johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,742
- 141,604
Ni ile Jumuiya ya Afrika mashariki iliyokufa mwaka 1977.
Tanzania tuliaminiwa katika mambo ya siasa na porojo baada ya kupata Uhuru mezani bila ya mapambano.
Kenya iliaminiwa katika eneo la uzalishaji na viwanda
Uganda iliaminiwa katika eneo la Elimu
Je, tumebadilika?
Jumaa kareem!
Tanzania tuliaminiwa katika mambo ya siasa na porojo baada ya kupata Uhuru mezani bila ya mapambano.
Kenya iliaminiwa katika eneo la uzalishaji na viwanda
Uganda iliaminiwa katika eneo la Elimu
Je, tumebadilika?
Jumaa kareem!