afrika mashariki

"Wimbo wa Jumuiya ya Afrika Mashariki" or "Jumuiya Yetu" (English: "East African Community anthem") is the national anthem of the East African Community. It is a Swahili language hymn.

View More On Wikipedia.org
  1. Burnaboy

    Zanzibar kujenga jengo refu zaidi Afrika Mashariki na kati, kubeba hoteli kubwa zaidi kwenye kanda

    Ni jengo refu zaidi Afrika Mashariki na kati na linatarajiwa kubeba hoteli kubwa zaidi kwenye ukanda huu. Kampuni ya kitanzania ya AICL na Edinburgh Crowland wameingia makubaliano na msanifu wa majengo, xCassia kuja na jengo la ghorofa 70. Jengo hilo litaitwa 'Zanzibar Domino Commercial Tower...
  2. Tony254

    Ferdinand Omanyala: Mtu wa Kwanza Afrika Mashariki na Kati kukimbia mbio za mita 100 chini ya sekunde 10

    Huyu kijana wa miraba minne aiseeh anatingisha dunia sasa hivi. Baada ya kuwa Mkenya wa kwanza kufika semi-finals za 100 metres huko Tokyo olympics, sasa amekimbia mita mia moja chini ya sekunde kumi. Awa mtu wa kwanza Africa Mashariki na kati kufanya hivyo. Hata Afrika Kaskazini ya Waarabu...
  3. J

    Wanajeshi wa Korea Kusini wapata maambukizi ya #COVID19 wakiwa Pwani ya Afrika Mashariki

    Waziri Mkuu, Kim Boo-kyum ameomba radhi mbele ya Umma kwa Serikali ya Korea Kusini kushindwa kuzingatia #Afya za Askari wake wa Kikosi cha Maji Wanajeshi hao wa Korea Kusini wako kwenye doria maalum ya kukabiliana na Uharamia katika Pwani ya Afrika Mashariki Wizara ya Ulinzi imethibisha kuwa...
  4. Miss Zomboko

    Tanzania imeendelea kufanya vizuri katika kudhibiti mfumuko wa bei wa Taifa ikilinganishwa na nchi nyingine za Jumuiya ya Afrika Mashariki

    Tanzania imeendelea kufanya vizuri katika kudhibiti mfumuko wa bei wa Taifa ikilinganishwa na nchi nyingine za Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa kipindi cha mwezi June, 2021. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Sensa na Takwimu za Jamii, Ruth Minja, Jijini Dodoma ambapo amesema kuwa mfumuko huo kwa...
  5. technically

    Bei za bidhaa Afrika Mashariki; Tanzania tunakamuliwa na Serikali

    Cement 50kg Dar 15000 Nairobi 10000 Kampala 11000 Kigali 11000 Bujumbula 12000 Sukari 1kg Dar 2800 Nairobi 1600 Kampala 1500 Kigali 1500 Bujumbula 1800 Petrol 1 litre Dar 2400 Nairobi 1800 Kampala 1900 Kigali 1850 Bujumbula 2050 Bei ya umeme kwa unit Tanzania 290 Kenya 185 Uganda 140 Rwanda...
  6. L

    Hongera wanawake wa Afrika Mashariki, lakini kuna ya kujifunza kutoka kwa wanawake wa China

    Katika nusu ya kwanza ya mwaka huu eneo la Afrika Mashariki limeng’ara tena kwenye ramani ya dunia, kwa wanawake wake kuwa kwenye nyadhifa za juu za utawala. Kwanza ni nchini Tanzania ambako rais Samia Suluhu aliapishwa kuwa Rais, na nchi Kenya ambako Bibi Martha Koome alichaguliwa kuwa jaji...
  7. L

    China yaendelea kutoa fursa kwa nchi za Afrika Mashariki kujitangaza kwenye soko lake

    Kenya, Tanzania na Rwanda zimeendelea na juhudi zao katika kutanganza vivutio vyake katika soko la China ikiwa ni pamoja na vivutio vya utalii, sanaa za mikono, na hata bidhaa za kilimo kama kahawa. Kwenye hafla moja iliyofanyika mashariki mwa mji wa Beijing na kutangazwa moja kwa moja kwa...
  8. Nyamsusa JB

    Bajeti ya Kenya ni Tsh. Trilioni 78, Tanzania ni Tsh. Trilioni 34 na Uganda Tsh. Trilioni 30

    Kwa Bajeti hizi za Africa Mashariki Kenya itazidi kupaa sana. Bajeti ya Kenya ni takriban mara mbili ya Bajeti ya Tanzania. Ukijumlisha Bajeti ya Tanzania na Uganda bado haifikii Bajeti ya Kenya. Hii inaonyesha Kenya inaweza Kuendelea mara Mbili zaidi ya Tanzania na Uganda. Nadhani kuna kitu...
  9. Cicero

    Wabunge Uganda wapinga nchi yao kutumia passport ya Afrika Mashariki, wahoji uhalali wake

    The move to have an East African Community (EAC) international passport has hit a snag in Uganda after MPs blocked it over its legality and the cost to users. In 2016, EAC leaders agreed to upgrade the EAC passport from a regional to an international document, with Kenya and Tanzania launching...
  10. Herbalist Dr MziziMkavu

    Ifahamu historia ya Ziwa Nyasa

    IFAHAMU HISTORIA YA ZIWA NYASA Ziwa Nyasa (katika Malawi: Lake Malawi; katika Msumbiji: Niassa) ni kati ya maziwa makubwa ya Afrika ya Mashariki ikiwa na nafasi ya tatu baada ya Viktoria Nyanza na Ziwa Tanganyika. Lina urefu wa 560 km na upana wa 50-80 km. Vilindi vyake vinaelekea hadi mita...
Back
Top Bottom