Hawa watu ndio waanzilishi wa demokrasia lkn wanapo ona demokrasia utakanyagwa afrika wanafanya nn?
zaidi naona ni matamko tu.
Demokrasia inakanyagwa Uganda chini ya mseveni, je wanafanya nn zaidi zaidi ya matamko na kuendelea kumpa misaada ya hali na mali.
Demokrasia inakanyagwa Rwanda lakini...