Dah , sio poa!
Nipo hapa nafuatilia BBC London habari...
Da'Ummy anasema , eti eti..kufikia 2030 Tanzania haitakua na UKIMWI kabisa.
Wadau hii imekaaje? Kuna ukweli hapo?
---
Nchi tano za Afrika: Botswana, Eswatini, Rwanda, Tanzania na Zimbabwe tayari zimefikia malengo ya kimataifa ya...