johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,028
- 142,088
Wakuu wote wa majiji ya Tanzania wako Dodoma kwa mwaliko rasmi wa waziri wa Tamisemi mh Bashungwa kujifunza namna ya kujenga masoko bora ya wamachinga.
Wameitwa RC Homella, RC Makalla, RC Malima, RC Gabriel na RC Mongella wakiwa na mwenyeji wao RC Mtaka.
Masoko hajo yakijengwa katika majiji yote basi uchumi wa Tanzania utapaa, amesisitiza Bashungwa.
Source: ITV habari!
Wameitwa RC Homella, RC Makalla, RC Malima, RC Gabriel na RC Mongella wakiwa na mwenyeji wao RC Mtaka.
Masoko hajo yakijengwa katika majiji yote basi uchumi wa Tanzania utapaa, amesisitiza Bashungwa.
Source: ITV habari!