ya Vijana Makorora Tanga miaka ya 1970+...
  7. Pascal Mayalla

    Shuhudia Sensa Live Kupitia TBC, Nimeshuhudia Live Rais Samia Akihesabiwa. Let's Share Experiences za Sensa na Zoezi la Kuhesabiwa Toka Maeneo Tofauti

    Wanabodi Shuhudia sensa live kupitia TBC, nimeshuhudia live, citizen No. 1, Rais wa JMT, Rais Samia Suluhu Hassan akihesabiwa toka katika makazi yake rasmi ya kiserikali Ikulu ya Chamwino Dodoma!. Saa hizi ameisha maliza kuhesabiwa. Wana JF, let's share different experiences za sensa na...
  8. JanguKamaJangu

    Makarani wa Sensa Arusha, Katavi waporwa vishikwambi

    Makarani wawili wamejikuta katika wakati mgumu baada kuporwa vifaa vyao vya kukusanyia taarifa maarufu kama vishikwambi na vibaka. Tukio la kwanza limetokea jijini Arusha ambapo karani aliyetambuliwa kwa jina la Saraphia Kiwango ameporwa kishikwambi chake alipokuwa akielekea kuanza kuhesabu...
  9. Mpwayungu Village

    Karani wa sensa aporwa kishikwambi Arusha Ungalimited

    KARANI WA SENSA APORWA KISHIKWAMBI USIKU, MUMEWE AJERUHIWA KARANI wa Sensa ya Watu na Makazi Jiji la Arusha, Sarapia Kiwango ameporwa kishikwambi chake wakati akijiandaa kwenda kuhesabu makundi maalum jana usiku huku mume wake akijeruhiwa. Akizungumza na mwandishi wa HabariLEO, Mratibu wa...
  10. menny terry

    Majumba ya kifahari ndani ya pori hapa Arusha ni mfano wa kuigwa

    Wakuu, Waswahili wanasema tembea uone! Katika pitapita zangu kama vlogger huku Arusha nimekutana na majumba ya kifahari, viwanja vya Golf, mito ya maji safi, wanyama mbalimbali na makazi yenye ubora wa hali ya juu vyote vikiwa ndani ya pori! Yaani wakati tunabanana hapo mwananyamala na Manzese...
  11. Jamii Opportunities

    Corporate Relationship Manager at KCB Arusha

    KCB Bank Tanzania Limited, also KCB Bank Tanzania, is a commercial bank in Tanzania. Job Summary: To achieve business growth for the Bank by acquiring new profitable customers; and selling Corporate Banking products while also promoting sales of other products and services of the Bank to...
  12. Getrude Mollel

    Bilioni 12: Arusha kupata maji kwa 100%

    Katika mwaka wa fedha 2022/23 Mamlaka ya Maji katika jiji la Arusha litatumia Sh. Bilioni 12 kutekeleza mradi wa maji ambao utafanya jiji hilo la kitalii kupata maji wa 100% Kwa sasa usambazaji wa maji katika jiji la Arusha ni 75% na baada ya uwekezaji huu wa Bilioni 12 basi hadi ifikapo 2023...
  13. J

    Waziri Mkuu Majaliwa afungua Mkutano Mkuu wa CAF Jijini Arusha, Tanzania

    Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa leo Agosti 10, 2022 amefungua Mkutano Mkuu wa 44 wa kawaida wa CAF AICC Arusha. Mkutano huo umehudhuriwa na Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) Gianni Infantino na Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) Patrick Motsepe.
  14. waziri2020

    Bifu ya hawa wawili Arusha bado mbichi

    Katika siku za hiv karibuni jijini Arusha kumeibuka bifu Baina ya wafanyabiashara wawili ambao inaelezwa hapo awali walikuwa marafiki wa kufa na kupikana. Wafanyabiashara hawa Elizabeth Mayani maarufu kama “Mama Shombee “ anayemiliki kampuni ya Newlook Bridal na Lilian Mosha mmiliki wa duka la...
  15. Hussein Massanza

    Yanayoendelea kwenye kambi ya Singida Big Stars jijini Arusha (Pre-season Camp)

    Watu wa Soka, Timu yetu Singida Big Stars imeweka kambi hapa Njiro jijini Arusha kwa ajili ya kujiandaa na msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2022/23. Tulichagua kuweka kambi (Pre season camp) hapa Arusha kutokana na sababu kadhaa ikiwemo hali ya hewa nzuri na mazingira yenye...
  16. MK254

    Mombasa hadi Arusha barabara sasa safiiii - Arusha-Holili-Taveta-Voi transit corridor

    Marais wa mataifa ya EAC wameizindua hii barabara jana... Presidents Samia Suluhu Hassan and Uhuru Kenyatta on Friday officially opened the 42.4km Arusha Bypass, which is part of the regional Arusha-Holili-Taveta-Voi transit corridor that links Tanzania with Kenya. Speaking at the launch at...
  17. B

    Barabara ya Arusha – Holili /Taveta – Voi Road Project kuzinduliwa

    21 July 2022 Arusha, Tanzania Mkutano wa 22 wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki July 22, 2022 Arusha Tanzania Viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki watakaokutana ktk kikao cha kawaida cha 22 cha wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kuzindua Mradi wa barabara inayounganisha...
  18. Bushmamy

    Miundombinu ya Arusha na Moshi inaleta aibu katika soko zima la utalii na uwekezaji

    Katika kipindi hichi cha mwezi wa sita hadi mwishoni mwa mwaka tumeshuhudia kabisa idadi ya watalii ilivo kubwa na inazidi ikiongezeka kadri siku zinavyozidi kwenda katika miji hii miwili ya kitalii. Ni aibu kwa mji wa kitalii kama Arusha na Moshi kuwa na aina ya masoko na vituo vya mabasi...
  19. Lady Whistledown

    Watoto 5 wa familia moja wadaiwa kufariki kwa ugonjwa wa tumbo Arusha

    Watoto watano wa familia moja wakazi wa kijiji cha Mswakini wilayani Monduli, Mkoa Arusha nchini Tanzania wamefariki dunia kwa ugonjwa ambao bado haujatambulika baada ya kusumbuliwa na maumivu ya tumbo na matumbo kujaa. Akizungumza na Mwananchi leo Jumanne Julai 19,2022, Dwani wa Mswakini...
  20. Iziwari

    House4Rent Nyumba na kiwanja vinauza kwa ajili ya mtu mwenye familia na anaehitaji eneo kubwa Njiro, Arusha

    Kama wewe ni dalali uliobobea unaruhusiwa kushiriki nasi. Hii inakuhusu. Nyumba na kiwanja kikubwa karibu na shule ya renea Njiro inauzwa. Ina kiwanja kinachojitosheleza kuendelea kuijenga au hata kuweka nyumba za kupangisha. Kuna Maji, umeme wa sola, na Nyumba ina vyumba viwili na sebule...
Back
Top Bottom