ajira

  1. Jifunze kutafuta Fursa badala ya Kutafuta Ajira

    Kwanza nianze kwa kusema kwamba kuajiriwa sio vibaya,kufanya kazi kuajiriwa sio kosa,wala kuishi kwa mshahara sio dhambi.Watu wengi huwa wanakuwa na tafsiri mbaya sana wanpoona watu tunahamasisha watu kujiajiri bila kufahamu kwamba jamii yetu ina uhitaji mkubwa sana wa Job creators so...
  2. Ijue ajira mpya Mjini

    Vijana wengi hawajajua kuwa kuna fursa mpya ya ajira mjini ambayo ni marathon sasa jijini Dar na mikoa mikubwa haiwezi kupita wiki bila kuwa na mbio za marathon sasa akijana ambaye huna ajira fanya mazoez ya kutosha ya kutosha kila wiki ukienda kukimbia na ukawa hukosi kwa washindi unauhakika...
  3. Wapi pana gap la ajira?

    Hello JF, Leo tuisadie serikali yetu kutambua wapi potentially pangetengeneza ajira. Mimi naanza: Serikali inge invest kwenye mental health problems. One in four experiences mental health difficulties. Ila mpaka leo kuna referral hospital tatu tu-Dodoma na Muhimbili, Mloganzila (nimetoka...
  4. Msaada wenu kwenye hili la mfumo wa Ajira Portal

    Najaribu kufanya application kwa ajili ya ndugu yangu nafasi ya kazi ninayoapply PSRS lakini alikuwa na Qualification zaidi ya hizo zilizohitajika, nimepunguza wee lakini bado inagoma, ndugu zangu nyie mna ujuzi na hii system kuliko Mimi nijuzeni tatzo nini .wengine hatujawahi kuitumia hii na...
  5. R

    Hakuna tofauti kati ya biashara na ajira

    Salam wajomba na mashangazi, Kumekuwa na tabia ya watu kutaka kuumwambfy ujasiriamali/biashara na kuufanya uonekane ni bora zaidi mara elfu moja ya ajira lakini ukichunguza kwa makini advantage iliopo katika ujasiriamali ni ndg sana.kivp? angalia hapa. Ulinganishi wa juu...
  6. Kuna nini TBL? Ajira za wazawa mashakani

    Wakati serikali inaendelea kuboresha mazingira ya uwekezaji katika sekta ya viwanda kufanikisha ajenda yake ya Tanzania ya viwanda, bado kuna dalili za sekta hiyo badala la kukua na kuwainua Watanzania baadhi ya makampuni yana muelekeo wa kuwakandamiza wafanyakazi wake Watanzania na kunufaisha...
  7. Fanya maamuzi magumu wewe msomi usiye na ajira, utafanikiwa sana

    Habari wasomi wote mnaoteseka na suala la ukosefu wa ajira. Ushauri: Umehitimu chuo ngazi ya Astashahada, Stashada au Shahada na umehangaikia ajira kwa zaidi ya miezi 24 (2yrs)?. Kama jibu ni yes. Basi chukua uamuzi mgumu wa kuchoma moto vyeti vyako kisha ingia mtaani au shambani. Utafanikiwa...
  8. Mzee Kikwete ashangaa Walimu kukosa ajira

    Sasa mimi namkumbusha tu Mzee wangu kwamba nini walimu bhana ! Kwa ujumla Tanzania haina ajira kwa vijana , kuanzia madaktari hadi wahasibu . Nchi yeyote isiyotoa ajira kwa raia wake yenyewe wala nyongeza ya mshahara kwa wafanyakazi wake ambao ni wachache kuliko wafanyakazi wa nchi yeyeto...
  9. Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

    Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri Inafahamika kuwa ukosefu wa ajira ni tatizo si kwa Tanzania tu bali hata kwa nchi zilizoendelea kama Marekani. Kwa hapa Tanzania limekuwa si tatizo bali ni janga kubwa ambalo hakuna anayelitafutia ufumbuzi wala kulitupia macho. Itakumbukwa kuwa siku za nyuma...
  10. J

    Mjapan: Rais Magufuli yuko sahihi, vyuo vikuu duniani kulikoendelea huandaa wahitimu kujiajiri na sio kusubiri ajira ya serikali

    Injinia wa kijapani pale Mwenge amekubaliana na ushauri wa Rais Magufuli kwa vyuo vikuu kwamba Degree zao zilenge kuwaandaa vijana katika kujiajiri na si kusubiri ajira za serikali. Mjapan ameniambia vyuo vikuu katika dunia iliyoendelea huwaandaa vijana katika ubunifu, ujasiri na uthubutu na si...
  11. Nashida ya Kuzamia

    Habarini wana JF, mimi ni mhanga wa ajira kwa muda tuu ila nimetafakari na kuona halihalisi ya maisha yanavyozidi kuwa juu nimeona nitafute kazi nje ya nchi, nje ya Africa kazi yoyote ya halali hata kudeki vyoo, kwa anayejua au mwenye ndugu pls aniunganishe, asanteni mtakaoguswa. Maisha magumu...
  12. C

    HESLB mkimaliza kuwaumbua wadaiwa sugu Jumatato ijayo, muwaumbue pia na wale wanaofanya tatizo la ajira kuongezeka nchini

    Nichukue fursa hii adhimu kabisa kuwapongezeni watu wazima ambao ni Watendaji wa Bodi ya Mikopo nchini ( HESLB ) kwa kuweza kupoteza muda wenu mwingi, kujadiliana, kuchanganya fikra zenu hadi baadae mkaja na maamuzi ambayo Kwenu mmeona yana Tija ya kuwaumbua wadaiwa sugu wa mikopo na kuweka...
  13. Waitara anakubali kuwa kuna upungufu wa walimu na ajira zilisimama

  14. Kupunguza tatizo la ajira serikali iruhusu huduma ya kupokea pesa kupitia PayPal

    Tanzania kumekuwa na tatizo kubwa la ajira. Njia moja ya kuondoa hilo tatizo ni kwa watu kutafuta kazi za kufanya online, yaani mitandaoni. Kazi zipo nyingi. Mfano, waweza pata kazi ya kutafsiri website ya kampuni au mtu kwa Kiswahili au kutafsiri kitabu. Unafanya online malipo yanakuwa kwa njia...
  15. Tusilazimishe ajira kwa kuwakosesha watu ajira

    Elimu yetu imekaa katika hali ambayo kila mmoja anaijua, kuenda mwisho kuchukua gamba pale juu. Kutokana na ubovu wa yanayotoka chuoni kumeanzisha bodi ili kuhakiki tena ubora wa wale waliotoka vyuoni, bodi ya wahasibu, bodi ya bankers, wahandisi, wagavi nk. Hii imefanya watu waajiriwe katika...
  16. Tuwekeze zaidi kwenye kilimo, tutumie ardhi yetu na izalishe ajira

    Enzi zile Zimbabwe inaitwa Rhodesia ilikuwa mzalishaji mkubwa wa mahindi, Rhodesia iliweza kuzalisha mahindi na kulisha Afrika yote hasa kukiwa na ukame. Waliweza kufanya vile kwakua walowezi walilima kwa kutumia mashine, walikuwa na mashamba ya biashara. Jembe la mkono haliwezi kumkomboa...
  17. Kwanini Viongozi ' Waandamizi ' na ' Waliostaafu ' bado huwa wanapewa Vyeo badala ya kuachwa Wapumzike?

    Leo nikijibiwa na Kuelemishwa ' Kiutaalam ' kabisa katika hili nililouliza nitawashukuruni sana Wadau. Na kama tulikuwa kumbe bado tunawahitaji kwanini wakati tukijua wanakaribia Kustaafu ' Utendaji ' wao Serikali basi tusingewaongezea tu muda na waendelee kuwatumikia Watanzania? Kuna Mzee...
  18. Y

    Wale wahanga wa ajira tukutane hapa

    Wale wahanga wa ajira,nimeona niwashirikishe fusra hii ya kuweza kujiingizia kipata ukiwa nyumbani. Nimeona niwashirikishe maana nami nimeshirikishwa. Fungua hiyo link na ujiunge leo na uanze kujiingizia kipato. https://jubmoney.xyz/1149647779795/
  19. Kitabu: Biashara ndani ya ajira, toleo la pili, Oktoba 2019

    Rafiki yangu mpendwa, Mwezi Oktoba mwaka 2016 nilitoa toleo la kwanza la kitabu cha BIASHARA NDANI YA AJIRA. Kitabu ambacho kilikuwa na maarifa na mwongozo sahihi kwa yeyote anayetaka kuingia kwenye biashara lakini kazi inakuwa kikwazo kwao. Nilitoa kitabu hiki baada ya kujifunza kwa wengi...
  20. PROJECT OFFICER (1 position )

    Magu Poverty Focus on Older People Rehabilitation Centre (MAPERECE) in collaboration with Amref Health Africa Tanzania is implementing Empowering Women with Obstetric Fistula Project in Mwanza Region. The project aims to deliver a fistula treatment, psychosocial support, and livelihoods...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…