Wale wahanga wa ajira,nimeona niwashirikishe fusra hii ya kuweza kujiingizia kipata ukiwa nyumbani. Nimeona niwashirikishe maana nami nimeshirikishwa. Fungua hiyo link na ujiunge leo na uanze kujiingizia kipato.
Umepata pesa mkuu?Nzuri nimeipenda
Hebu komaa.. alafu ulete mrejeshoUmepata pesa mkuu?
Mi nimefikisha dola 9 nikataka kuitoa wakakataa. Wanasema mpaka ifike dola 150.
Lakin hata hivi nina wasiwasi.
Hivi inawezekana kupata pesa kiurahisi hivyo kweli au wanatufanyia mazingaombwe?
Umepata pesa mkuu?
Mi nimefikisha dola 9 nikataka kuitoa wakakataa. Wanasema mpaka ifike dola 150.
Lakin hata hivi nina wasiwasi.
Hivi inawezekana kupata pesa kiurahisi hivyo kweli au wanatufanyia mazingaombwe?
SCAMWale wahanga wa ajira,nimeona niwashirikishe fusra hii ya kuweza kujiingizia kipata ukiwa nyumbani. Nimeona niwashirikishe maana nami nimeshirikishwa. Fungua hiyo link na ujiunge leo na uanze kujiingizia kipato.
£150*2285=342,750/=Hata mimi imekataa kutoka chini ya dola 150 ngoja nikomae ila zoezi linataka muda wa ziada hivi kwa dola 150 sawa na sh.ngapi kwa pesa ya bongo sasa?