ajira

  1. Jamii Opportunities

    Human Resources Officer at Raha Beverages LTD January, 2024

    Position: Human Resources Officer Position: 1 Reporting to: Human Resource Manager. Department: Human resources & Admin Location: Arusha, Tanzania Job Purpose Responsible for various tasks related to managing and organization’s human capital. This includes recruitment, employee relations...
  2. Jamii Opportunities

    Barber at DOCG January, 2024

    Position: Barber The Human Resources Office of Daqing Oilfield Constructions Group Company Limited (DOCG) informs all Tanzanians with the following qualifications and who are ready to work at the Marine Storage Terminal Project (MST) at Chongoleani. Qualifications: Certificate in hairdressing...
  3. Jamii Opportunities

    Supply Chain Officer at Médecins Sans Frontières January, 2024

    Position: Supply Chain Officer Direct Reports: Logistics Team Leader Location: Liwale, Lindi Main Purpose Organizing and supervising the daily supply chain activities and the teams associated, in the coordination or project level, according to MSF protocols and standards in order to ensure...
  4. Jamii Opportunities

    Financial Controller at APOPO January, 2024

    Position: Financial Controller Your profile To be considered for the position of Financial Controller, we expect candidates to have the following qualifications, skills, and experience: Bachelor’s degree in finance, accounting, business management, or a related field. CPA, MBA, or MSA...
  5. sky soldier

    vijana msome mjaribu bahati ya ajira, mjiajiajiri / biashara, kuwa msanii au mwamichezo ni kundi halizidi watu elf 1 nchi nzima waliofanikiwa.

    >> MOVED <<
  6. Kisesetusese

    Ajira za ualimu lini mwenye fununu.

    Kama somo linavyosema naomba kujua ajira za walimu.
  7. Championship

    Vijana sahauni kuhusu ajira, wenzenu wanafanikiwa kwenye biashara mbalimbali

    Nimefurahi sana nilipokutana na jamaa zangu tulimaliza chuo mwaka mmoja na wamefanikiwa kimaisha japo hawakuwahi kuajiriwa Mmoja aliamua kuwa bodaboda pamoja na digrii yake. Kwasasa amejenga nyumba mbeya mjini. Anazo bajaji kadhaa kaajiri vijana na analo duka kubwa la jumla. Mwingine yeye...
  8. Foffana

    Ajira Uhamiaji

    Kila la kheri wapambanaji
  9. Mwizukulu mgikuru

    kuna mambo mawili hapa......

    kuna mambo mawili hapa aidha aliishakula vya kwake vyote na hana alichobakiza au ametafuta saana na akakosa mwisho wa siku kakata tamaa, tujitahidi sana kuwakwepa hawa watu hasa sisi vijana wenye muelekeo wa kujipata.
  10. GANJIBHAAI

    Mimeamini siasa ni ajira kama ajira nyingine tu haina tofauti na Mama Ntilie

    Huwa nacheka sana kuona wanasiasa wanavyohangaika kutetea ujira wao. Inafika wakati wanataka hata kutuharibia amani na utulivu wa nchi hii, kila kitu wanajua wao, hata humu jamvini kuna watu hadi wa buku saba, wanahangaika hadi usiku wa manane kupost post tu vijipost ambavyo havijengi zaidi ya...
  11. Objective football

    Njaa ilinidhalilisha sana kwenye harakati zangu za kutafuta ajira

    ndugu zangu ukiona giza nene jua kumekaribia kucha. katika safari yangu ya utafutaji wa kazi na ajira nipate ridhiki yangu aiseeeh siwezi sahau. njaa kali,kufubaa, kudharaulika na kukosaa nauli za daladala na basi wakati nasambaza bahasha na usahili ilikua jambo lakawaida. uso wangu ulipoteza...
  12. Immortal Techniques

    Inflation & Unemployment: Mfumuko wa Bei na Ukosefu wa Ajira.Tanzania Wapi tunaelekea?

    Utangulizi: Wabobezi wengi wa uchumi Duniani wanakubaliana adui namba Moja kwenye Uchumi ni Inflation & Unemployment,hakuna uchumi wowote Duniani unaokoa bila kuzalisha ajira Kwa wananchi wake, Tanzania ni nchi yenye watu Estd.63 Million sensa ya mwaka 2022 kati ya hao 70% wako chini ya Umri...
  13. Stephano Mgendanyi

    Waziri Dkt. Kijaji Awaasa Vijana Kufanya Kazi kwa Uadilifu na Kujituma Wanapopata Ajira Viwandani

    Waziri Dkt. Kijaji Awaasa Vijana Kufanya Kazi kwa Uadilifu na Kujituma Wanapopata Ajira Viwandani Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji (Mb.) ametoa rai kwa vijana wa kitanzania kuwa na uadilifu na kujituma wanapopata ajira viwandani ili waendelee kunufaika kwa pamoja na...
  14. F

    Sensa ya kwenye elimu ya chuo kikuu ila hawana ajira ikifanyika. Results zitabadili mtazamo wa wazazi kulipa ada mamilioni

    Habari wadau. Najaribu kuwaza ikitokea sensa ya wenye elimu ya chuo kikuu ila hawana ajira ikafanyika. Mtazamo wa wazazi juu ya elimu utabadilika sana. Kwa hali ya ajira ilivyo,,Ada za mamilioni tunazolipia watoto wetu ni bora tuwanunulie mashamba, mifugo, kuwajengea vyumba vya kupangisha etc...
  15. R

    Ikiwa ajira za uarabuni zinalipa, watoto wa viongozi Waoneshe mfano Kwa vitendo

    Salaam, Shalom!! Mwalimu Nyerere alipotuambia KILIMO ni UTI wa mgongo, alionyesha Kwa vitendo Kwa kuwachukua watoto wake kina madaraka , na ndugu na kwenda nao shambani. Uongozi ni vitendo Si maneno, mvua zinanyesha sasa, viongozi wanatwambia watoto na ndugu zetu waache mashamba Eti waende...
  16. Jamii Opportunities

    Head of Secretariat (m/f/d), Africa EU Energy Partnership (AEEP)

    Our model for success is a better life for everyone and purposeful tasks for our employees. For more than 50 years, the Deutsche Gesellschaft für Internationale Zusammenarbeit (GIZ), as a company of the German Federal Government, has been supporting the implementation of development policy goals...
  17. M

    Ajira za bara tunaomba wote, lakini za Zanzibar wanataka Mzanzibar pekee

    Serikali inapaswa kutafakari ni kwa namna gani wanaweka usawa kwenye hili. Wahitimu kutoka bara wanalalamika sana. Ajira zinazotangazwa bara wanasailiwa hadi wazanzibar, lakini ajira zinazotangazwa Zanzibar, sifa moja wapo kubwa ya kusailiwa ni kuwa mzanzibar. Mzanzibar anafaida mara 2...
  18. sky soldier

    Rasmi naenda kuacha ajira, Wasomi tumegeuka kituko kwa uoga wa kutegemea matone ya mshahara huku wageni na std 7 wakitajirika kwa rasilimali zilizojaa

    Biashara nilizonazo nilizianza huku nipo kazini, hadi hapa nilipo biashara zinanilipa lakini haikuwa rahisi, uzoefu nimeupata kwa maumivu kadhaa ikiwemo kuambulia maumivu ya biashara kufilisika, kupigwa na vijana wa dukani, kupigwa faini na tra kwa kuchukulia poa mambo ya kodi, n.k. kupitia haya...
  19. Jamii Opportunities

    Regional General Manager at TAZARA December, 2023

    Position: Regional General Manager, Tanzania (Based In Dar Es Salaam) Reporting to: the Managing Director The successful candidates will manage, plan and control regional train operations. Duties: The main duties for the Regional General Manager include: Developing and implementing marketing...
  20. Jamii Opportunities

    Clinical Research Coordinator (CRC) at MUHAS December, 2023

    Position: Clinical Research Coordinator (CRC) Location: Based in Dar es Salaam, Tanzania. Contract: A 12-month, renewable. Reporting to: Principal Investigator, MUHAS-ORCI-UCSF Cancer Collaboration This is an opportunity to build experience in implementation science through working with a...
Back
Top Bottom