Ndio lakini ufaulu umeongezeka kila jambo na wakati wake
State agent
Ufaulu umeongezeka au matokeo yanapikwa ili kuhadaa, chini ya utawala huu taarifa karibu zote zinapokea ili kuhadaa umma kuwa kuna mafanikio. Huyu jamaa alikua ni mpaka idadi toka akiwa waziri, nakumbuka ule uongo wake wa kutaka idadi ya samaki mpaka mayai. Hii tabia naona ndio kapanda nayo na kupachika serekalini.
Hatari sana hakuna ajira wala niniUwezo tu wa kuajiri walimu ni mtihani huku wanatamba kwa mafanikio hewa.
Ni ngumu sana mkuu kwa fedha zipi ! Kama tu kuongeza mishahara imeshindikanaWataajiri mwakani walimu 22,000
Unalipwa sh ngapi? Nataka na mimi nijiungeNdio lakini ufaulu umeongezeka kila jambo na wakati wake
State agent
Acha kuzidisha mahaba na mihemko...usiwe kicheche kutetea ujinga!!!Ndio lakini ufaulu umeongezeka kila jambo na wakati wake
State agent
Ili tuache alama/ligasi, au sivyo?Ajira kwa awamu ya 5 sio kipaumbele kwasasa tunanunua ndege cash kwa pesa za ndani na kujenga madaraja
Yaani 3 kwa mwaka mmoja tu.... Hizi pesa anakopa nani na anapeleka wapi kufanya nini kama kila kitu kinatekelezwa kwa fedha za ndani?Ajira kwa awamu ya 5 sio kipaumbele kwasasa tunanunua ndege cash kwa pesa za ndani na kujenga madaraja
Deni la taifa limeongezeka 3 tril ndani ya mwaka mmojaDeni limeongezeka trilYaani 3 kwa mwaka mmoja tu.... Hizi pesa anakopa nani na anapeleka wapi kufanya nini kama kila kitu kinatekelezwa kwa fedha za ndani?
Kumtetea jiwe inabidi ujitoe akili.
Ukiambiwa toa data kuonesha zinavyopikwa unatoa macho. Pumbavu!Ufaulu umeongezeka au matokeo yanapikwa ili kuhadaa, chini ya utawala huu taarifa karibu zote zinapikwa ili kuhadaa umma kuwa kuna mafanikio. Huyu jamaa alikua ni mpika idadi toka akiwa waziri, nakumbuka ule uongo wake wa kutaja idadi ya samaki mpaka mayai. Hii tabia naona ndio kapanda nayo na kupachika serekalini.
Ukiambiwa toa data kuonesha zinavyopikwa unatoa macho. Pumbavu!