Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,036
- 20,337
Mfanya biashara kutoka Nchini Tanzania Mohammed Gulam Dewji ndiye Tajiri namba moja Afrika mashariki.
Utajiri wake umetajwa kufikia Us dollar bilioni moja nukta tano taa $1.5B Mohammed Dewji ndiye mmliki wa kampuni ya MeTL group yaani Mohammed Enterprises Tanzania Limited.
Forbes walitoa Orodha ya Matajiri wakubwa Afrika na kumtaja Mo Dewji ndiye Tajiri namba 15 Afrika ambaye ni mtu pekee kutoka Afrika mashariki kuwekwa kwenye Orodha hiyo ya Mwanzo hivyo kwakuwa ndiye Tajiri namba 15 Afrika aliye ingia kutoka Afrika mashariki hivyo amebaki kuwa tajiri wa kwanza Afrika mashariki na Tanzania pia.
Mohammed Dewji wa Tanzania, ambaye utajiri wake ulipungua hadi wastani wa dola bilioni 1.5 kutoka dola bilioni 1.6 mwaka mmoja uliopita.
Utajiri wake umetajwa kufikia Us dollar bilioni moja nukta tano taa $1.5B Mohammed Dewji ndiye mmliki wa kampuni ya MeTL group yaani Mohammed Enterprises Tanzania Limited.
Forbes walitoa Orodha ya Matajiri wakubwa Afrika na kumtaja Mo Dewji ndiye Tajiri namba 15 Afrika ambaye ni mtu pekee kutoka Afrika mashariki kuwekwa kwenye Orodha hiyo ya Mwanzo hivyo kwakuwa ndiye Tajiri namba 15 Afrika aliye ingia kutoka Afrika mashariki hivyo amebaki kuwa tajiri wa kwanza Afrika mashariki na Tanzania pia.
Mohammed Dewji wa Tanzania, ambaye utajiri wake ulipungua hadi wastani wa dola bilioni 1.5 kutoka dola bilioni 1.6 mwaka mmoja uliopita.