Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,938
Habari wasomi wote mnaoteseka na suala la ukosefu wa ajira.
Ushauri: Umehitimu chuo ngazi ya Astashahada, Stashada au Shahada na umehangaikia ajira kwa zaidi ya miezi 24 (2yrs)?.
Kama jibu ni yes. Basi chukua uamuzi mgumu wa kuchoma moto vyeti vyako kisha ingia mtaani au shambani.
Utafanikiwa zaidi kwakuwa wewe utakuwa na maarifa zaidi ya yule utakayemkuta field huko.
Sasa hivi ukiingia mtaani au shambani si rahisi kwako kufanikiwa kwakuwa utakuwa unafanya kazi huku unawazia ajira na shetani anakuonyesha marafiki zako waliopata shavu B.O.T, TRA, NCCA, TANAPA, NEC na TPA mwishobl unabaki kusononeka tu na kuanza kumlaumu mjomba kuwa hajakuvuta TISS.
Ukificha au kuvitupa vyeti vyako mbali kabisa nakuhakikishia utatoboa haraka zaidi ya yule best yako aliyekupa lift juzi na SUBARU yake huku ametinga kombati zake za JWTZ.
Povu linaruhusiwa.
Ushauri: Umehitimu chuo ngazi ya Astashahada, Stashada au Shahada na umehangaikia ajira kwa zaidi ya miezi 24 (2yrs)?.
Kama jibu ni yes. Basi chukua uamuzi mgumu wa kuchoma moto vyeti vyako kisha ingia mtaani au shambani.
Utafanikiwa zaidi kwakuwa wewe utakuwa na maarifa zaidi ya yule utakayemkuta field huko.
Sasa hivi ukiingia mtaani au shambani si rahisi kwako kufanikiwa kwakuwa utakuwa unafanya kazi huku unawazia ajira na shetani anakuonyesha marafiki zako waliopata shavu B.O.T, TRA, NCCA, TANAPA, NEC na TPA mwishobl unabaki kusononeka tu na kuanza kumlaumu mjomba kuwa hajakuvuta TISS.
Ukificha au kuvitupa vyeti vyako mbali kabisa nakuhakikishia utatoboa haraka zaidi ya yule best yako aliyekupa lift juzi na SUBARU yake huku ametinga kombati zake za JWTZ.
Povu linaruhusiwa.